Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hawa ni wazee wa futuhi tu mwanzo mwisho.Kwa hiyo pale top 4 mnaenda kumtoa nan ....united kashaichukua ile namba 4 na hatoki ....
Hua wenyewe wamesharidhika kucheza Europa.
Hawa ni wazee wa futuhi tu mwanzo mwisho.Kwa hiyo pale top 4 mnaenda kumtoa nan ....united kashaichukua ile namba 4 na hatoki ....
Mkuu hakuna anayesema Partey ni kiungo mbaya, ieleweke hivo...ninachosema ni kuwa Partey haelewi fundamentals za role anayocheza na kama anaelewa basi ana mental issue kwa kushindwa kuwa calm and reliable to his decisions.Ile thru ball ni bonge la option. Mimi juzi nilisema hatuchezi 4 3 3 kwa sababu hatuna viungo wa aina tatu watakaotawala dimba.
Nikasema Partey ana vision. By vision ni kama hivyo kutoa pasi ambazo yeye anaziona wewe unaona hapo anafanya nini sasa? Mfano assisst ya Saka, ile pasi nilidhani itaenda kwa Laca lakini vision ikamuonesha Saka aliye peke yake kushoto.
Partey ni kiungo mzuri
Locatelli ndiye alikua anakuja kucover hiyo lone #6 au ochestrator. Hapo Arsenal Thom anacheza kama ochestrator wakati Atletico alikua mkabaji.Mkuu hakuna anayesema Partey ni kiungo mbaya, ieleweke hivo...ninachosema ni kuwa Partey haelewi fundamentals za role anayocheza na kama anaelewa basi ana mental issue kwa kushindwa kuwa calm and reliable to his decisions.
Partey anacheza kama a Holding midfield now at Arsenal, Partey hakuwahi kuwa a full #6 or full #8 , partey always ni half #6 or #8, Hii role ya lone #6 ndio anakutana nayo for the first time in his career.
kinachotokea ni kuwa he is giving ball away in so many occasions, imeshakuwa common kwake, kwenye situation kama hiyo hakuna double pivot, a holding midfielder unatakiwa kuwa technically secure especially kwenye 1st & 2nd facets of play, in a possession based team Kama Arsenal a lone #6 ndio anaexert control, hatakiwi kucheza risky footie kitu ambacho ni common kwa Thomas Partey, nashangaa watu mnamsifia TP kucheza risky pass kwa Saka while kulikuwa na easy pass kulia kwa Ode.
Unaweza Niletea clip ya Fabinho / Rodri wakigive ball away kwenye build up phases, mimi nakuletea za TP hata 50, ni wakati wa TP kuchange, akishindwa basi Arsenal must get another Holding midfielder.
soon bro acha ishu zisettle😀😀😀 fanya mpango aisee.
mimi huku nyuzi zangu ni arsenal, ujenzi (baadhi), kula tunda kimasihara na true crime yako. sasa kukosa update true crime kunafanya jf iboe. fanya mpango bro.😀😀
Kuna kitu watu hawaelewi kuhusu soka, soka ni mchezo unaohitaji urahisishaji, ndio maana tunapasiana, ukiona umebanwa unaachia moja, ndio maana tunapiga one two nakadhalika, huko kote ni kurahisisha.. Sasa huo ni urahisi mwepesi, hiki alichofanya partey ni urahisihaji wa hali ya juu, ni viungo wachache saana wenye vision ya namna hii, hawa huwa tunawaita midfield ya mpira.Ile thru ball ni bonge la option. Mimi juzi nilisema hatuchezi 4 3 3 kwa sababu hatuna viungo wa aina tatu watakaotawala dimba.
Nikasema Partey ana vision. By vision ni kama hivyo kutoa pasi ambazo yeye anaziona wewe unaona hapo anafanya nini sasa? Mfano assisst ya Saka, ile pasi nilidhani itaenda kwa Laca lakini vision ikamuonesha Saka aliye peke yake kushoto.
Partey ni kiungo mzuri
Nilitaka nimjuze saka ana mbio, ika sikuweka alama ya mshangao, imeharibu maana.Wazee Saka ana speed kuliko wachezaji wote pale isipokua Tavares
Hapo sasa umeeleweka, shida ni kwamba timu kuna mtu tunamkosa, ndio hapo partey anajikuta anafanya kazi mbili, hao kina rodri na fabinho kazi yao ni moja pale chini, juu yao kuna watu, wakurahisisha mpira.Mkuu hakuna anayesema Partey ni kiungo mbaya, ieleweke hivo...ninachosema ni kuwa Partey haelewi fundamentals za role anayocheza na kama anaelewa basi ana mental issue kwa kushindwa kuwa calm and reliable to his decisions.
Partey anacheza kama a Holding midfield now at Arsenal, Partey hakuwahi kuwa a full #6 or full #8 , partey always ni half #6 or #8, Hii role ya lone #6 ndio anakutana nayo for the first time in his career.
kinachotokea ni kuwa he is giving ball away in so many occasions, imeshakuwa common kwake, kwenye situation kama hiyo hakuna double pivot, a holding midfielder unatakiwa kuwa technically secure especially kwenye 1st & 2nd facets of play, in a possession based team Kama Arsenal a lone #6 ndio anaexert control, hatakiwi kucheza risky footie kitu ambacho ni common kwa Thomas Partey, nashangaa watu mnamsifia TP kucheza risky pass kwa Saka while kulikuwa na easy pass kulia kwa Ode.
Unaweza Niletea clip ya Fabinho / Rodri wakigive ball away kwenye build up phases, mimi nakuletea za TP hata 50, ni wakati wa TP kuchange, akishindwa basi Arsenal must get another Holding midfielder.
Ndio vitu unapenda mkuu, bahati mbaya zingine zinagoma ni mbaya sana kwa mtu km ParteyView attachment 2127163
Hapa alizingua, ila si lazima kila mara apatie, naiangalia hii video mara mbili mbili lakini nashindwa kuelewa alikuwa anataka nini, labda kunitengenezea mazingira ya kushoot baada ya kumpunguza yule opponent, la angempa odergaard ambae angekuwa katika nafasi nzuri ya kucurve sababu anatumia mguu wa kushoto, ila best option ni kupiga pasi kule upande wa kushoto kwa kina tierney.sawa. mashabiki wako tunasubiri mzigo uwe uploadedsoon bro acha ishu zisettle
Na tutalifikia tu..yote kwa yote...ila lengo letu msimu huu ni kumaliza nne za juu..#coyg
It was a very easy pass to xhaka. Don't know why he didn't play itYupo too risky mkuu, Xhaka ananyoosha mkono kule yeye anaforce aggressive penetration.
Upo sahihiWazee Saka ana speed kuliko wachezaji wote pale isipokua Tavares
Pole mkuu.Ule uzi nilianzisha nikiwa na mawazo na nikatoa angalizo 😅😅😅
Sasa hivi yamezidi hadi akili haifanyi kazi
Partey driving run was beautiful, You can see he wanted to give it to Saka earlier but knew the defender will go across to him, So he held the ball longer to stop the defender from committing to Saka until it was too late. Brilliant stuff from Thomas👏❤Partey's pass selection, Ø anaonekana upande wa kulia partey anacheza risky kwa Saka.View attachment 2126545
Huyu mtu.According to
@eduardoinda
, #Arsenal are interested in signing Atletico Madrid star Joao Félix. Mikel Arteta has specifically asked for him to be signed