Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiukweli tuna mechi ngumu sana tarehe 24 against wolves. The advantage ni kwamba tunacheza Emirates ambapo tumepoteza against Man city na Chelsea pekee kwenye EPL msimu huu
 
Partey & Xhaka combo!!
Screenshot_20220221-183504~2.jpg
 
Kuna mdau anakataa Partey kucheza as a lone #6, hoja yake anasema Partey amekuwa too risky, careless and inconsistent kwenye position inayohitaji umakini mkubwa.

Most of his game under Diego Simeon alikuwa anatumika as a defensive blocker, Arteta role anayompa ni kucheza as a single pivot who presses high up the pitch kitu kinachohitaji physicality & Technicality kwa kiwango cha juu,

Naona kuna baadhi ya watu wanamtaka Tchouameni wa Monaco kwenye 433 role coz he allows Arsenal to play Ø & ESR as 8s, binafsi natamani kuona ESR akirudi central nadhani atakuwa balaa kwenye his natural position.
 
Kuna mdau anakataa Partey kucheza as a lone #6, hoja yake anasema Partey amekuwa too risky, careless and inconsistent kwenye position inayohitaji umakini mkubwa.

Most of his game under Diego Simeon alikuwa anatumika as a defensive blocker, Arteta role anayompa ni kucheza as a single pivot who presses high up the pitch kitu kinachohitaji physicality & Technicality kwa kiwango cha juu,

Naona kuna baadhi ya watu wanamtaka Tchouameni wa Monaco kwenye 433 role coz he allows Arsenal to play Ø & ESR as 8s, binafsi natamani kuona ESR akirudi central nadhani atakuwa balaa kwenye his natural position.
Partey nampenda saana akiwa pale chini anakuofa vitu vingi, nampenda saana mchezaji mnyumbulifu, kwa timu inayojenga mashabulizi kutokea chini mnahitaji kiungo aina ya Partey, wakat mnaanza mashambulizi mnakuwa mmelipa mgongo goli la mpinzani, lazima mpate midfielder ya chini inayoweza kupokea mali na kugeuka kwa adui, kazi hii elneny hawezi xhaka haiwezi, wao ukiwapasia mpira utarudi ulipotoka hilo moja. Maboko kadhaa xhaka kachoma kwa namna hiyo. Mie naona partey aongezewe midfielder mnyumbulifu mwingine, patanoga saana pale kati.

Midfielder lazima uwe laini kidogo, sio unakuwa mgumu kama unakula MAWE.
 
Partey nampenda saana akiwa pale chini anakuofa vitu vingi, nampenda saana mchezaji mnyumbulifu, kwa timu inayojenga mashabulizi kutokea chini mnahitaji kiungo aina ya Partey, wakat mnaanza mashambulizi mnakuwa mmelipa mgongo goli la mpinzani, lazima mpate midfielder ya chini inayoweza kupokea mali na kugeuka kwa adui, kazi hii elneny hawezi xhaka haiwezi, wao ukiwapasia mpira utarudi ulipotoka hilo moja. Maboko kadhaa xhaka kachoma kwa namna hiyo. Mie naona partey aongezewe midfielder mnyumbulifu mwingine, patanoga saana pale kati.

Midfielder lazima uwe laini kidogo, sio unakuwa mgumu kama unakula MAWE.
Sina agenda yoyote against Partey ila inonekana in that position he lacks Maturity & Calmness reliably compared to Rodri/ Fabinho. Kinachoonekana ni kwamba Tchouameni anaweza kufanya hiyo kazi similar to Fabinho, makosa km haya tumeyaona mengi kwa Partey this season, ikiwa against big teams you get punished badly, sasa at #6 ni km role imemkataa.
 
Sina agenda yoyote against Partey ila inonekana in that position he lacks Maturity & Calmness reliably compared to Rodri/ Fabinho. Kinachoonekana ni kwamba Tchouameni anaweza kufanya hiyo kazi similar to Fabinho, makosa km haya tumeyaona mengi kwa Partey this season, ikiwa against big teams you get punished badly, sasa at #6 ni km role imemkataa.
Kuna GIf niliattach unfortunately inafeli
 
Sina agenda yoyote against Partey ila inonekana in that position he lacks Maturity & Calmness reliably compared to Rodri/ Fabinho. Kinachoonekana ni kwamba Tchouameni anaweza kufanya hiyo kazi similar to Fabinho, makosa km haya tumeyaona mengi kwa Partey this season, ikiwa against big teams you get punished badly, sasa at #6 ni km role imemkataa.
Nadhani ni kazi ya arteta kumuweka sawa. Jamaa akitulia pekee gake anaweza sambaratisha kiungo wa timu pinzani ana sifa nyingi mnoo za kuwa kiungo bora. Akitulia si fabinho wala rodri wa kuingia mziki ule.
 
Sina agenda yoyote against Partey ila inonekana in that position he lacks Maturity & Calmness reliably compared to Rodri/ Fabinho. Kinachoonekana ni kwamba Tchouameni anaweza kufanya hiyo kazi similar to Fabinho, makosa km haya tumeyaona mengi kwa Partey this season, ikiwa against big teams you get punished badly, sasa at #6 ni km role imemkataa.
Partey's pass selection, Ø anaonekana upande wa kulia partey anacheza risky kwa Saka.
 
Nadhani ni kazi ya arteta kumuweka sawa. Jamaa akitulia pekee gake anaweza sambaratisha kiungo wa timu pinzani ana sifa nyingi mnoo za kuwa kiungo bora. Akitulia si fabinho wala rodri wa kuingia mziki ule.
Wewe mkuu unadhani Arteta hayaoni haya, ni mara ngapi Partey anaomba radhi insta kwa kushindwa kustep up his game,? against Palace goli mbili zilitokana na Partey & lokonga to play risky football and so many games, juzi vs Brentford alicheza risky wale madogo wakashindwa kuCapitalize, Timu ikienda UCL kwa hizo risky si atatukanwa sn.

Ndio jamaa anasema huyu alikuwa defensive blocker hakucheza hii role anayocheza kumbuka he is 28 huwezi mfunza kitu now, physicality & technical good enough nini kinamshinda ?
 
Partey's pass selection, Ø anaonekana upande wa kulia partey anacheza risky kwa Saka.View attachment 2126545
Hichi ndio ninachokizungumzia, umeona kwanza mpira kapokea kageuka kwa adui kapunguza mmoja, kisha akawa anapiga pasi ya kumtangulizia mtu, hapa saka mwenyewe tu hakuwa tayari, mkimbio wake alijua pasi itapigwa kwa mtu aliye upande wa kulia sijui ni nani, ila partey alichotaka kufanya ni shortcut, kurahisisha mambo, hiki ni kitu muhimu kwenye game, kwangu hana ubaya hapo, saka angekaa vizuri ile ni moja kwa moja alikuwa anaenda kumuona golikipa..

Mchezaji ukiwa uwanjani unapaswa ujue uzuri na udhaifu wa mwenzio, sasa partey alijua saka ana mwendo nikiiweka pale hii ni moja kwa zote.

Sikumbuki game na nani, ila kuna game song badala ya kumpa chamakh(gervinho) sikumbuki vizuri, aliye katika nafasi nzuri, alifosi akamoa van persie aliye katika mazingira magumu na akafunga, hii ilitokea baada ya kama dk kadhaa nyuma kumpa gervinho na kuharibu mara kadhaa.
 
Hichi ndio ninachokizungumzia, umeona kwanza mpira kapokea kageuka kwa adui kapunguza mmoja, kisha akawa anapiga pasi ya kumtangulizia mtu, hapa saka mwenyewe tu hakuwa tayari, mkimbio wake alijua pasi itapigwa kwa mtu aliye upande wa kulia sijui ni nani, ila partey alichotaka kufanya ni shortcut, kurahisisha mambo, hiki ni kitu muhimu kwenye game, kwangu hana ubaya hapo, saka angekaa vizuri ile ni moja kwa moja alikuwa anaenda kumuona golikipa..

Mchezaji ukiwa uwanjani unapaswa ujue uzuri na udhaifu wa mwenzio, sasa partey alijua saka ana mwendo nikiiweka pale hii ni moja kwa zote.

Sikumbuki game na nani, ila kuna game song badala ya kumpa chamakh(gervinho) sikumbuki vizuri, aliye katika nafasi nzuri, alifosi akamoa van persie aliye katika mazingira magumu na akafunga, hii ilitokea baada ya kama dk kadhaa nyuma kumpa gervinho na kuharibu mara kadhaa.
Mkuu nafasi ya Partey sio ya kufanya vitu unavyoviita shortcut, ndio maana ya kusema he is too risky, a lone 6 hautakiwi kuwa careless to that extent, you need to be keen enough on your passing selection,

kwa timu zenye better counterpressing km Liverpool hii transition wanaenda kukuadhibu and thats why always we struggle against Liverpool sababu kuna profile tunakosa za kutuepusha na makosa km hayo, jifunze kwa Rodri / Fabinho kwenye pass selection hawawezi fanya maamuzi kama hayo never.

Kuna clip inagoma kuattach kama ingekubali hata wewe ungeshika kichwa kwa carelessness & risky

Arsenal is a possession based team na Partey as a lone #6 alitakiwa ahusike kwenye kuretain possession kwa 90% but he always plays risky why dont you keep the ball alive? Ubaya wa maamuzi yake ni kwamba unainyima timu control of the game. Partey badilika.
 
Sina agenda yoyote against Partey ila inonekana in that position he lacks Maturity & Calmness reliably compared to Rodri/ Fabinho. Kinachoonekana ni kwamba Tchouameni anaweza kufanya hiyo kazi similar to Fabinho, makosa km haya tumeyaona mengi kwa Partey this season, ikiwa against big teams you get punished badly, sasa at #6 ni km role imemkataa.
mkuu partey alikuwa hajaw fit tu hata yeye alisema, anajipa 4/10 ,baada ya hapo partey alirud kwenye ubora wake, na no.6 anayemtaka arteta ndiye mwenye sifa za partey, toka awe fiti amekuwa akijenga mashambulizi kutokea chini akipokea mipira kwa back 4, na anajua kupiga pass

hiki ndicho kilichomuondoa toreira, tulimuhitaji kwenye hiyo role, lkn arteta anata no.6 kama partey, now xhaka anasogea juu , ila xhaka akicheza kama no.6, ni rahisi kupoteza mipira, na kfanya maboko, partey hakuwa fiti tu alikuwa majeruhi sana

nadhani baada ya kurudi kuwa fit ni game ya 8-10 hii perfomance yake ipo juu sana
 
Back
Top Bottom