Mimi hapaPossible lineup
Nani anasema Xhaka na partey adhabu yao bado???View attachment 2114489
Mimi hapaPossible lineup
Nani anasema Xhaka na partey adhabu yao bado???View attachment 2114489
Yea. Ila kama tutashinda leo tutaanza kua wa tano kwanza Kipindi tunapiga dua walio juu wapoteze na walio chini wapoteze. Angalu tupate matokeo kwenye mechi tatu mfululizo huku walio juu na chini wadrop points katika hizo games.Opportunity 4 Arsenal to grab fourth spot
adhabu zao zimeisha leo wapo ndani ya nyumbaMimi hapa
adhabu zao zimeisha leo wolves ajiandaePossible lineup
Nani anasema Xhaka na partey adhabu yao bado???View attachment 2114489
Nilifikiri Partey atakua available halafu Xhaka atakua available baada ya leoadhabu zao zimeisha leo wapo ndani ya nyumba
Watafanya low block hawa na hii formation yao inarahisisha low block.adhabu zao zimeisha leo wolves ajiandae
xhaka ilikuwa 2 matches, partey 1 match, so leo wote wapo kati, naona tutamkosa tomiyasu tu, hawa jamaa low block sana, so inabid tupate magoli mapema ili kuwafungua, lasivyo itakuwa mech ngumuNilifikiri Partey atakua available halafu Xhaka atakua available baada ya leo
leo hii inabid iwe mech ya kisasi, kipind yupo luiz walibebwa kwa ile red card, goli la mapema litawatoa nyuma, uwepo wa xhaka partey, tutamiliki midfield,tunahitaji goli mapema sanaWatafanya low block hawa na hii formation yao inarahisisha low block.
So mid inahitajika iwe na vision na accuracy ya kutosha katika pasi. Martinelli awepo kukimbiza defense na kukimbilia hiyo mipira.
Laca katangazwa kapteni so nafikiri lazima awepo.
Nafikiri game plan ni ile ile
Ile game ilikua ya hovyo kwakua hata baada ya kukata rufaa sisi ikagomewa ila ya timu nyingine ikakubaliwa.leo hii inabid iwe mech ya kisasi, kipind yupo luiz walibebwa kwa ile red card, goli la mapema litawatoa nyuma, uwepo wa xhaka partey, tutamiliki midfield,tunahitaji goli mapema sana
nadhan arteta kashawafanyia homework ya kutosha,inabidi tutanue wingers pemben ili kuwavuta cb wao, tutumie half spaces, martinel na saka watanue sana pemben , hawa jamaa low block sana
Naiman ushapata muongozo mkuuMimi hapa
Yeah. Nilifikiri Xhaka anatumikia adhabu ya mwisho mechi ya leo, so tungekua na Partey pekee kumbe wote wamemaliza.Naiman ushapata muongozo mkuu
You can see, why man city choose arteta to be after pepArteta is a Master of Management!
Salute to him.
Kwa kweli aiseee.You can see, why man city choose arteta to be after pep