Hahaha am getting paid 140K per month niimake iwe 300K halafu niiweke kwenye bet? HapanaGame kama hizi una mpa arsenal win unatia laki 3
Una agiza whisky za kibabe, malipo after 90 mins
Hahaha am getting paid 140K per month niimake iwe 300K halafu niiweke kwenye bet? HapanaGame kama hizi una mpa arsenal win unatia laki 3
Una agiza whisky za kibabe, malipo after 90 mins
Hiyo ni investment that pays 100%Hahaha am getting paid 140K per month niimake iwe 300K halafu niiweke kwenye bet? Hapana
Game kama hizi una mpa arsenal win unatia laki 3
Una agiza whisky za kibabe, malipo after 90 mins
hivi huoni aibu babuu!!!?😄Nasikia munauza Saka, mujiandae kushuka daraja ..hamuna timu humu ..ni takataka tupu
Nimeona Xhaka amefanya worst challenge iliyompatia yellow kadi pia naona na Partey anayo yellow card hivi alifanya nini kupewa card maana sikuona?
Alifanya kama xhaka tu ila kati kati ya uwanja japo hakukamata jezi wazi wazi ila almost zinafanana naiona kadi nyekundu kabisa hii mechi!!Nimeona Xhaka amefanya worst challenge iliyompatia yellow kadi pia naona na Partey anayo yellow card hivi alifanya nini kupewa card maana sikuona?
Thanks! Naona sasa hapa one of clips from Twitter aliweka mkono kumzia mchezaji asiendelee kuondoka.Obstruction ya mchezaji wa Wolves
Absolutely! Napenda credit na lawama ziwe na haki pia zisiegemee upande mmoja.Alifanya kama xhaka tu ila kati kati ya uwanja japo hakukamata jezi wazi wazi ila almost zinafanana naiona kadi nyekundu kabisa hii mechi!!
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Yuko slow na lazy Sana na ni kichwa maji !!!xhaka ,game ambay iko kasi n compact haiwez ,yuko too slow kwenye maamuzi n nd mana anafnya fouls nyngi..