Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ni mjanja amekuja kuichezea arsenal kama uwanja wa mazoezi ....then anarudi the home place city ...ukikata damu ya arteta ipo Etihad sisi tulimtuma aje kupata uzoefu zaidi kwa timu Kama arsenal
 
Kujifia?
Sio Majimaji ya Songea hiyo.
Let's pray tupate kuingia Top 4 na kuplay Champions league hapa ndiyo Arsenal itakuwa bado ipo imara but otherwise Arsenal haitarudi tena katika ubora wake player gani tutampata wa maana wa quality sio quantity?Leno Laca Nketiah almost na wengine wanasepa this season
 
Kama ilivyo kuwa ngumu kupata mchezaji mzur wakat wa January kwa Arsenal ndivyo ambavyo ingekuwa ngumu kuuza wachezaj hao ambao wameondoshwa kikosin..kwa Arsenal kuuza wachezaj wetu wabovu kwenye dirisha kubwa la usajili ingekuwa ngumu sana kumbuka wakat wa dilisha kubwa wachezaj wengi wazur wanauziKa na hapo soko la wachezaj wetu walioondoka wangekosa soko…KUANZA UPYA SIO MBAYA
FACT ukiachana na Sanchez kwa miaka ya karibuni almost 6 years sikumbuki kama kuna players ambao wameondoka Arsenal wakaingizia pesa timu I don't know problem ipo wapi
 
Arteta anaibadilisha timu kuondoa culture ya kusajili wachezaji soft wasioweza kuwin duels ( Ozil & Auba) anasajili wachezaji wenye Amazing physicality Tomiyasu, Gabriel, White, Partey, Tavares..
Ps: Auba & Ozil hawakuwa wachezaji wabaya, Arsenal imebadilika.
Bro wachezaji gani wenye physicality kati ya hao uliowataja?In my opinion labda ni mmoja pekee au physicality unayoiongelea ni tofauti?for example umemtaja Tavares huyu keshawahi kufanyiwa substitution dk ya 29 na Arteta akawa anapayuka kwenye benchi
 
Arteta akichanga karata zake vizuri top4 tunaingia
Hii kutokana Tupo EPL tu udogo wa kikosi lakini watu wa kazi tunao


. laca/Nketiah


Pepe/martinel. Rowe/odegard. Saka



Partey/Xhaka/mudy/lokonga



Tierney/Soares Gabriel, Holding White. Tomiyasu/Tavares


. Ramsdale/Leno


Kikosi hiki mimi naingia nacho top4
 
Bro wachezaji gani wenye physicality kati ya hao uliowataja?In my opinion labda ni mmoja pekee au physicality unayoiongelea ni tofauti?for example umemtaja Tavares huyu keshawahi kufanyiwa substitution dk ya 29 na Arteta akawa anapayuka kwenye benchi
Shida wewe mpira huelewi sijui, Tavares ni mental issue sio physical, Mchezaji anapokosa technical security ni mental zaidi.
Huyu katoka ureno anahitaji muda, BTw he is 21.
 
Arteta akichanga karata zake vizuri top4 tunaingia
Hii kutokana Tupo EPL tu udogo wa kikosi lakini watu wa kazi tunao


. laca/Nketiah


Pepe/martinel. Rowe/odegard. Saka



Partey/Xhaka/mudy/lokonga



Tierney/Soares Gabriel, Holding White. Tomiyasu/Tavares


. Ramsdale/Leno


Kikosi hiki mimi naingia nacho top4
Tatizo ni hapo kwa Tomiyasu, Tomiyasu na Cedric Soares ni mawingu na ardhi, No Tomiyasu no effective build up.
 
Shida wewe mpira huelewi sijui, Tavares ni mental issue sio physical, Mchezaji anapokosa technical security ni mental zaidi.
Huyu katoka ureno anahitaji muda, BTw he is 21.
Ok ok two next seasons Mungu akitupa uhai ntarudi kukumbusha hakuna mpaka sasa player pekee I repeat pekee ambaye alikuwa physically kama Saed Kolasinac but after seasons kadhaa leo kaondoka bure let's wait and see kukumbusha ni muhimu
 
Ok ok two next seasons Mungu akitupa uhai ntarudi kukumbusha hakuna mpaka sasa player pekee I repeat pekee ambaye alikuwa physically kama Saed Kolasinac but after seasons kadhaa leo kaondoka bure let's wait and see kukumbusha ni muhimu
Suala ni physicality + profile, hatuangalii misuli, ebu tafuta stats angalia ni duels ngapi Tomiyasu anawin compared to sead,

Partey kwenye mechi vs United (0-1) aliwin almost every duel vs Fred & Pogba, Juzi vs City, Partey won all duels against Rodri/ De bruyne/ Gundogan/ Bernardo. And so you question physicality?
 
mabwana zenu bado wanatoa nightmare kwa tim kubwa
IMG-20220206-WA0023.jpg
 
Ok ok two next seasons Mungu akitupa uhai ntarudi kukumbusha hakuna mpaka sasa player pekee I repeat pekee ambaye alikuwa physically kama Saed Kolasinac but after seasons kadhaa leo kaondoka bure let's wait and see kukumbusha ni muhimu
Sead mzuri kama mnataka kucheza low block mkitaka game plan ya kupossess na akahitajika kuact kama attacking full back mnakua hamna ishu
 
Next six games:

Wolves (A)
Brentford (H)
Wolves (H)
Watford (A)
Leicester (H)
Villa (A)

How many points?
 
Next six games:

Wolves (A)
Brentford (H)
Wolves (H)
Watford (A)
Leicester (H)
Villa (A)

How many points?
If no red card and Injury i will go for maximum point (18).

Otherwise its a way of far sleep from top four
 
Back
Top Bottom