Tupe matokeo sasa.Msijikaushe man utd tunacheza leo
Kila ukileta shobo pande za watu bwana Rafa anaharibu siku.Msijikaushe man utd tunacheza leo
adama ayupo ila kipigo kipo palepale jiminez wayaaaaaGame ni kesho.
Wolves wako vizuri siku za hivi karibuni. Ila hawajaacha kua Wolves bado.
Ni game inayofanya nihofie race ya top 4 kwakua tutaenda tukiwa na Elneny, Patino na Lokonga.
Elneny na Lokonga wanaweza wekwa kati kwa pamoja, nimeona watu wanaongelea kumfanya Pepe awe CF sidhani kama Arteta atarisk kufanya hayo majaribio kipindi hichi.
Kazi tunayo ila kocha aaminiwe. Kwa hawa makocha wa kuanzia 2018 mpaka leo Arteta ameprove kua ni miongoni mwa makocha wazuri technically kuliko baadhi walivyomchukulia.
So here we go

lokonga red cardWolves katoka kupigwa na Norwich na Jimenez yupo.adama ayupo ila kipigo kipo palepale jiminez wayaaaaalokonga red card
Kwan partey na xaka adhabu yao haijaisha??Game ni kesho.
Wolves wako vizuri siku za hivi karibuni. Ila hawajaacha kua Wolves bado.
Ni game inayofanya nihofie race ya top 4 kwakua tutaenda tukiwa na Elneny, Patino na Lokonga.
Elneny na Lokonga wanaweza wekwa kati kwa pamoja, nimeona watu wanaongelea kumfanya Pepe awe CF sidhani kama Arteta atarisk kufanya hayo majaribio kipindi hichi.
Kazi tunayo ila kocha aaminiwe. Kwa hawa makocha wa kuanzia 2018 mpaka leo Arteta ameprove kua ni miongoni mwa makocha wazuri technically kuliko baadhi walivyomchukulia.
So here we go
BadoKwan partey na xaka adhabu yao haijaisha??
Both are available vs Wolves.Kwan partey na xaka adhabu yao haijaisha??
Spurs kacheza hovyo. Katawaliwa vipindi vyoteKuna bonge la game spurs vs Soton.
Japo najua game ya Leeds vs Villa nayo ni moto.
Naona coutinho anakiwasha huko
Spurs kacheza hovyo. Katawaliwa vipindi vyote