MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
Last Ceremony waliifanyia ine pale EmirateClaude wa AFTv amefariki?
Angalia kwa link nimeweka hapo juu
Last Ceremony waliifanyia ine pale EmirateClaude wa AFTv amefariki?
Hap juve wanatukazia kwa Melo, alf ndo wanataka watupe na morata daah.As per David ornstein, Auba to Juve / Barca.

Huyu kaondoka na Mari kaondoka. Nafikiri Saliba anarudi7:52pm - BREAKING: Chambers leaves Arsenal for Villa!
Out of absolutely nowhere, a done deal.
Versatile defender Calum Chambers has left Arsenal to join Aston Villa on a three-and-a-half year deal for an undisclosed fee.
There had been little to no speculation surrounding this one beforehand.
Huu mzigo nimeukata Mahala,,, nimetafuta habari ya utimikifu wake ila haipo...
Kuna ukweli wowote wenye vyanzonzaidi hasa wale wenye za Ndani!?
Wanajaribu kucheza na akili za washabiki.bahati mbaya propaganda wanazozifanya tumezizoea kwa zaidi ya miaka 10 sasa.Ndio maana huwa hizi speculation za usajili wa arsenal sitaki kuzisoma, mwezi umekata no signings...
Hallelujah, mwisho dirisha linafungwa hakuna tulichoonheza zaidi ya KupunguzaDusan Vlahovic is a smoke screen for Alexander Isak who is a smoke screen for Jonathan David who is a smoke screen for Calvert-Lewin who is a smoke screen for Ollie Watkins who is a smoke screen for Luka Jovic who is a smoke screen for a new contract for Lacazette & Nketiah.
Jingax Kabisa, kikosi gani alichonacho ambacho hakihitaji uboreshwaji!? Ili kutoboa top 4 kikosi cha sasa unahitaji liwa na 1st eleveni ya kutunishiana Misuri na Top 6 clubs na bench lenye nguvu za kutosha za kuisupport hiyo first 11, sio Kukosekana kwa Partey kunaifanya team kukosa mwelekeo.In Arteta we trust. Hahahaha. He believes he has a strong squad that does not need any additional or reinforcement
Jingax Kabisa, kikosi gani alichonacho ambacho hakihitaji uboreshwaji!? Ili kutoboa top 4 kikosi cha sasa unahitaji liwa na 1st eleveni ya kutunishiana Misuri na Top 6 clubs na bench lenye nguvu za kutosha za kuisupport hiyo first 11, sio Kukosekana kwa Partey kunaifanya team kukosa mwelekeo.
Huwezi kuwa na Partey ndani na Sub yake kama janga likimfika ni Lukonga huo ni utani. Lukonga anatakiwa kuendelea kujifunza na anatakiwa kiwa chaguo la Tatu na sio mbadala wa Partey. Vivyo hivyo mbele unatoa Lacca /Auba unaweka Nkethia au Blogogan huo ni utani.
Kifupi team yetu ni nzuri kuweza kumaliza nafasi ya 8-12 na sio vinginevyo.
Tuendelee kuamini project isiyo na yield walimu wanabadikika lugha bado zile zile CHUCH THE PROCESS.
soon tutaanza kuimba 20+ years bila taji la EPL.
nothing absolutely nothing new.Any current news from Arsenal??