MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
Same old story for this ArsenalAny current news from Arsenal??
Same old story for this ArsenalAny current news from Arsenal??
Our rivals wapo serious what about Arsenal?seriously kweli?nothing absolutely nothing new.
I heard that Isack yupo London kwa ajili ya kujiunga na Arsenal?or ni total rubbishSame old story for this Arsenal
story?Stan doesn't give a sh**t about it.Our rivals wapo serious what about Arsenal?seriously kweli?
Bado kuna masaa 36 kabla ya dirisha kufungwa
labda izack newtonI heard that Isack yupo London kwa ajili ya kujiunga na Arsenal?or ni total rubbishstory?
Hiv sisi kama great thinkers kuna kitu tunapaswa kujiuliza;Tungempata ata yule nkunku wa Leipzig ingekua magoli sana, au ata Jeminez wa wolves kuliko kutoka kapa hivi daah, Arteta katili sana
Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Tatizo namajibu ya maswali yoye matano no Silent StanHiv sisi kama great thinkers kuna kitu tunapaswa kujiuliza;
1-ni kweli suala la squad depth ni mashabiki tu ndo tunaliona?,namaanisha kocha na football director hawalioni?
2-Tatizo la kiungo na mshambuliaji wao kama elites hawalioni??
3-hii out-movement ya wachezaji pasipo usajili mpya wao kama wenye timu(kocha na technical staff) hawajui madhara yake?
4-suala la kushuka BRAND ya arsenal kiasi Cha kutovutia wachezaji na wawekezaji wao kama management hawalioni?
5-Umuhimu wa fedha ya maana katika kufikia malengo ya timu na matarajio ya mashabiki wao hawalioni?
6-mwisho tujiulize management inaona nini ambacho sisi mashabiki hatukioni?
Tungempata ata yule nkunku wa Leipzig ingekua magoli sana, au ata Jeminez wa wolves kuliko kutoka kapa hivi daah, Arteta katili sana
Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Mbona n mtu sana yule, huwez mfananisha na nketia ata auba huyu wa sasa. na n bora yy kuliko kutosajili kabisaJaminez hapana, hana mpira wa kuchezea arsenal
Haya maswali yanazidi upeo wangu, ata sijui hawa ndugu wanampango gani usionekanaHiv sisi kama great thinkers kuna kitu tunapaswa kujiuliza;
1-ni kweli suala la squad depth ni mashabiki tu ndo tunaliona?,namaanisha kocha na football director hawalioni?
2-Tatizo la kiungo na mshambuliaji wao kama elites hawalioni??
3-hii out-movement ya wachezaji pasipo usajili mpya wao kama wenye timu(kocha na technical staff) hawajui madhara yake?
4-suala la kushuka BRAND ya arsenal kiasi Cha kutovutia wachezaji na wawekezaji wao kama management hawalioni?
5-Umuhimu wa fedha ya maana katika kufikia malengo ya timu na matarajio ya mashabiki wao hawalioni?
6-mwisho tujiulize management inaona nini ambacho sisi mashabiki hatukioni?
Majibu ya maswali haya hawayaoni mpaka pale mashabiki waliopo kule Waache kuingia kuangalia mpira Emirates lakn kinyume na hapo, nothing newHaya maswali yanazidi upeo wangu, ata sijui hawa ndugu wanampango gani usionekana
Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Inasikitisha ma pro, kufanya kazi Kama wa ganganjaa, au wana suprise wanataka watifanyie!? maana sielewiMajibu ya maswali haya hawayaoni mpaka pale mashabiki waliopo kule Waache kuingia kuangalia mpira Emirates lakn kinyume na hapo, nothing new
Suprise haiwez ziba gape la idadi kubwa ivyo iliyoondoka dirisha dogo hili, apo ni mchezaj mmja tu basi wa kuingiaInasikitisha ma pro, kufanya kazi Kama wa ganganjaa, au wana suprise wanataka watifanyie!? maana sielewi
Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
N shida Mzee, ngoja tuwasikilizieSuprise haiwez ziba gape la idadi kubwa ivyo iliyoondoka dirisha dogo hili, apo ni mchezaj mmja tu basi wa kuingia
Arsenal ni kweli walikuwa na interest na Vlahovic ila hawakuwa serious na suala la pesa ya ada, hivyo Juventus haikuwa shida kupiga hodi na kumsajili kiulaini.Nafuatilia dirisha la usajili inafurahisha siyo kidogo.
Wengi tunamuamini Fabrizio Romano. Kabla dirisha halijafunguliwa alisema amepata taarifa Arsenal lazima isajili striker na mid, kituko ni baada ya dirisha kufunguliwa.
Anyway, kuna jamaa alisema tatizo letu tunalipa kwa awamu nikamuambia ndiyo malipo ya siku hizi. Jana Liver wamesajili winger kwa 40M na watalipa kwa miaka 3 nyongeza ya 20M watailipa kwa miaka 5.
Juve pesa ya Dusan wanailipa kwa awamu pia.
Kama tukiweka kwenye mzani tunahitaji ST au Mid? Kuna jamaa akaniambia bora tusajili ST mzuri kwakua kwa muda uliobaki Xhaka na Partey watatubeba hadi kiangazi kifike. Lakini sasa ukizingatia makosa na reds za Xhaka na majeraha kwa Partey mbona kama mtu unakua torn hujui ustick wapi?
Utakua una clinical finisher huku hauna mtu wa kuhakikisha katikati watu hawapiti na hauna wa kumpelekea mipira? I mean kama mipira inafika vizuri kwa pasi zenye vision eventually mtascore tu.
Isak kaonekana London. Lakini hata mwaka juzi Aouar alionekana London na dili ilikufa kwahiyo kuonekana London siyo guarantee ya kumsajili.