I am waiting for Arteta supporters waje na comments zao
Arteta endelea hvyo hvyo kungata na kupuliza mpaka akili ziwakae sawa
Sina la kusema but yesterday nlisema Arsenal top 4 ni mpaka Mungu apende but top 7 uhakika ,eti Mmiliki ni Kroenke,Coach ni Arteta,players ni hawa hawa tunaowajua kisha Arsenal aende top 4 ???na hawa watoto nawapa misimu 2 wa 3 lazima wawili wasepe watuachie mzigo tulionao wa mwaka 20 unaenda sasa bila big trophies

za Maana tutaishia kusifia performance ohhh timu imebadilika but all in all 3 points ndio zina matter!bado Manchester United Chelsea Liverpool Tottenham West Ham Wolverhampton(2 games) hawa wote bado hatujacheza nao jamani jamani natetemeka