Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Namtaka Jesca ila yeye anitaki anayenitaka ni Nancy ambae simtaki.Mambo ya kiwaki.
Unamtaka Amina.
Anazingua.
Unaruka kwa Aisha.
Simple kama hivyo.
Namtaka Jesca ila yeye anitaki anayenitaka ni Nancy ambae simtaki.Mambo ya kiwaki.
Unamtaka Amina.
Anazingua.
Unaruka kwa Aisha.
Simple kama hivyo.
Njoo pm nikupe ushauri.Namtaka Jesca ila yeye anitaki anayenitaka ni Nancy ambae simtaki.
Options are endlessAisha akileta mizinguo unaruka kwa mwajuma..eeeeeeh simple like that
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Ndidi.mapafu ya mbwa km bukuNikuomba Gabon apate hata sare then Mnyama mkali is back, dominating his own league, hivi performance ya Thomas Partey vs City ni midfield wangapi EPL wanaweza ile game?
Thomas mwenyewe pancha siku akiumia kama last season inakuwaje na replacement hakuna?angalia Manchester City wana kikosi kipana hata COVID 19 haikuwaathiri sisi Afcon na Majeruhi tunakimbilia mechi ziwe postponed at the same time dirisha la Usajili lipo wazi Management wanacheza vidali po na kombolela mpaka 1st February itafika tutaishia na tetesi za kila season za usajiliNikuomba Gabon apate hata sare then Mnyama mkali is back, dominating his own league, hivi performance ya Thomas Partey vs City ni midfield wangapi EPL wanaweza ile game?
Akicheza jwa kiwango kile, sidhani km kuna midfilder inasogeza pua yake zaidi ya kante, aisee mimi ni muumini mkubwa wa wachezaji wanyumbulifu, ndio maana mimi xhaka simzimii aisee, ukimpa xhaka mali mgongoni kakabwa na hata mtu mmoja basi ujue mpira utarud ulipotoka, ila partey atafanya mazingira ata"turn" na kuendesha timu juu, namkumbuka saana mtakatifu cazorla yule jamaa alikuwa fundi kupita maelezo.Nikuomba Gabon apate hata sare then Mnyama mkali is back, dominating his own league, hivi performance ya Thomas Partey vs City ni midfield wangapi EPL wanaweza ile game?
Sasa kwani wadau wenyewe wakiona tu si wanajua kama bado hujamaliza sindano zakoNipo mwehu ..vip wewe upo au ushapona kichaa..?!![]()

Hahahahahahahhahaha angalia Leo tunamnywa Brighton supuSasa kwani wadau wenyewe wakiona tu si wanajua kama bado hujamaliza sindano zako
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
It end in tearsHahahahahahahhahaha angalia Leo tunamnywa Brighton supu
Hahahahahahahhahaha angalia Leo tunamnywa Brighton supu
Una kelele sana kwenye jukwaa la Arsenal wakati mechi 11 umeshinda 3 vs Leeds ambayo mlipewa penalty 2 Vs Watford ambayo Tuchel alisema mmeshinda kwa kubahatisha Bro you don't have timu ambayo itaweza kuleta tena ushindani bro sorryHahahahahahahhahaha angalia Leo tunamnywa Brighton supu
Aseeee yule mtu alikuwa na balaaAkicheza jwa kiwango kile, sidhani km kuna midfilder inasogeza pua yake zaidi ya kante, aisee mimi ni muumini mkubwa wa wachezaji wanyumbulifu, ndio maana mimi xhaka simzimii aisee, ukimpa xhaka mali mgongoni kakabwa na hata mtu mmoja basi ujue mpira utarud ulipotoka, ila partey atafanya mazingira ata"turn" na kuendesha timu juu, namkumbuka saana mtakatifu cazorla yule jamaa alikuwa fundi kupita maelezo.
supu imeliwa wap iyo boss ?Hahahahahahahhahaha angalia Leo tunamnywa Brighton supu
Wadau ni player yupi wa Arsenal alipata yellow card anachunguzwa na FA reason inahisiwa yellow card aliyoipata inahusiana na mambo ya betting?jina hawajalimention FA