Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sababu hasa ya Aubameyang na Lemina kuondoka timu ya Taifa ya Gabon ni utovu wa nidhamu kuliko 'sababu za kimatibabu' (Ambayo ni kweli).

Magari ya polisi yaliwanasa Wachezaji wote wawili wakiwa wamelewa mwendo wa saa 5 asubuhi ya leo wakisindikizwa na wasichana, jambo ambalo lilisababisha mapigano na maafisa wa usalama.
 
Sababu hasa ya Aubameyang na Lemina kuondoka timu ya Taifa ya Gabon ni utovu wa nidhamu kuliko 'sababu za kimatibabu' (Ambayo ni kweli).

Magari ya polisi yaliwanasa Wachezaji wote wawili wakiwa wamelewa mwendo wa saa 5 asubuhi ya leo wakisindikizwa na wasichana, jambo ambalo lilisababisha mapigano na maafisa wa usalama.
huyu auba amezidi ni wa kufukuza na fimbo nyingi akacheze kwenye vitimu vya huko Gabon.
 
Wakala wa Vlahović anaomba ada ya kamisheni ya €18m.

Ripoti, ANSA.

Yale yale ya pepe, dili lake na hela za mawakal zilifikia euro million 100, watu wakafukuzana kipindi kile,

Wakala Vlahovic nae anataka mpunga huo euro mil 18 , kando ya euro mil 70,

ugumu wa hili dili upo hapa
 
Mazungumzo katika studio @SkyItalia kabla ya mechi ya Fiorentina..usiku huu

“Tatizo lipo kwenye matakwa ya mchezaji na mawakala wake, wanaomba euro milioni 8 na kamisheni ya euro milioni 10 pamoja na 20% ya mauzo siku zijazo.

"Kwa hivyo licha ya uwezekano wa makubaliano ya Arsenal naFiorentina, kuna ugumu mkubwa kwa mchezaji na mawakala wake."
1642368970079.png
 
Mazungumzo katika studio @SkyItalia kabla ya mechi ya Fiorentina..usiku huu

“Tatizo lipo kwenye matakwa ya mchezaji na mawakala wake, wanaomba euro milioni 8 na kamisheni ya euro milioni 10 pamoja na 20% ya mauzo siku zijazo.

"Kwa hivyo licha ya uwezekano wa makubaliano ya Arsenal naFiorentina, kuna ugumu mkubwa kwa mchezaji na mawakala wake."
View attachment 2085568
Kama vipi aachwe
 
Mazungumzo katika studio @SkyItalia kabla ya mechi ya Fiorentina..usiku huu

“Tatizo lipo kwenye matakwa ya mchezaji na mawakala wake, wanaomba euro milioni 8 na kamisheni ya euro milioni 10 pamoja na 20% ya mauzo siku zijazo.

"Kwa hivyo licha ya uwezekano wa makubaliano ya Arsenal naFiorentina, kuna ugumu mkubwa kwa mchezaji na mawakala wake."
View attachment 2085568
 
Miguel Azeez and Tyreece John-Jules expected to leave on loan before the end of the window. Sead Kolasinac’s departure is now close to fruition. Reports,
@MarkyMBryans
 
Miguel Azeez and Tyreece John-Jules expected to leave on loan before the end of the window. Sead Kolasinac’s departure is now close to fruition. Reports,
@MarkyMBryans
Mpaka sasa wachezaji ambao wapo nje kwa mkopo:

Matteo Guendouzi - Marseille
William Saliba- Marseille
Folarin Balogun- Middlesbrough
Hensley Maitland-Niles- Roma
Pablo Mari anaenda Udinese
Lucas Torreira- Fiorentina
Sead Kolasinac- anazungumza na Marseille na mkataba waisha mwezi Juni.

Meguel Azeez alikuwa Portsmouth amerudishwa Arsenal.

Wachezaji ambao wapo kwenye majukumu ya AFCON

Thomas Partey- Ghana
Nicolas Pepe- Ivory Coast
Mohamed Elneny - Egypt

Piere- Emerick Aubameyang- Gabon (amerudi London kufanyiwa uchunguzi wa afya)

Wachezaji wanne wa kiungo ambao wana matatizo ya kiafya majeruhi na wanotumikia adhabu za kadi nyekundu:

Granit Xhaka (kadi nyekundu) kukosa mechi ya Arsenal na Liverpool (carabao Cup) na Burnley (jumapili 23 january)

Emile Smith Rowe- Covid
Martin Odegaard- Covid
Cedric Suarez- majeruhi
Takehiro Tomoyasu- majeruhi
Bukayo Saka- majeruhi
Calum Chambers- majeruhi
 
Mazungumzo katika studio @SkyItalia kabla ya mechi ya Fiorentina..usiku huu

“Tatizo lipo kwenye matakwa ya mchezaji na mawakala wake, wanaomba euro milioni 8 na kamisheni ya euro milioni 10 pamoja na 20% ya mauzo siku zijazo.

"Kwa hivyo licha ya uwezekano wa makubaliano ya Arsenal naFiorentina, kuna ugumu mkubwa kwa mchezaji na mawakala wake."
View attachment 2085568
Financially, Fiorentina inawabidi kumuuza Dusan kwa kutotaka kulipa gharama za hapa na pale kama hiyo 10%

Na kwa kuwa Dosan anakataa kusaini mkataba mpya Arsenal wameona kuna kufanikiwa kwa kupenyeza rupia zaidi wakimjulisha na Lucas Torreira.
 
Mpaka sasa wachezaji ambao wapo nje kwa mkopo:

Matteo Guendouzi - Marseille
William Saliba- Marseille
Folarin Balogun- Middlesbrough
Hensley Maitland-Niles- Roma
Pablo Mari anaenda Udinese
Lucas Torreira- Fiorentina
Sead Kolasinac- anazungumza na Marseille na mkataba waisha mwezi Juni.

Meguel Azeez alikuwa Portsmouth amerudishwa Arsenal.

Wachezaji ambao wapo kwenye majukumu ya AFCON

Thomas Partey- Ghana
Nicolas Pepe- Ivory Coast
Mohamed Elneny - Egypt

Piere- Emerick Aubameyang- Gabon (amerudi London kufanyiwa uchunguzi wa afya)

Wachezaji wanne wa kiungo ambao wana matatizo ya kiafya majeruhi na wanotumikia adhabu za kadi nyekundu:

Granit Xhaka (kadi nyekundu) kukosa mechi ya Arsenal na Liverpool (carabao Cup) na Burnley (jumapili 23 january)

Emile Smith Rowe- Covid
Martin Odegaard- Covid
Cedric Suarez- majeruhi
Takehiro Tomoyasu- majeruhi
Bukayo Saka- majeruhi
Calum Chambers- majeruhi
saka amelud tyari mazoezin jana
 
burney wameomba ku postpone mech yao leo na imekubaliwa ,kuna uwezekano na mechi dhid ya arsenal wasicheze,

upande mwingine kesho arsenal wanatarajiwa kutuma maombi mech dhid ya liverpool iwe postponed,

so huenda tukacheza baada ya international break , huo muda tyr partey atakuwa karudi, usajiri utakuwa umefanyika, kikosi kitakuwa timamu

naamini kabisa kesho arsenal wataomba game isimamishwe, huo mchezo aliuanzisha liverpool kwa kufeki vipimo akakimbia mech ya kwanza, na arsenal hawezi kukubali aingie kindezi hiyo mechi,

ukweli ni kwamba kikosi cha kucheza kipo ila kuna lack ktk midfield, so zile knock za kina saka, tierny,chamber, arsenal wamesema ni injury , hivo kufanya wachezji wapungue ,hata liverpool mech ya kwanza kikos cha kucheza alikuwa nacho, akafanya uhuni asicheze ile mechi

na jana Pablo mari karuhusiwa kwenda udinese, hivo arsenal wana buy time ili wasajiri huku mechi zetu hatuchezi, hadi baada ya international break, case ya corona ilikuwa moja tu ya odergaad,

ila kwakuwa liverpool alianzisha uhuni hakuleta timu kwa kufeki vipimo, basi Arsenal mech ya alhamis ipangiwe siku nyingine, ambapo tutakuwa full,
 
Pablo Mari will undergo medical tests today in Rome to complete his joining of Udinese on a dry loan (without option/compulsory purchase)
 
Arsenal are interested in signing Sergi Roberto with the players contract at Barça up in June
 
Back
Top Bottom