Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alegri anasema tufanye mabadilishano ya partey na arthur, hivo kamzuia kuondoka, siku zote anampiga benchi, jana kajifanya kumuanzisha,

arthur alishamalizana na arsenal, alegri kaweka ngumu...inaonekana dili limekufa


je bodi imegeukia viungo gani, toka jana ni kimya, tuwaombe comoro wamkazie ghana, partey wiki ijayo arudi
 
Alegri anasema tufanye mabadilishano ya partey na arthur, hivo kamzuia kuondoka, siku zote anampiga benchi, jana kajifanya kumuanzisha,

arthur alishamalizana na arsenal, alegri kaweka ngumu...inaonekana dili limekufa


je bodi imegeukia viungo gani, toka jana ni kimya, tuwaombe comoro wamkazie ghana, partey wiki ijayo arudi
Arsenal wapo waangalia AFCON na Ghana.
 
Welcome back Aaron Arsenal, as staunch Arsenal supporter we would like to know what befallen on you, that led to your sudden disappearance from this board. Honestly we missed you. If it is a case of mistreatment, we want to stand for all our honest Arsenal supporters.
Please reply in English
 
Top 10 nals in my book:

1) Anal
2) Educational
3) Operational
4) Exceptional
5) Delusional (like arsenal fans)
6) Provisional
7) Directional
8) Sensational
9) Professional
10) Conditional

Arsenal are NOT top 10 in my books.
 
Top 10 nals in my book:

1) Anal
2) Educational
3) Operational
4) Exceptional
5) Delusional (like arsenal fans)
6) Provisional
7) Directional
8) Sensational
9) Professional
10) Conditional

Arsenal are NOT top 10 in my books.
hahahahahah wonders will never end, utoke kuchungulia pisi kali uje kuandika kitabu!!!!!!!
 
Screenshot_2022-01-16-23-35-45-19.jpg
 
Vlahovic is good ila sidhani kama ataleta instant impact, haya maringo aliyoanza nayo yanaweza pelekea ashindwe kutrain kwa moyo hence we will have our own Lukaku.

Mpaka sasa sijaona sehemu yoyote (Rasmi) ambayo inasema Arsenal imepeleka ofa kwa timu yeyote. Hii ndiyo timu ambayo haina mid kwa sasa na ilijipambanua kwamba ina uhitaji mkubwa wa mid na forward.

Leo ni siku ya 17 na miongoni mwa fununu za kiboya nilizozisoma ni inayodai kwamba Arsenal inamtaka Diego Costa. Babu mwingine wa kibrazil huyu waliomtangulia ni Luiz na Willian chini ya Edu, inaafikiriwa Edu (mreno) anawatengenezea mazingira majirani waBrazil penshen waipatie Arsenal.

Kama timu haijapeleka maombi rasmi kokote hii inamaanisha walisema wana uhitaji ila hawakujua ni nani wanamhitaji? Villa walijua, Barca walijua, Everton walijua na wamejua mpaka kocha hafai.

Sisi tuna mpango gani? Hata kama hii PP technic itatubeba mpaka Afcon ikamalizika so hao watakaorudi wakiumia inakuaje? Squad depth iongezwe.
 
Vlahovic is good ila sidhani kama ataleta instant impact, haya maringo aliyoanza nayo yanaweza pelekea ashindwe kutrain kwa moyo hence we will have our own Lukaku.

Mpaka sasa sijaona sehemu yoyote (Rasmi) ambayo inasema Arsenal imepeleka ofa kwa timu yeyote. Hii ndiyo timu ambayo haina mid kwa sasa na ilijipambanua kwamba ina uhitaji mkubwa wa mid na forward.

Leo ni siku ya 17 na miongoni mwa fununu za kiboya nilizozisoma ni inayodai kwamba Arsenal inamtaka Diego Costa. Babu mwingine wa kibrazil huyu waliomtangulia ni Luiz na Willian chini ya Edu, inaafikiriwa Edu (mreno) anawatengenezea mazingira majirani waBrazil penshen waipatie Arsenal.

Kama timu haijapeleka maombi rasmi kokote hii inamaanisha walisema wana uhitaji ila hawakujua ni nani wanamhitaji? Villa walijua, Barca walijua, Everton walijua na wamejua mpaka kocha hafai.

Sisi tuna mpango gani? Hata kama hii PP technic itatubeba mpaka Afcon ikamalizika so hao watakaorudi wakiumia inakuaje? Squad depth iongezwe.
I am telling you Arsenal ni pasua kichwa kwa sasa hizi tetesi ni za kila msimu na hii kitu inatufanya tushindwe kupata world class players I don't know kama Management ipo serious wao wanapata faida that's it fans wanaishia kulia lia no actions taken leo ni siku ya 17 only 13 days remaining but tumebakia na tetesi kwanza I was surprised kuona story ya Costa nkawa siamini kabisa na huyo Vlahovic wa nini wanamnganania mtu haitaki Arsenal bado mijitu inalazimisha kwa mtindo huu EPL au kuwin champions league tutaipata after 20 years to come
 
kutoka kwa Shirikisho la Gabon kuna sababu mbili za uamuzi wa kuwarudisha Aubameyang Arsenal na Mario Lemina huko Nice, sababu ya kwanza ilihusiana na matatizo ya virusi vya Corona na nia ya klabu zao kuwahitaji, na ya pili. sababu inahusiana na ugomvi na usalama wa hoteli nchini Cameroon kutokana na kuchukua wasichana
 
Burnley have officially requested a postponement of their match against Watford tomorrow night. If this decision is accepted by the Premier League, it would put in doubt our match against them originally scheduled for Sunday January 23.


@TheAthleticUK



Image
 
Kwa mujibu wa habari, sababu hasa ya Aubameyang kurudishwa nyumbani kutoka AFCON ni kutokana na utovu wa nidhamu kinyume na hali yake ya moyo (ambayo bado ni halali)

Suala la "utovu wa nidhamu", linaripotiwa kuhusu mabishano kati ya Auba na walinzi wa hoteli kuhusu kusindikiza wasichana walevi
 
Guardiola on Man City's 12 game-winning run:

"I think Arsenal was the most difficult one. We were lucky."
 
Kulingana na @sr_collings (Football Writer for Evening Standard - mainly covering Arsenal. )

, Arsenal bado wanasubiri majibu ya Juventus kuhusu Arthur, lakini hawataki aondoke, hasa kwa vile Aaron Ramsey huenda akaondoka.

Dili la Dusan Vlahovic bado halijakamilika.

Ni uongo hakuna Uwezekano wa kumsajili Diego Costa kama ilivyoripotiwa kwenye vyombo vya habari
 
Back
Top Bottom