Emi na Aaron wote hawamfikii LenoAngebaki kwa kumtimizia Matakwa yake leo tungekuwa na average goalkeepers wawili ambao wana on na off peak. Lakini kuuzwa kwake tumepata young and talented one.
Emi na Aaron wote hawamfikii LenoAngebaki kwa kumtimizia Matakwa yake leo tungekuwa na average goalkeepers wawili ambao wana on na off peak. Lakini kuuzwa kwake tumepata young and talented one.
Duh,aiseeeeeh hapana,Emi na Aaron wote hawamfikii Leno
lile goli la kwanza la jana la man united limem-discreditTuweke masihala pembeni, Leno hamfikii Emi.
Post-GW21 #PremierLeague #GK 1v1 Rankings: #Ramsdale remains the king of 1v1s!Emi na Aaron wote hawamfikii Leno
overall leno kazidiwa vitu vingi, moja ya kitu arteta anasema alikipenda kwa ramsadale ni vipi akifungwa anakuwaje,, leno ni shot stopping mzuri shida yake mpole kwa defenders wake, ball distribution kazidiwa sana na rams,Aaron Arsenal na DullyJr Leno ametufikisha 3rd katika list ya least goals conceded huku tukiwa na shaky defense sooner baada ya defense yetu kusemwa haijiwezi.
Leno ni mzuri katika shot stopping anachokosa ni communication na zile punt ball ambazo Aaron anazo. So Leno will fare well katika timu ambayo haitamhitaji awe anatoa maelekezo au anatarajiwa azipige punt ball.
Kwa sasa hapo Arsenal Leno ataonekana yupo chini ya Aaron kutokana na msimu tunaoupitia ila Leno hafikiwi na Emi wala Aaron ukija kwenye shot stopping.
Wakati mwingine nahisi communication ni ngumu kwa Leno kwa ajili ya lugha. Kwa kiwango chake naamini anaondoka soon, nitashangaa akibaki.overall leno kazidiwa vitu vingi, moja ya kitu arteta anasema alikipenda kwa ramsadale ni vipi akifungwa anakuwaje,, leno ni shot stopping mzuri shida yake mpole kwa defenders wake, ball distribution kazidiwa sana na rams,

klabu inapambana sana kumaliza hizo deals, upande wa pili ndio kuna vikwazoMpaka sasa Arsenal haina makubaliano na Juventus or Fiorentina kuhusiana na kusign players wao na today ni 16th January inawezekana the same stories kuhusiana na tetesi za usajili kujirudia tukaendelea kubakia na kina Nketiah na Xhaka![]()
Xhaka kaishanikera mnoo naishia kucheka tu siku hizi, yaani jina lake na matukio yake vinaendana, akiwepo uwanjani ni MASHAKA matupu.Xhaka atakosa mechi 2, vs TOT na vs LIV (2nd leg).. kuanzia mechi ya Burnley ya tar 23 atakuwepo.
View attachment 2081462
Same scenario na ya Aouar.klabu inapambana sana kumaliza hizo deals, upande wa pili ndio kuna vikwazo
According to @corriere
.. Arsenal made an official offer of 60 million euros + Torreira to contract with Vlahovic.. the offer is "attractive" and the president wants to sell it .. but the player and his environment are elusive and do not want to give a decision now..
View attachment 2083582
New contacts between Arsenal & Juve for Arthur is expected on Monday/Tuesday. But Juve stance is the same, without a replacement they won’t do a deal
@GoalItalia
AM attackin midfield ??? Smith-rowe ØodegardSame scenario na ya Aouar.
Mwisho wa yote hatuna AM hadi leo.
Mi siamini kwamba ST ni huyu tu. Pengine wanapretend wako bize na huyu dirisha likifungwa tujifariji kwamba at least walionyesha wana nia.
Ni upuuzi.