Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Atakosa mechi na Tottenham na mechi ya marudio ya hii Carabao na mechi ingine ya Ligi.

Mkuu, nilidhani unafahamu hii kitu.
Sifahamu ndiyo maana naona unakosea kujumuisha na game ya ligi. So ilivyo ni kadi za carabao zinaextend mpaka kwenye ligi?
 
Sifahamu ndiyo maana naona unakosea kujumuisha na game ya ligi. So ilivyo ni kadi za carabao zinaextend mpaka kwenye ligi?
Yes, ni kwa all domestic games.

Ingekuwa Arsenal wana Champions League game Xhaka angecheza.
 
Saka amepata chances 2 za kuscore na hakuna iliyozaa matunda.

Nafikiri ameegemea zaidi kuassisst kuliko kuscore.
 
Back
Top Bottom