Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

NIlitaka kumtetea lakini ninakuunga mkono.

Xhaka ni experienced player na alifahamu alikuwa anafanya nini.

Hata hivyo, Ramsdale pia alivyoamua kutoka golini angeendelea kwenda mbele kwa Jotta angeweza hata kuokoa kwa kichwa na hivyo ndivyo makipa mahiri hufanya.

Ni common mistakes za Xhaka ndizo zinatugharimu.

Arsenal wana game na Tottenham ambao saa hii wanachekelea kwa kudhani tutapwaya kwenye midfield Jumapili tena kwao.

Xhaka atamiss 2 games tena important games, shame.

Arsenal wakazanie juhudi wamsajili Arthur Melo haraka iwezekanavyo aje atusaidie pale kati maana Sambi Lokonga bado mwepesi sana.
Tena umenikumbusha hivi lokonga atacheza na nani kwenye midfielder vs Spurs?maana Lokonga naye ndiye amelegea kabisa sijui jpili kama ntaangalia mechi nipunguze presha
 
NIlitaka kumtetea lakini ninakuunga mkono.

Xhaka ni experienced player na alifahamu alikuwa anafanya nini.

Hata hivyo, Ramsdale pia alivyoamua kutoka golini angeendelea kwenda mbele kwa Jotta angeweza hata kuokoa kwa kichwa na hivyo ndivyo makipa mahiri hufanya.

Ni common mistakes za Xhaka ndizo zinatugharimu.

Arsenal wana game na Tottenham ambao saa hii wanachekelea kwa kudhani tutapwaya kwenye midfield Jumapili tena kwao.

Xhaka atamiss 2 games tena important games, shame.

Arsenal wakazanie juhudi wamsajili Arthur Melo haraka iwezekanavyo aje atusaidie pale kati maana Sambi Lokonga bado mwepesi sana.
Hoya hii ni Carabao.

Game na Spurs ni ligi.

Ni ishu mbili tofauti.
 
Niliwahi kuandika humu 70% ya Arsenal fans and supporters they know nothing about football. Xhaka wasn't a defender, mabeki walikuwa wapi?
Weye wataka tu kujisifia wafahamu football?

Kwani ni nani amesema Xhaka ni defender?

Xhaka ni DM hivyo alijua Tierney yupo juu, hivyo akajipa jukumu la kumkabili Jota.

Pia Xhaka ni marksman kwa Jota.
 
These are just like others easily shaken, timu iwe na confidence ya kukaa na mpira, tusibutue
 
Loverpool wakienda emirates Arsenal kwa second leg, itashinda tusiwe na wasiwasi.
 
Xhaka katika akili hakufikiri “Lazima nipate Red Card nitoke” fikra ilikuwa kuondoa mpira kabla ya Jota kuuchukua.
Xhaka ni Pro player... sitaki kuamini akujua risk aliyochukua katika iyo move... pindi alipotaka kucheza huo mpira, alijua wazi akiukosa mpira na kucheza mtu na ikiwa yeye ni mchezaji wa mwisho katika shambulizi nini kingefata!
 
Xhaka atakosa 3 games kwasababau amepata straight red card (dangerous tackle)

Gabby alikosa mechi moja Nottingham Forrest) kwasbabu alipata kadi mbili za njano ndani ya game moja na ikawa red card.

Ndo maana Gabby yumo uwanjani leo.
Ndiyo atakosa three game lakini siyo ya ligi. Au red ya kwenye carabao inafika hadi kwenye ligi?

Spurs si kwenye ligi au?
 
Back
Top Bottom