Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Simkubali Calvert Lewin
That's why tunatukanwa mtaani kwa kushindwa kushindana na magiants kwenye big trophies hivi seriously unaweza ukamention kuwa Calvert Lewin ni player sahihi wa kuscore 20 goals per season?then kuna fans shingo zinawatoka humu kuwa huyo ni one among the best players?tuna utani sana na achievements kwa Big club kama Arsenal
 
Liva iliomba kuahirisha game ya Arsenal Alhamis ila leo Jumapili yuko uwanjani.

Hiki ni nini?
 
Nilifikiri kuna body ya kucontrol ishu hizi na siyo utashi wa klabu
Ni udhaifu wa uongozi wa board yao la league, lakini tusijali hii inatuonesha kuwa speed aliyonayo Arsenal kwa sasa ukikaa vibaya anakuumiza

Hongera kwa Mikel Arteta kwa kuiaminisha Falsafa yake na hatimaye kuonesha ana kitu na aendelee kupewa muda mambo yatajipa
 
That's why tunatukanwa mtaani kwa kushindwa kushindana na magiants kwenye big trophies hivi seriously unaweza ukamention kuwa Calvert Lewin ni player sahihi wa kuscore 20 goals per season?then kuna fans shingo zinawatoka humu kuwa huyo ni one among the best players?tuna utani sana na achievements kwa Big club kama Arsenal
@computerarsenal

Duniani hamna mchezaji mbaya.

Mchezaji anaonekana kua mbaya endapo akishindwa ku adapt mfumo wa kocha husika.

Mo salah,KDB na Guardado walionekana Chelsea ni wabovu na mwishowe wakaondoka ila leo ni story nyingine kabisa.

Coutinho pia ni same story ndio maana mpaka sasahivi anaonekana 'average player'.

Kuhusiana na DCL ni kweli mchezaji average lakini sio sahihi kama wewe unavyo mu underrate kua hawezi fanya chochote Arsenal.

Watu walibeza Sana usajili wa Andy Robertson kutoka Hull City iliyoshuka daraja,watu waliponda Leicester city kumsajili Harry Maguire Lakini wakamuuza Utd kwa hela ndefu kutokana na performance yake.

Binafsi nina imani dogo akija then aka cope with our style of playing atafanya vizuri sana.
 
@computerarsenal

Duniani hamna mchezaji mbaya.

Mchezaji anaonekana kua mbaya endapo akishindwa ku adapt mfumo wa kocha husika.

Mo salah,KDB na Guardado walionekana Chelsea ni wabovu na mwishowe wakaondoka ila leo ni story nyingine kabisa.

Coutinho pia ni same story ndio maana mpaka sasahivi anaonekana 'average player'.

Kuhusiana na DCL ni kweli mchezaji average lakini sio sahihi kama wewe unavyo mu underrate kua hawezi fanya chochote Arsenal.

Watu walibeza Sana usajili wa Andy Robertson kutoka Hull City iliyoshuka daraja,watu waliponda Leicester city kumsajili Harry Maguire Lakini wakamuuza Utd kwa hela ndefu kutokana na performance yake.

Binafsi nina imani dogo akija then aka cope with our style of playing atafanya vizuri sana.
Duniani wachezaji wabaya wapo tena wengi tu.

Robertson ameenda Liva mwaka gani? Ametumia muda gani kuonekana alivyo leo?

Tukirisk kuchukua mchezaji average ili aje kumature hapa Arsenal tutasubiri muda gani? Tuna huo muda wa kusubiri?

Ukiangalia mechi za Everton ndiyo utajua jinsi gani unakaribisha mtihani mpya in form of Dom.
 
Hadi dakika ya 60 tukiwaweka za kutosha

Tunaweza kumshuhudia SALAH


#COYG
 
Mkuu Roberton alijiunga Liverpool July 2017,2018 akacheza final ya UCL na 2019 akachukua ndoo.

2018/2019 alipiga assist 11 EPL.

Sizani Kama huo muda ni mrefu kiivo tangu atoke hull city ila mfumo tu ulikua favorite kwake.

DCL kama mfumo utakua favorite kwake ni vema asajiliwe tu kuliko kumleta Dusan ambaye ana conditions nyingi ili tusije tukatoa fedha nyingi yakaja kua kama ya NP19.
 
Mkuu Roberton alijiunga Liverpool July 2017,2018 akacheza final ya UCL na 2019 akachukua ndoo.

2018/2019 alipiga assist 11 EPL.

Sizani Kama huo muda ni mrefu kiivo tangu atoke hull city ila mfumo tu ulikua favorite kwake.

DCL kama mfumo utakua favorite kwake ni vema asajiliwe tu kuliko kumleta Dusan ambaye ana conditions nyingi ili tusije tukatoa fedha nyingi yakaja kua kama ya NP19.
@Castr
 
Back
Top Bottom