makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,989
- 104,486
We unadhani hiyo sio lawama, mko mbele ya city, kisha unafanya kosa kama hilo ndani ya box, hilo kosa halipaswi kufanywa na mchezaji, hasa katika mazingira tuliyonayo, tunapambania nafasi ya 3-4,Hakuvutwa shati bali alishikwa shati na hajaanguka kwa hiyo sababu ila penati ilitolewa kwa sababu hiyo. Sawa refa ametoa penati lkn je ni kosa la kumwagushia zigo Xhaka??
Ilibidi tupate mtu mwingine jamii ya partey, mido mnyumbulifu ni mzuri haswa kwa timu zinazokaba jamii ya city na liver, wakija wawili anadash anaturn kwa adui anaanza moja ila mido jamii ya xhaka, akipewa mali basi atairudisha huku huko ilipotoka mpira kama una motoOn His Day...Partey ni Mnyama tena Mnyama Mkali Haswaaaa....
Tangu Msimu Uanze Hii ndo Big Game Tumeingia Tumeshiba Kila kitu Mbinu,Juhudi,Maarifa,na Kila Kitu kizuri ...Tulichokosa ni Ukatili Mbele ya Lango Lao...
How I Wish Hii Game Ingeisha Kipindi Cha Kwanza Tungetoka na Goli 2-0 ingekuwa Rahisi Kumeza Pressure na Kutulia na Kumiliki Mpira Zaidi..
Ahsante sana Referee na Team Nzima ya VAR ..mmejua Kutudhulumu Leo Kwa kiasi Chenu... Ile ya Gabriel Wangeweza Kuzima tuu kama foul ya kawaida game ingeendelea na ile penalty ya Odergaard wangeenda Kwenye VAR kuangalia pia...
Hii Game imethibitisha kuwa mfululizo wa matokeo tulivyokuwa tunapata haikuwa bahati Mbaya wala Game Rahisi ni Mabadiliko makubwa mno yamefanyika kwenye uwanja vya mazoezi..
Leo nimeishuhudia Arsenal Niliyokuwa Naitaman sana Tangu Arteta Amekuja..Yes hatuna Quality ya City wala Liverpool ila tunaweza kuingia na Game plan yetu nzuri na tukapambana na kuwapa Game ngumu team Yeyote..Sio Kinyonge kama Tulivyokuwa Mwanzo ...
Team Yetu Saivi Ukiiangalia kila idara imeunganishwa vyema imebaki kuongea Quality kwenye kila idara team itakuwa tam Hii kama Chupa ya Mirinda kwa Yule Dada..
Tumepoteza Game ila Tunajivunia Mengi katika game ya Leo na uzuri sio kila game tutacheza na City kwaio wale wa Size yetu tuhakikishe tunapata pointi za kutuweka pazuri
Kiukweli hata mimi jana arsenal wamenikosha na ndio maana game ya jana ni game iliyoniuma zaidi kwa miaka ya hivi karibuni.Rodri on #Arsenal: "You play these kind of matches only two or three games a season.. They are an incredible team and they show why they are in this position. The way they are growing with Mikel is just huge.”
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Natumai umeona mtu anadiriki kumtukana my mother sababu ya Mpira hivi nikimjibu tena kwa matusi makali ntakuwa na kosa?but nimemsamehe Mungu atamlipiaSasa aliyemzaa anaingiaje hapa. Deal with him yeye kama yeye. Wazazi hawajui hata hii Jamiiforums
Game ya msimu uliopita against liva Laca anaanza kuscore.Kiukweli hata mimi jana arsenal wamenikosha na ndio maana game ya jana ni game iliyoniuma zaidi kwa miaka ya hivi karibuni.
Thats growth and self control.Natumai umeona mtu anadiriki kumtukana my mother sababu ya Mpira hivi nikimjibu tena kwa matusi makali ntakuwa na kosa?but nimemsamehe Mungu atamlipia
Wakija wamenuna tutawapasua Vibaya. Labda VAR na Refs wawe upande wao kama kawaida tulivyozieaCity kutufunga amezidi kuwaacha Chelsea na Liva this means Liva anaweza pitisha msimu mwingine bila kikombe hili litasababisha akomae na trophy yoyote atayoweza ipambania that includes carabao so hii Alhamis nadhani watakuja wamenuna.
Ataweka first eleven ya ligiWakija wamenuna tutawapasua Vibaya. Labda VAR na Refs wawe upande wao kama kawaida tulivyoziea
Bado wanapigika tu. Muhimu wachezaji wetu waongeze concentration iwe 100% kwa match yote. Na yale makosa yatokanayo na concentration hayatakuwepo.Ataweka first eleven ya ligi
Kuwaepuka divers kama Salah na Mane, the concentration we needBado wanapigika tu. Muhimu wachezaji wetu waongeze concentration iwe 100% kwa match yote. Na yale makosa yatokanayo na concentration hayatakuwepo.
Mane, salah, keita hawatokuepoAtaweka first eleven ya ligi
Usisahau pamoja na terminologies zote unazoweza kuzitumia kuelezea ubora wa Chelsea, Liverpool,man city na man u kama vile squad depth, maturity of players, squad discipline, pressing skills, holding skills,class of each individual na pitch performance ya solo players,,,,,,bado there is something you have no guts to mention it.that something is BAHATI.Game ya Leo Liverpool vs Chelsea ,,,, harafu umuweke arsenal katikati ... unafikili Nini kingetokea kama sio kupigwa goli 8-0
So Arsenal is the youngest team in the Premier league, and you want to compare players' maturity against other sides, and you get majority of comments for this one? Are you serious?I hope mneangalia Game ya Fools VS Chel$ea,
Kesho tukiwa na Muda tuiongele tactically and Players maturity kwenye kila Position.
Kisha tufanye comparison na team yetu kisha tuconclude are we on the right track au bado sana kufikia level hizi za ushindani!?
We nae mbona uko obsessed na Arsenal, mtu mzima unashabikiaje timu ya 2011, shida ya kutazama soka ukubwani hiiGame ya Leo Liverpool vs Chelsea ,,,, harafu umuweke arsenal katikati ... unafikili Nini kingetokea kama sio kupigwa goli 8-0
Mkuu ule mkiki mkiki wa wanaume harafu uwaweke kina tomiyasu ,sijui lukonga Wala ulojo wa Zanzibar ni kula kipondo cha goli 8+We nae mbona uko obsessed na Arsenal, mtu mzima unashabikiaje timu ya 2011, shida ya kutazama soka ukubwani hii