Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ataweka first eleven ya ligi
klop ndio kombe analolidharau sana, toka amefika liverpool hajawahi kuwa serious na carabao wala fa, na aliwahi kuongelea, hivo hata salah na mane wasingeenda afcon,bado wasingepangwa hiyo mechi, ana kikos finyu hivo anajua akileta utan hata top 4 msala, so tarajia kikos cha kawaida, hapa tujipange fainal tu

uzuri sisi U23 ndio first eleven epl, kina pepe,leno,holding, soares ndio wa carabao, na smith rowe ataanza, sambi lokonga ndani,

liva tegemea kumuona kehller,minamino,origi,morton,chamberlain,
 
Mane, salah, keita hawatokuepo
hata wangekuwepo wasingecheza, toka klopp aje liverpool sijui lin kwenye fa na carabao aliweka kikos angalau nusu ya kinachocheza epl,

chelsea ,totenham hao ndio watapangiana full first eleven
 
klop ndio kombe analolidharau sana, toka amefika liverpool hajawahi kuwa serious na carabao wala fa, na aliwahi kuongelea, hivo hata salah na mane wasingeenda afcon,bado wasingepangwa hiyo mechi, ana kikos finyu hivo anajua akileta utan hata top 4 msala, so tarajia kikos cha kawaida, hapa tujipange fainal tu

uzuri sisi U23 ndio first eleven epl, kina pepe,leno,holding, soares ndio wa carabao, na smith rowe ataanza, sambi lokonga ndani,

liva tegemea kumuona kehller,minamino,origi,morton,chamberlain,
Ufinyu wa kikosi ndiyo unamtolesha hayo maneno ila mimi naona msimu huu tayari ligi ni long shot na UCL siyo given so kuwafuta machozi mashabiki atataka kuondoka na kombe lolote
 
hata wangekuwepo wasingecheza, toka klopp aje liverpool sijui lin kwenye fa na carabao aliweka kikos angalau nusu ya kinachocheza epl,

chelsea ,totenham hao ndio watapangiana full first eleven
Tulipofungana nao tano tano nusu ya kikosi kilikua cha ligi
 
So Arsenal is the youngest team in the Premier league, and you want to compare players' maturity against other sides, and you get majority of comments for this one? Are you serious?
Maturity does not come with age ila namna unavyobeba majukumu.

Backline ya Liver ukimwondoa Van D wengine wote ni same age as our defence, tuna wastani wa 24 accross kuanzia Langoni na wanne wanaomlinda,

Kwenye kiungo tuna Xhaka 29 Partey 28

Mbele una Lacca 30 na vijana Odemwingi 23 Saka 20 Martinel 20.

Then count individual mistakes ambazo zimekuwa na gharama za kupoteza Point kwenye gamea ambazo hatukupata maximum point.

Haya mambo ni sayansi bro na sio vinginevyo.

Hatukatai mpira ni mchezo wa makosa ili nyavu zitikisike, lakini sio kila siku same mistake. Team ina tatizo la Mentality na sio uwezo. Namna tunavyofunga ndo ina define ukomavu wetu akilini, we dont learn from our mistakes,

Mchezaji aina ya Balotelli tu ndo anaweza kuoata kadi ya Njano daki ya 46 na 47 akapewa second yellow na kumaliza mchezo na kuiacha team ielemewe na pengine kupoteza mchezo husika.

Only mental strength inahusika hapo kupambana na mambo haya, umefanya faulo badala ya kuregroup unaanza kuprotest hii inaonesha uchanga wa akili tena ukiwa unajua kufanya hivyo kunaweza kukuzawadia kadi. Then unapewa kadi ambayo inaepukika, sasa inapokuja unahitaji kufanya technical faul kunusuru team inakuwa na gharama ya wewe kubaki kiwanjani.

We daktari wa tiba za akili mzuri kujikwamua humo tulimo. Its like tunazunguka kwe ye duara moja kwa zaidi ya miaka 15 na kujificha kwenye kivuli cha kujenga team.
 
Maturity does not come with age ila namna unavyobeba majukumu.

Backline ya Liver ukimwondoa Van D wengine wote ni same age as our defence, tuna wastani wa 24 accross kuanzia Langoni na wanne wanaomlinda,

Kwenye kiungo tuna Xhaka 29 Partey 28

Mbele una Lacca 30 na vijana Odemwingi 23 Saka 20 Martinel 20.

Then count individual mistakes ambazo zimekuwa na gharama za kupoteza Point kwenye gamea ambazo hatukupata maximum point.

Haya mambo ni sayansi bro na sio vinginevyo.

Hatukatai mpira ni mchezo wa makosa ili nyavu zitikisike, lakini sio kila siku same mistake. Team ina tatizo la Mentality na sio uwezo. Namna tunavyofunga ndo ina define ukomavu wetu akilini, we dont learn from our mistakes,

Mchezaji aina ya Balotelli tu ndo anaweza kuoata kadi ya Njano daki ya 46 na 47 akapewa second yellow na kumaliza mchezo na kuiacha team ielemewe na pengine kupoteza mchezo husika.

Only mental strength inahusika hapo kupambana na mambo haya, umefanya faulo badala ya kuregroup unaanza kuprotest hii inaonesha uchanga wa akili tena ukiwa unajua kufanya hivyo kunaweza kukuzawadia kadi. Then unapewa kadi ambayo inaepukika, sasa inapokuja unahitaji kufanya technical faul kunusuru team inakuwa na gharama ya wewe kubaki kiwanjani.

We daktari wa tiba za akili mzuri kujikwamua humo tulimo. Its like tunazunguka kwe ye duara moja kwa zaidi ya miaka 15 na kujificha kwenye kivuli cha kujenga team.
Sasa hizo mistakes za kudrop points kama tuna kichaa misimu miwili nyuma ilikua ni kama ndiyo lifestyle. Sasa hivi naona hizo mistakes tunafanya against sides zinazotupa presha ila hapo nyuma utashangaa tu mtu kaguswa anageuka anamkaba mtu. Anagewa red, anaacha wenzake wadeal na balaa.
 
Sasa hizo mistakes za kudrop points kama tuna kichaa misimu miwili nyuma ilikua ni kama ndiyo lifestyle. Sasa hivi naona hizo mistakes tunafanya against sides zinazotupa presha ila hapo nyuma utashangaa tu mtu kaguswa anageuka anamkaba mtu. Anagewa red, anaacha wenzake wadeal na balaa.
My Point is Xhaka is 29 and he is not getting any younger, Gabby is 24 and he should know what defference makes when you have to substitude a Mid/forward player fo a diffender who got red card i. Stupid way.

Nidhamu ya position kidogo now inakua ila bado nidhamu ya kumiliki presha hasa maamuzi yanapokuwa against you.

Hii team sio ya akina Viera kusema one red card haina athari ya matokeo bado walikuwa wanaweza kushinda against any team. Hatuna hao watu wa kucheza 120% sana sana wanacheza 75%
 
My Point is Xhaka is 29 and he is not getting any younger, Gabby is 24 and he should know what defference makes when you have to substitude a Mid/forward player fo a diffender who got red card i. Stupid way.

Nidhamu ya position kidogo now inakua ila bado nidhamu ya kumiliki presha hasa maamuzi yanapokuwa against you.

Hii team sio ya akina Viera kusema one red card haina athari ya matokeo bado walikuwa wanaweza kushinda against any team. Hatuna hao watu wa kucheza 120% sana sana wanacheza 75%
Na hiki naona hakifanyiwi kazi. Tangu Wenger aondoke Arsenal tukipata red ni msiba na hapo haijalishi tunacheza na nani.

Mimi naona kwamba hatuna strong mid ndiyo maana red zinatusumbua, mkiwa na mid strong ambayo inajua kupeleka pasi mbele na kushambulia watu mkila red haiwi shida.

Aje Sanches
 
Na hiki naona hakifanyiwi kazi. Tangu Wenger aondoke Arsenal tukipata red ni msiba na hapo haijalishi tunacheza na nani.

Mimi naona kwamba hatuna strong mid ndiyo maana red zinatusumbua, lakini mid strong ambayo inajua kupeleka pasi mbele na kushambulia watu mkila red haiwi shida.

Aje Sanches

Honestly Sanchez namkubali sana
 
Maturity does not come with age ila namna unavyobeba majukumu.

Backline ya Liver ukimwondoa Van D wengine wote ni same age as our defence, tuna wastani wa 24 accross kuanzia Langoni na wanne wanaomlinda,

Kwenye kiungo tuna Xhaka 29 Partey 28

Mbele una Lacca 30 na vijana Odemwingi 23 Saka 20 Martinel 20.

Then count individual mistakes ambazo zimekuwa na gharama za kupoteza Point kwenye gamea ambazo hatukupata maximum point.

Haya mambo ni sayansi bro na sio vinginevyo.

Hatukatai mpira ni mchezo wa makosa ili nyavu zitikisike, lakini sio kila siku same mistake. Team ina tatizo la Mentality na sio uwezo. Namna tunavyofunga ndo ina define ukomavu wetu akilini, we dont learn from our mistakes,

Mchezaji aina ya Balotelli tu ndo anaweza kuoata kadi ya Njano daki ya 46 na 47 akapewa second yellow na kumaliza mchezo na kuiacha team ielemewe na pengine kupoteza mchezo husika.

Only mental strength inahusika hapo kupambana na mambo haya, umefanya faulo badala ya kuregroup unaanza kuprotest hii inaonesha uchanga wa akili tena ukiwa unajua kufanya hivyo kunaweza kukuzawadia kadi. Then unapewa kadi ambayo inaepukika, sasa inapokuja unahitaji kufanya technical faul kunusuru team inakuwa na gharama ya wewe kubaki kiwanjani.

We daktari wa tiba za akili mzuri kujikwamua humo tulimo. Its like tunazunguka kwe ye duara moja kwa zaidi ya miaka 15 na kujificha kwenye kivuli cha kujenga team.
Ili mchezaji awe na mental strength & Leadership anahitaji kitu gani?
 
Ili mchezaji awe na mental strength & Leadership anahitaji kitu gani?
Kwa upande wangu ningejibu anahitaji vitu kadhaa na miongoni mwao ni

1.kujifunza kutokana na makosa anayofanya-kila kosa waga lina athari zake na mara nyingi waga ni athari hasi na kufatiwa na athari chanya, ukishakosea unaigharimu team hiyo ni athari hasi ila kutokana na hilo kosa utajifunza hiyo ni athari chanya, hapa Xhaka ni wazi kwamba hajawahi kujifunza kutokana na makosa yake, Gabriel amekosea ila tutaangalia baada ya kukosea je atajifunza

2. Maturity, mchezaji anaweza akawa mdogo kiumri ila amepevuka kiakili vya kutosha katika kutambua majukumu yake, anafanya vile vya ulazima tu na Kwa faida ya team hapa utaona wachezaji kama kina Foden,Saka au alivokuwaga Fabregas ktk umri mdogo nk, ila mchezaji anaweza kuwa mkubwa kiumri ila hana maturity

3. Experience, ni mara nyingi uzoefu kwenye utendaji wa shughuri yoyote ile huleta mabadiriko chanya tofauti na mtu ambae hana uzoefu, japokuwa kuna baadhi ya watu pamoja kuwa na uzoefu katika shughuri zao ila hawaoneshi kama wamekomaa

4. Na mwisho kabisa tukumbuke Readership imegawanyika, kuna ambao wao ni born ready (kipaji) Kwa ajili ya uongozi na ambao wao wanapitia stage flani flani ili wawe viongozi, ikiwemo uwezo wa kujifunza unapokosea, maturity na uzoefu ila Kwa ambao ni born ready ni kama walivo kina Fabregas

Sasa ukiangalia hizo sifa 1-3 tukiacha unafki na mapenzi upofu, Xhaka hajawahi kujifunza, Xhaka hajawahi kuwa matured pamoja na umri wake na kibaya zaidi hajawahi kuonesha kuwa yeye ni mchezaji experienced, ni kama vile ana homa za vpindi, kuna muda anafanya makosa ambayo alitakiwa afanye Lukonga coz guy is young, immature and inexperienced

unajua kuna muda Xhaka marefa wana mkondem kutokana na record yake mbovu ya nidhamu, kuna muda unaona kabisa kosa alilofanya Xhaka akapewa adhabu ila akifanya mchezaji mwingine adhabu zitakuwa tofauti, hiyo ameijenga yeye mwenyewe kutokana na kutokubali kubaridika,kujifunza na kupevuka
 
Ili mchezaji awe na mental strength & Leadership anahitaji kitu gani?
1. Aina ya viongozi wanaomuongiza kukomaa na mahitaji ya mahala pa kazi
2. Kuzaliwa na kuwa na ukomavu kutegemeana na mazingira.

Kwa sasa arsenal haina viongoz kama Viera, Martin K, Petit, Tony Adams and CO, hivyo tunawategemeza zaidi viongozi ambao sio wanaoingia kupambana kiwanjani kuwatransfirm kukomaa vijana, bahati mbaya wao wako nje wakati mental meltdown inapotokea kiwanjani hatuna kiongozi wa kuwashika na kiwaongiza Vijana.

Nini Kifanyike,

1. Kuwaamini vijana na kuwaletea viongozi wa kucheza nao
2. Bench liwe la wahamasishaji na wapiga kelele kuwakumbusha vijana kutimiza wajibu zao kiwanjani. Hasa wakati wa Meltdown unapotokea.

Viongozi wa asali ni wachache sana hivyo team zinatakiwa kuwekeza pia kwa wataalamu wa afya za akili ili kuwatransform vijana.
 
Kwa upande wangu ningejibu anahitaji vitu kadhaa na miongoni mwao ni

1.kujifunza kutokana na makosa anayofanya-kila kosa waga lina athari zake na mara nyingi waga ni athari hasi na kufatiwa na athari chanya, ukishakosea unaigharimu team hiyo ni athari hasi ila kutokana na hilo kosa utajifunza hiyo ni athari chanya, hapa Xhaka ni wazi kwamba hajawahi kujifunza kutokana na makosa yake, Gabriel amekosea ila tutaangalia baada ya kukosea je atajifunza

2. Maturity, mchezaji anaweza akawa mdogo kiumri ila amepevuka kiakili vya kutosha katika kutambua majukumu yake, anafanya vile vya ulazima tu na Kwa faida ya team hapa utaona wachezaji kama kina Foden,Saka au alivokuwaga Fabregas ktk umri mdogo nk, ila mchezaji anaweza kuwa mkubwa kiumri ila hana maturity

3. Experience, ni mara nyingi uzoefu kwenye utendaji wa shughuri yoyote ile huleta mabadiriko chanya tofauti na mtu ambae hana uzoefu, japokuwa kuna baadhi ya watu pamoja kuwa na uzoefu katika shughuri zao ila hawaoneshi kama wamekomaa

4. Na mwisho kabisa tukumbuke Readership imegawanyika, kuna ambao wao ni born ready (kipaji) Kwa ajili ya uongozi na ambao wao wanapitia stage flani flani ili wawe viongozi, ikiwemo uwezo wa kujifunza unapokosea, maturity na uzoefu ila Kwa ambao ni born ready ni kama walivo kina Fabregas

Sasa ukiangalia hizo sifa 1-3 tukiacha unafki na mapenzi upofu, Xhaka hajawahi kujifunza, Xhaka hajawahi kuwa matured pamoja na umri wake na kibaya zaidi hajawahi kuonesha kuwa yeye ni mchezaji experienced, ni kama vile ana homa za vpindi, kuna muda anafanya makosa ambayo alitakiwa afanye Lukonga coz guy is young, immature and inexperienced

unajua kuna muda Xhaka marefa wana mkondem kutokana na record yake mbovu ya nidhamu, kuna muda unaona kabisa kosa alilofanya Xhaka akapewa adhabu ila akifanya mchezaji mwingine adhabu zitakuwa tofauti, hiyo ameijenga yeye mwenyewe kutokana na kutokubali kubaridika,kujifunza na kupevuka
Asante kwa kusaidia kujibu kiweredi zaidi.

Uliyoyainisha karibu yote kwa sasa Arsenal ndilo tatizo letu.

Viongozi wa kuzaliwa waliopo ni wadogo

Viongozi kwa maana ya umri wote hawajawahi kujifunza kutikana na previous mistakes
 
Na hiki naona hakifanyiwi kazi. Tangu Wenger aondoke Arsenal tukipata red ni msiba na hapo haijalishi tunacheza na nani.

Mimi naona kwamba hatuna strong mid ndiyo maana red zinatusumbua, mkiwa na mid strong ambayo inajua kupeleka pasi mbele na kushambulia watu mkila red haiwi shida.

Aje Sanches
nyie ata bila kadi ni mavimavi2 mlikua full mkala5 shukurun alivopewa kad mkapata msamaha wa rais
 
Back
Top Bottom