Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mmefungwa lakin Bado mnajipa matumain

Kweli arsenal ni arsenal tu ....

Mpaka hapo wachezaji wenu watakapokuwa na adabu uwanjan ,sio kufoka foka kusababisha foul bila sababu mkila red mnaanza kulia lia
 
Kuna tofauti kubwa sana ya Mashabiki walioziea kuiona Arsenal ya Makombe na Wale waniaipenda wakiwa na upungufu wa mataji.

Ukiirejea rekodi toka sisi wa kitambo kidogo wakati epl hasa inaanza kuruka TZ miaka ya 97/98 Arsenal ilikuwa haichagui wa kufunga awe Manyua au Upupu (Fools) Nyukasto wakati huo wakiwa wa moto.

Hoja za anayesema Arsenal bado hatujapiga hatua ni kulingana na Matarajio ya kuiona inarejesha makali yake yaliyokoma 2005.

Kwa wanaosema imepiga Hatua reference yao ni uwezo wa kupambana na midtable team.

Kwa hoja hizo kila mmoja yupo sahihi.

1. Kuzifunga team ndogo na kusema tumepiga hatua ninsahihi - ila expectations ziko low. Hakuna mawazo ya kuchukua Ubingwa.

2. Kuzifunga team ndogo na kusema bado tunapiga marktime - expectation za U ingwa hizi, ndiko Arsenal inakotakiwa kurejea.

Mwisho wa siku Tukubali kutokukubakiana na huu unakuwa msingi wa Heshima Baina Yetu.

Jana nilikuwa naangalia mpira na Mwana hatufahamiani wote ni Arsenal, tulikuwa na mazungumzo mazuri hadi ilipofika Sub ya Elneny, mwana alimsifia Jamaa anapiga kazi chafu sana, jibu langu kwake lilikuwa Sioni improvement from Denilson... Then nikitukanwa na kuambiwa sijui mpira. I respected him na kuhama meza kuepusha shari kitoka kwenye matusi toka kwa mtu nisiyemfahamu.

My point is tujifunze kukubali kupingwa tunapowasilisha mada, maana kwenye kupingwa kama hujajengwa basi unawajenga wanaokupinga. Mwisho wa siku furaha inatawaka baina yenu.

Matusi ni sehemu ya frustration unaweza kuta mtu ana mambo yake binafsi yanamaonga bahati mbaya ukaingoa kwenye 18 anakumalizia hasiara zote. Tujifunze kufunzwa na wenzetu.


Tupingane kwa hoja na sio Matusi. Sisi ni wakomavu zaidi ya matusi yetu.
FACT yule aliyeanza kunitusi Jana natumai he will never repeat again kunitukana hata mimi matusi nayajua ila heshima lazima iwepo sio unaamka unatukana bila sababu za msingi hapa umeandika FACT kabisa kiongozi tukubali kutokukubaliana sababu kila mtu ana expectations zake kwa Arsenal and that's it
 
Thomas Partey im watching you, the best midfielder in the premier league.
IMG_20220102_153653.jpg
 
There's a reason why referees from the PL doesn't officiate international matches. The level of inconsistency is shocking. They need to VAR their own VAR decision of whatever they are judging decisions upon.

to be fair, the ref did wave away silva's penalty call.. but VAR stepped in and called the ref to the monitor.. wished could have listened what was said between the VAR officials and the ref and how the overturn decision was made.

One of the pundits said "we should get the ref for a post match interview as well and listen how and why certain decisions were made"

What was Gabriel's first yellow for? Understood the second, but what was the first for?

Holding's first offence was booked.
Saka simply argued a case and was booked.
City's player were rampant through out the game and was booked only in 95th minute.

Inconsistent officiating costs us.
Why not allow Man City to score the same way Arsenal did. I thought they never wanted any team to score with penalty after denying Arsenal a clear penalty in the first half.

When we thought we were going to watch one of the best games of the year where it was looking like Man City will not score because it was becoming obvious that Man City aren't gonna score but the officials turned the game into a joke with their stupid and biased decisions.

I have never seen a match that Man City looked like they aren't gonna score like this one. I'm quite sure that they wouldn't have awarded that penalty if it happens to be in Arsenal's favour especially after being ahead. VAR was brought to add value to the game and not to ruin the game.

The level of inconsistency by the VAR handlers are making the games not interesting anymore. Man City will still win the league even if they lost to Arsenal so why not allow the match to be fair to enable them win it by merit.

Not fair to condone misconducts,Xhaka’s penalty was correctly given. He pulled Silva’s shirt. Gabriel first yellow was a result of arguing with Stuart Attwell, deservedly yellow carded. I said before the match about the consequences of redcard. Odeegard challenge by Edson was a penalty wrongly not given by VAR
 
FACT yule aliyeanza kunitusi Jana natumai he will never repeat again kunitukana hata mimi matusi nayajua ila heshima lazima iwepo sio unaamka unatukana bila sababu za msingi hapa umeandika FACT kabisa kiongozi tukubali kutokukubaliana sababu kila mtu ana expectations zake kwa Arsenal and that's it
Kaa kwa kutulia wewe usione kimya ni vile tu kwa kua wewe ni mpumbavu unaachwa katika upumbavu wako
 
Not fair to condone misconducts,Xhaka’s penalty was correctly given. He pulled Silva’s shirt. Gabriel first yellow was a result of arguing with Stuart Attwell, deservedly yellow carded. I said before the match about the consequences of redcard. Odeegard challenge by Edson was a penalty wrongly not given by VAR
FACT bro mwanzoni ulivyokuwa ukiargue kuwa Arsenal mostly in big games players wanakosa discipline na concentration ikabidi nianze kuangalia past games na jana yamejirudia natumai kusema una Big IQ bro sikukupinga but nkaenda kujiridhisha kuona ukisemacho kama ni kweli na yes its true
 
Mmefungwa lakin Bado mnajipa matumain

Kweli arsenal ni arsenal tu ....

Mpaka hapo wachezaji wenu watakapokuwa na adabu uwanjan ,sio kufoka foka kusababisha foul bila sababu mkila red mnaanza kulia lia
Ukiwaambia wanaanza fujo
 
Bro bado unaitaka my dic***?unawashwa marinda ?jana hukupatwa kulalwa?
Yaani hii timu nidhamu ni mbovu kabisa kuanzia wachezaji mpaka mashabiki.
Yaani yule refa wa jana ilitakiwa aingie kwenye hili jukwaa na kutembeza kadi nyekundu mpaka kwa members.
Cheki hapa mashabiki wa Arsenal wanataka kupigana miti wenyewe kwa wenyewe
 
Nitamtukana mpaka aache kunitukana
Kausha mkuu, tatizo lako wewe unaongea ukweli mtupu, sasa mashabiki wa Arsenal wanapenda kudanganyana na kupeana matumaini ya uongo uongo.
Wewe kua mshabiki wa Arsenal humu jukwaani utapata shida sana labda uamue kua bendera, yaani upepo utakapovumia na wewe uende hukohuko.
La sivyo wenzako wote watakuchukulia kama msaliti.
 
Wewe jamaa sipati picha huko mtaani kwenye maisha ya kawaida


Hasa kwenye kubishana mpira ,kama humu tu unatoa shit za namna hii
Mashabiki wa Arsenal ni pasua kichwa kwelikweli, wengi wameanza kufatilia mpira wakiwa mirembe.
Si unajua Arsenal ndio timu ya taifa ya Mirembe.
 
Sasa mkuu ukimtukana unapata faida gani??

Mtu humjui, hamjuani kwanini mnatukanana.

Kwani ukikaa kimya Kuna ubaya boss
Binadamu tunatofautiana mimi kwenye kutukanwa lazima niwashe moto bora uniite Mjinga ila unaniita Msenge nikae kimya?no way tutapambana humu humu
 
Binadamu tunatofautiana mimi kwenye kutukanwa lazima niwashe moto bora uniite Mjinga ila unaniita Msenge nikae kimya?no way tutapambana humu humu
haiwezekani kunyamaza we wawashie moto tu, wasikuletee mazoea ya kijinga kijinga, tena hawa ukiwanyamazia wanaweza kukutia hata kidole sio wakuwachekea kabisa hawa
Tena wakizingua wahame na litimu lao libovu wasikuletee zereu.
 
Arteta kafanya nini hapo Emirate?
Wachezaji walewale kandanda tofauti kabisa na Arsenal tunayoufahamu more than 10 yrs ago
Attscking minded clinical, ball cotrol, agressive and confident.
You deserve top 4 and more
Kuna watu wanasema Arteta hafai sio kocha afukuzwe hahahahaaha.

Mpaka ndugu zetu wa Chelsea nyinyi mnaona
 
Nilichogundua mashabiki wa Arsenal wa hii forum hawakukubali Computerarsenal hata,kidogo na wameshakuchoka sababu mnajua wenyewe labda sababu ulivotangaza kuhama club au labda kama wanavodai hujui mpira kama member wanavyodai. Kilichobaki ni kuwa member wanatumia technique ya kukuprovoke ukireact tu wanaungana wote wanakuattack either directly or indirectly.

Mfano huyu Lokonga hapa anamprovoke Computerarsenal intentionally ila Computerasrenal akijibu tu member wote watamjadili Computerarsenal kuwa ana matusi bila kumjali aliyeanzisha.

Baada ya match mkuu Synthezire alimuita Computerarsenal (CA) ms*nge ila jamaa alivoreact member wote mkamuattack CA pasi na kumjadili kabisa huyu Synthezire( jina sijui nimeparia).

Kuna member kasema hapo juu kamsemea kuwa aliyemzaa CA kala hasara member hamjaliona hili labda kwa kuwa mshamchoka haitakii watu watukaniane wazazi.

Kuna baadhi ya member hujiona wao wachambuzi sana na wanajua mpira kuliko wengine. Sasa wakiwa wanabishana na CA wao humkosoa na kumwambia hana knowldge ya mpira (ushahidi rejea mijadala ya nyuma) ila computerarsenal akijibu tu kwa kuwaita na wao wana low IQ wanadai anajadili bila hoja.(Hawa hii ndio technique yao tena hawa ndo hawakukubali kabisa bora wale wanaojionesha wazi).

Hii inawahusu member wote wakiongozwa na Castr,dully jr,synthezire,Lokonga nk wengine majina siwajui sijui mlianzia wapi na huyu CA mpaka kumuona kirusi kwa group. Kilichofanya niandike bandiko hili ni kuwaambia ya kuwa kama mtu hamumkubali msitumie mbinu indirect za kumprovike then akishakua exposed basi mnamuattack kama ilivotokea baada ya mechi ya m city. (Kuweni real).

Mimi ni mtanzania tu aliyeamua tu kutoa maoni yake na wala sifungamani na upande wowote.

Mkuu Demi shukrani kwa kumtetea bwana Computerarsenal dhidi ya hawa wanagroup wenzie.
Just for your information Demi Ni mtu mmoja namkubali sana. Yeye ni KE na hayupo kwenye mambo haya ya mipira.
 
Back
Top Bottom