Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hii tabia ya matusi yaliyopitiliza, SIO. Inatudhalilisha. Yes we lost the game, our emotions were running high but not to the extent of exchanging unspeakable insults.
Brilliant & Class Clarifications – Unafahamu how football works na law of nature & realism. The entire world imeona Arsenal, Stuart Attwell na Manchester City, ni baadhi tu ya watu waliochagua mlengo wao wanaona Xhaka pekee, at the same time huoni hata wakigusia Gabriel Magalhães unafahamu kwa nini?Arsenal leo japo tumepoteza mechi lkn kila mpenzi wa soka ameona mwelekeo wa timu na bila shaka kila mtu ameridhika kabisa na mwendelezo na performance ya timu.
Performance ya Xhaka na Partey leo ilikuwa katika kiwango cha juu sana. Kosa la Xhaka limeonekana baada ya mchezaji wa city kujiangusha lkn sio kwamba kushikwa jezi ndo kilisababisha aanguke ndo maana mwanzoni refa hakufunika tuta.
Kosa lililotupa wakati mgumu ni la Gabriel kupigwa red card na hiyo ni kwa makosa ya refa tu maana haikuwa rafu ya kumtoa nje kwa njano ya pili.
Kwa mtu ambae ameangalia mechi vzr hawezi kuacha kusema performance ya Xhaka ilivyomrahisishia kazi partey na kama wachezaji wetu wakiendelea na form walionayo sasa basi na sisi tutakua na top class players.
Kitu ambacho coach anatakiwa akifanyie kazi ni kuwajenga wachezaji wetu kuwa makini zaidi hasa wanapokutana na timu zenye wachezaji wajanja wajanja km man city ambao hutumia mbinu nyingi za kutafuta matokeo ikiwepo wa kuwatafutia kadi au penati ikiwa refa hatokuwa makini. Vinginevyo leo tuliwazidi sana hasa eneo la kiungo
Kwa kweli yanapotokea mashambulizi mengi xhaka huwa anajichanganya sana,no sita wengi Arteta ni muda sasa wa kutafta mbadala wakeKama Arsenal wanahitaji kuendelea mbele ni muda sasa wa kuachana na viungo aina ya Xhaka. It was silly mistake kufanya faulo pale kwenye box. Xhaka ni mjinga mjinga sana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mkuu siku km mbili tatu kabla ya mechi ya jana tulikuwa na ubishani juu ya uwezo wa Xhaka, kwahiyo wakati naangalia mechi jana concentration yangu ilikuwa juu yake na safu ya ulinzi kwa ujumla. Nilikuwa naangalia jinsi wanavyokaa kwenye nafasi zao, wanavyopokonya mipira kwa mpinzani na wanavyoanzisha mashambulizi. Katika hayo yote sikuona sehemu ambayo walifanya makosa.Brilliant & Class Clarifications – Unafahamu how football works na law of nature & realism. The entire world imeona Arsenal, Stuart Attwell na Manchester City, ni baadhi tu ya watu waliochagua mlengo wao wanaona Xhaka pekee, at the same time huoni hata wakigusia Gabriel Magalhães unafahamu kwa nini?
Verisimilitude – Katika kila jambo kuna kitu Verisimilitude au Verismo yaani Uhalisia! Uhalisia recently katika dunia umetoweka hasa ikichagizwa na mfumo wa ukuaji katika jamii tofauti. Kutoweka kwa uhalisia au realism imeleta suala linalosabisha haya yote ambalo ni EXCUSES.
Excuses – Ni hali ya kupunguza lawama na kujaribu kutafuta faraja katika fikra. Excuses ni against realism chanzo cha mafanikio. Linapotokea kosa au kupoteza mtu hakubali uhalisia anatafuta faraja kwa kutoa lawama na kujiona hajapoteza.
Xhaka Scenarios – Xhaka anacheza na 10 others players against 11 others, both sides zinaamini katika ushindi – Realism inaonyesha hata opponents wanahitaji na kuweza kushinda kwa maana hachezi pekee yake, wachezaji ni human sio AI na Robotics. Tumewahi kujiuliza zinapofungwa Sheffield United, Bunley FC au Cystal Palace na wao wanalenga mchezaji kwa kuona ndio chanzo?!
Excuses zinaambatana na hali ya Negativity mindset/thoughts katika kila angle mtu anatizama jambo kwa mtazamo, hisia na mlengo hasi. Hivi ndio Xhaka anavyotazamwa, atafanya kosa gani na hata lisipotokea kosa likatokea jema hapewi credit maana mhusika amekuwa outshined against willing yake. Verismo inaonyesha unapotafuta ubaya utapata na ukitafuta uzuri utapata.
Partey, Tierney, White, Gabriel, ESR, Lacazette, Ødegaard, AMN and more wote ninaweza kuorodhesha makosa katika mechi mbalimbali zaidi ya makosa 5 kwa kila mmoja lakini sifanyi excuses kwa sababu ni uhalisia katika football na ninatizama katika neutrality observational.
Arsenal Fans – Kwa asilimia kubwa uongozwa kwa hisia kuliko uhalisia. Remember this! Yanayotokea kwa Xhaka, yaliyotokea kwa Özil na sasa Aubameyang baada ya miezi kadhaa utayaona kwa favorites players like Tomiyasu, Partey, ESR, Odegaard au mchezaji yeyote. Once upon a time Xhaka, Aubameyang & Özil walikuwa fans favourite.
Angalia hii pichaMkuu siku km mbili tatu kabla ya mechi ya jana tulikuwa na ubishani juu ya uwezo wa Xhaka, kwahiyo wakati naangalia mechi jana concentration yangu ilikuwa juu yake na safu ya ulinzi kwa ujumla. Nilikuwa naangalia jinsi wanavyokaa kwenye nafasi zao, wanavyopokonya mipira kwa mpinzani na wanavyoanzisha mashambulizi. Katika hayo yote sikuona sehemu ambayo walifanya makosa.
Kuna mdau alisemea udhaifu wa Xhaka kuwa ni ku-loose concentration, kuwa out of position na kutokuwa na discipline. Kwahiyo wakati nafuatilia jana hayo yote jana sikuyaona kwa Xhaka toka mechi inaanza mpaka inaisha. Nilitegemea baada ya kadi ya njano na nyekundu kwa Gabriel, Xhaka angepotea zaidi lkn bado aliweza ku-maintain na kufanya vzr.
Kwangu mimi nasema Xhaka ni moja ya viungo muhimu sana kwenye timu yetu na ukitaka kujua kuwa ni muhimu basi apate injury alafu akae nje hata miezi miwili tu one kiungo chetu kinavyopwaya. Kitu kingine pamoja na mambo yote bado Xhaka anajitoa na kucheza kwa moyo wake wote kwa ajili ya timu. Kwenye kosa la jana limetokana na kulalamika kwa wachezaji wa city na refa akashindwa kuwa fair lkn ukweli ni kwamba Xhaka hakumshika jezi ili kumzuia ndio hiyo ilionekana wakati silva anaenda chini. Yaani ukiangalia lile tukio utaona silva alianguka kuonyesha kakwatuliwa miguuni na penati inatolewa kwa kuvutwa jezi.
Nasisitiza tusimuone Xhaka km mkosaji na mkwamishaji wa maendeleo kwenye timu yetu. Kwa aina ya mpira wa sasa ni vigumu kumpata kiungo aina ya Xhaka
Yawezekana xhaka hakutumia nguvu lakin kitendo cha kumvuta shati ,ile ilikuwa faulo ,.....ili isiwe faulo ilitakiwa bernado asianguke .....Angalia hii picha View attachment 2065687View attachment 2065688
Kosa la xhaka ...Angalia hii picha View attachment 2065687View attachment 2065688
Hakuvutwa shati bali alishikwa shati na hajaanguka kwa hiyo sababu ila penati ilitolewa kwa sababu hiyo. Sawa refa ametoa penati lkn je ni kosa la kumwagushia zigo Xhaka??Yawezekana xhaka hakutumia nguvu lakin kitendo cha kumvuta shati ,ile ilikuwa faulo ,.....ili isiwe faulo ilitakiwa bernado asianguke .....
Na kwa Sasa epl hata uchezewe rafu kiasi gani kama hujaanguka refaree anapeta ....
Bernado katumia akili na uzoefu wa marefaaa wa epl ......
Mkuu huo mwanguko ni wa kuvutwa shati kweli?? Yani uvutwe shati alafu u-dive?. Xhaka hakuonesha nia ya kucheza rafu ndio maana refa hakufunika moja kwa moja mpaka alivyozongwa na wachezaji wa cityKosa la xhaka ...
.bernado kashawin mpira na katembea.....
Xhaka anamvuta shati.....
Hapo ni faulo tayari ,haijarishi katumia nguvu Wala nini ,kwa sababu kashaonesha utayari wa kucheza faulo .....
Kitu pekee kingechomuokoa xhaka ,,....ni endapo bernado asingeanguka .....
Kuanguka kunahalalisha faulo hata kwa contact kidogo tu. Mchezaji anatakiwa awe aware na mazingira yake ajue kwamba hapa nilipo nikimvuta mtu ni tatizo.Angalia hii picha View attachment 2065687View attachment 2065688
Huoni kama kavutwa shati happ mzee ,mpaka shati imevutika .....Mkuu huo mwanguko ni wa kuvutwa shati kweli?? Yani uvutwe shati alafu u-dive?. Xhaka hakuonesha nia ya kucheza rafu ndio maana refa hakufunika moja kwa moja mpaka alivyozongwa na wachezaji wa city
Mods watusaidie kwa hili hakuna sababu ya kusumbuana.Arsenal ni timu yetu bora na tumeipenda na tunawapenda wachezaji wetu waliopo na waliokwisha hama.Wadau poleni Sana kwa matokeo ya Leo. Kimsingi sote tumeumia Sana kama wapenda mpira na mashabiki kindakindaki wa arsenal.. Tupeaneni pole Sana!.. Hata hivyo sote tunaona mwelekeo wa timu yetu ni chanya kabisa.. Pamoja na hayo sasa wamezuka mashabiki katika jukwaa hili ambao wameanzisha tabia mbaya ya kutukana watu hapa jukwaani. Kuna huyu shabiki aliyetangaza kwa dharau kubwa kuihama timu yetu na kuanza kushabikia timu mpya, hata hivyo amerejea akiwa na tabia mpya ya kutukana watu matusi ya nguoni na Yale ya lejaleja.. Pengine amekulia katika makuzi ya kutukana tukana watu na hivyo kwake ni kitu cha kawaida.. Amekuwa anabadili style ya matusi na ukubwa wa matusi.. Wote tumeshuhudia matusi yaliyomiminika hapa muda mfupi uliopita... Kimsingi hili jukwaa linanajisiwa kwa matusi ya nguoni yasiyo na staha.. Yaani mtu hawezi kumaliza siku nzima bila kuwambia wenzake kuwa Hawana akili au wana IQ ndogo, utasikia maneno kama msenge, unachokonolewa, nitakupigia machine n.k.. Binafsi ninakerwa sana na huyu mtu maana anawatukana wana Arsenal na yeye eti anajiita mwana arsenal. Hivi huyu mtu ni shabiki wa Arsenal kweli? Kama ni shabiki wa Arsenal kwa nini asiwatukane watani wetu au wapinzani wetu? Hivi kweli wanna arsenal wanamkera kuliko mashabiki wa Chelsea, liver, spurs nk. Niwasihi Sana wadau tuonyeshe ukomavu wetu kwa kuvumiliana, kupendana na kujadili Moira kwa amani...
Nilitamani watu tuwe tunajadili mpira kwenye timu yetu. Kila mtu atoe mtizamo wake alafu mwingine apinge kwa fact kisha kwa kuwa football ni real basi watu waende kuprove kwa kuangalia mechi huko wakirefer & compare kilichojadiliwa. Kwa kufanya hivyo sio tu tutabaki kuwa wapenzi wa mpira bali tutaujua mpira. Sasa tatizo la hapa jukwaani watu either ni wavivu au hawajui ku-argue hivyo wanaishia kutoa matusi.At one point Arsenal tulikua tunapoteza mechi na kusuluhu na kila timu ilikua miyeyusho kuifuatilia timu na katika kipindi hicho pia katika huu uzi ilikua tunaweza kujikuta watu wawili au mmoja.
Katika hicho kipindi ilikua ngumu huu uzi kuwakuta mashabiki wa timu zingine humu ilikua ni kama vile kila mmoja kashajua Arsenal anatakiwa kufungwa mashabiki wa Arsenal wakawa wanaingia kuchungulia ila siyo kucomment.
Maisha yakaendelea mpaka game na chelsea tuliyoshinda 3 watu wakaanza kuja ila safari hii ji kumsema kocha na wachezaji. Msimu mpya ukaanza na vipigo, kocha akazidi kusemwa, tulisema sisi, zikawa nyingi.
Halafu tukaanza kushinda ila kimiyeyusho, baadaye tukawa tunashinda convincingly hapa sasa ndiyo mashabiki wengi wakarudi hapa sasa ndiyo kila mtu anamquote mwenzake ili kumshushua au kumuambia ana IQ ndogo au kumuambia haelewi mpira.
Since hizo wins vimezuka vitabia vya kitoto, mtu atakuquote kusema ulichoandika siyo sahihi ukimwambia athibitishe madai yake anakimbilia jibu la 'Una IQ ndogo' 'Hauelewi mpira' 'Umeshinda wewe' haya yamekuja pamoja na mashabiki wa timu zingine kuja humu kuandika wanachoandika hawa sina shida nao as shabiki wa timu nyingine kukuharass ni given.
Ila mtu anayeclaim yeye ni Arsenal halafu anakuquote kukuandikia katika namna ya kumaanisha actually anataka mbishane au ameamka tu siku hiyo na kuchagua kua mpuuzi.
Sasa hivi tumefika kwenye kutukanana. Yaani mtu anaamini yeye anajua mpira kiasi kwamba ukimwambia alichosema siyo sahihi wewe ni msenge huna akili unatakiwa kuchokonolewa.
Mkuu, Xhaka ni mchezaji anayekuwa targeted na hii imekuzwa na Washabiki wa Arsenal wenyewe kwa kumuongelea negative.Brilliant & Class Clarifications – Unafahamu how football works na law of nature & realism. The entire world imeona Arsenal, Stuart Attwell na Manchester City, ni baadhi tu ya watu waliochagua mlengo wao wanaona Xhaka pekee, at the same time huoni hata wakigusia Gabriel Magalhães unafahamu kwa nini?
Verisimilitude – Katika kila jambo kuna kitu Verisimilitude au Verismo yaani Uhalisia! Uhalisia recently katika dunia umetoweka hasa ikichagizwa na mfumo wa ukuaji katika jamii tofauti. Kutoweka kwa uhalisia au realism imeleta suala linalosabisha haya yote ambalo ni EXCUSES.
Excuses – Ni hali ya kupunguza lawama na kujaribu kutafuta faraja katika fikra. Excuses ni against realism chanzo cha mafanikio. Linapotokea kosa au kupoteza mtu hakubali uhalisia anatafuta faraja kwa kutoa lawama na kujiona hajapoteza.
Xhaka Scenarios – Xhaka anacheza na 10 others players against 11 others, both sides zinaamini katika ushindi – Realism inaonyesha hata opponents wanahitaji na kuweza kushinda kwa maana hachezi pekee yake, wachezaji ni human sio AI na Robotics. Tumewahi kujiuliza zinapofungwa Sheffield United, Bunley FC au Cystal Palace na wao wanalenga mchezaji kwa kuona ndio chanzo?!
Excuses zinaambatana na hali ya Negativity mindset/thoughts katika kila angle mtu anatizama jambo kwa mtazamo, hisia na mlengo hasi. Hivi ndio Xhaka anavyotazamwa, atafanya kosa gani na hata lisipotokea kosa likatokea jema hapewi credit maana mhusika amekuwa outshined against willing yake. Verismo inaonyesha unapotafuta ubaya utapata na ukitafuta uzuri utapata.
Partey, Tierney, White, Gabriel, ESR, Lacazette, Ødegaard, AMN and more wote ninaweza kuorodhesha makosa katika mechi mbalimbali zaidi ya makosa 5 kwa kila mmoja lakini sifanyi excuses kwa sababu ni uhalisia katika football na ninatizama katika neutrality observational.
Arsenal Fans – Kwa asilimia kubwa uongozwa kwa hisia kuliko uhalisia. Remember this! Yanayotokea kwa Xhaka, yaliyotokea kwa Özil na sasa Aubameyang baada ya miezi kadhaa utayaona kwa favorites players like Tomiyasu, Partey, ESR, Odegaard au mchezaji yeyote. Once upon a time Xhaka, Aubameyang & Özil walikuwa fans favourite.