Brilliant & Class Clarifications – Unafahamu how football works na law of nature & realism. The entire world imeona Arsenal, Stuart Attwell na Manchester City, ni baadhi tu ya watu waliochagua mlengo wao wanaona Xhaka pekee, at the same time huoni hata wakigusia Gabriel Magalhães unafahamu kwa nini?
Verisimilitude – Katika kila jambo kuna kitu Verisimilitude au Verismo yaani Uhalisia! Uhalisia recently katika dunia umetoweka hasa ikichagizwa na mfumo wa ukuaji katika jamii tofauti. Kutoweka kwa uhalisia au realism imeleta suala linalosabisha haya yote ambalo ni EXCUSES.
Excuses – Ni hali ya kupunguza lawama na kujaribu kutafuta faraja katika fikra. Excuses ni against realism chanzo cha mafanikio. Linapotokea kosa au kupoteza mtu hakubali uhalisia anatafuta faraja kwa kutoa lawama na kujiona hajapoteza.
Xhaka Scenarios – Xhaka anacheza na 10 others players against 11 others, both sides zinaamini katika ushindi – Realism inaonyesha hata opponents wanahitaji na kuweza kushinda kwa maana hachezi pekee yake, wachezaji ni human sio AI na Robotics. Tumewahi kujiuliza zinapofungwa Sheffield United, Bunley FC au Cystal Palace na wao wanalenga mchezaji kwa kuona ndio chanzo?!
Excuses zinaambatana na hali ya Negativity mindset/thoughts katika kila angle mtu anatizama jambo kwa mtazamo, hisia na mlengo hasi. Hivi ndio Xhaka anavyotazamwa, atafanya kosa gani na hata lisipotokea kosa likatokea jema hapewi credit maana mhusika amekuwa outshined against willing yake. Verismo inaonyesha unapotafuta ubaya utapata na ukitafuta uzuri utapata.
Partey, Tierney, White, Gabriel, ESR, Lacazette, Ødegaard, AMN and more wote ninaweza kuorodhesha makosa katika mechi mbalimbali zaidi ya makosa 5 kwa kila mmoja lakini sifanyi excuses kwa sababu ni uhalisia katika football na ninatizama katika neutrality observational.
Arsenal Fans – Kwa asilimia kubwa uongozwa kwa hisia kuliko uhalisia. Remember this! Yanayotokea kwa Xhaka, yaliyotokea kwa Özil na sasa Aubameyang baada ya miezi kadhaa utayaona kwa favorites players like Tomiyasu, Partey, ESR, Odegaard au mchezaji yeyote. Once upon a time Xhaka, Aubameyang & Özil walikuwa fans favourite.