Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Trust the process one day yes. But man city is overrated. Ni wazuri lakini sifa anazopewa ni zaidi ya uhalisia
Mmekaa siku tano without game ,mnerudi with more energy hili sikatai ...

But sisi tumecheza game two days back to back ,yaan kdb ,bernado ,cancelo unaona kabisa wapo out of form ...kisa uchovu ...

But mbinu zenu zilikuwa Bora kwa kweli ....

Lakin binafs hii performance yenu hamuwezi maintain hivi ..... always form is temporary .....na hii game ni kama mliipania kabisa


Soon arsenal ninayoijua Mimi mtaiona next game against Spurs ....
 
Mmekaa siku tano without game ,mnerudi with more energy hili sikatai ...

But sisi tumecheza game two days back to back ,yaan kdb ,bernado ,cancelo unaona kabisa wapo out of form ...kisa uchovu ...

But mbinu zenu zilikuwa Bora kwa kweli ....

Lakin binafs hii performance yenu hamuwezi maintain hivi ..... always form is temporary .....na hii game ni kama mliipania kabisa


Soon arsenal ninayoijua Mimi mtaiona next game against Spurs ....
Ikiwa form ni temporary ni kipi ambacho ni permanent?
 
Trust the process one day yes. But man city is overrated. Ni wazuri lakini sifa anazopewa ni zaidi ya uhalisia

Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, wale jamaa ni overrated, na ndio maana wako 11 POINTS CLEAR AT THE TOP.
 
Nina miaka kadhaa arsenal inafungwa siumii, ila game ya leo imenikera haswa, leo ililuwa ni siku ya man city kufa, ila xhaka.. aisee huyu kiumbe anaboa, ni juzi tu nilimgusia kuna mtu akaongea mpaka basi, siku hizi si mtu wa kubishana saana ila xhaka ana matatizo mengi mnooo, tukitaka tupambanie ubigwa basi xhaka auzwe kabisa.
 
Kubabake walay mnanichekesha kinoma
Dawa ya magay kama hawa wanaowashwa ni kutatuliwa marinda tu bado yule refa naye angekuwa Tanzania leo tungemuoa kwa ndoa 3 kabisa ukiachana na makosa yetu frequently kwenye big games za lack of concentration and discipline but refarii anatakiwa atotolewe kama huyu young gay anayetaka mbususu
 
Kaanza kuntukana fuatilia kiongozi na kuna member alitaka kuntusi nkamwambia leo sipo kwenye mood nzuri baada ya game sasa huyu Gay anajifanya anaijua Arsenal wakati Arsenal haitambui kama ana exist katika dunia hii kisha anakuja kunitusi mimi?why ?
we una matatizo sio bure
 
We are buiding team without super resources, Without Pep Guardiola
 
Wadau poleni Sana kwa matokeo ya Leo. Kimsingi sote tumeumia Sana kama wapenda mpira na mashabiki kindakindaki wa arsenal.. Tupeaneni pole Sana!.. Hata hivyo sote tunaona mwelekeo wa timu yetu ni chanya kabisa.. Pamoja na hayo sasa wamezuka mashabiki katika jukwaa hili ambao wameanzisha tabia mbaya ya kutukana watu hapa jukwaani. Kuna huyu shabiki aliyetangaza kwa dharau kubwa kuihama timu yetu na kuanza kushabikia timu mpya, hata hivyo amerejea akiwa na tabia mpya ya kutukana watu matusi ya nguoni na Yale ya lejaleja.. Pengine amekulia katika makuzi ya kutukana tukana watu na hivyo kwake ni kitu cha kawaida.. Amekuwa anabadili style ya matusi na ukubwa wa matusi.. Wote tumeshuhudia matusi yaliyomiminika hapa muda mfupi uliopita... Kimsingi hili jukwaa linanajisiwa kwa matusi ya nguoni yasiyo na staha.. Yaani mtu hawezi kumaliza siku nzima bila kuwambia wenzake kuwa Hawana akili au wana IQ ndogo, utasikia maneno kama msenge, unachokonolewa, nitakupigia machine n.k.. Binafsi ninakerwa sana na huyu mtu maana anawatukana wana Arsenal na yeye eti anajiita mwana arsenal. Hivi huyu mtu ni shabiki wa Arsenal kweli? Kama ni shabiki wa Arsenal kwa nini asiwatukane watani wetu au wapinzani wetu? Hivi kweli wanna arsenal wanamkera kuliko mashabiki wa Chelsea, liver, spurs nk. Niwasihi Sana wadau tuonyeshe ukomavu wetu kwa kuvumiliana, kupendana na kujadili Moira kwa amani...
 
Wadau poleni Sana kwa matokeo ya Leo. Kimsingi sote tumeumia Sana kama wapenda mpira na mashabiki kindakindaki wa arsenal.. Tupeaneni pole Sana!.. Hata hivyo sote tunaona mwelekeo wa timu yetu ni chanya kabisa.. Pamoja na hayo sasa wamezuka mashabiki katika jukwaa hili ambao wameanzisha tabia mbaya ya kutukana watu hapa jukwaani. Kuna huyu shabiki aliyetangaza kwa dharau kubwa kuihama timu yetu na kuanza kushabikia timu mpya, hata hivyo amerejea akiwa na tabia mpya ya kutukana watu matusi ya nguoni na Yale ya lejaleja.. Pengine amekulia katika makuzi ya kutukana tukana watu na hivyo kwake ni kitu cha kawaida.. Amekuwa anabadili style ya matusi na ukubwa wa matusi.. Wote tumeshuhudia matusi yaliyomiminika hapa muda mfupi uliopita... Kimsingi hili jukwaa linanajisiwa kwa matusi ya nguoni yasiyo na staha.. Yaani mtu hawezi kumaliza siku nzima bila kuwambia wenzake kuwa Hawana akili au wana IQ ndogo, utasikia maneno kama msenge, unachokonolewa, nitakupigia machine n.k.. Binafsi ninakerwa sana na huyu mtu maana anawatukana wana Arsenal na yeye eti anajiita mwana arsenal. Hivi huyu mtu ni shabiki wa Arsenal kweli? Kama ni shabiki wa Arsenal kwa nini asiwatukane watani wetu au wapinzani wetu? Hivi kweli wanna arsenal wanamkera kuliko mashabiki wa Chelsea, liver, spurs nk. Niwasihi Sana wadau tuonyeshe ukomavu wetu kwa kuvumiliana, kupendana na kujadili Moira kwa amani...
Tatizo fans wa arsenal mnastress balaaa
 
Wadau poleni Sana kwa matokeo ya Leo. Kimsingi sote tumeumia Sana kama wapenda mpira na mashabiki kindakindaki wa arsenal.. Tupeaneni pole Sana!.. Hata hivyo sote tunaona mwelekeo wa timu yetu ni chanya kabisa.. Pamoja na hayo sasa wamezuka mashabiki katika jukwaa hili ambao wameanzisha tabia mbaya ya kutukana watu hapa jukwaani. Kuna huyu shabiki aliyetangaza kwa dharau kubwa kuihama timu yetu na kuanza kushabikia timu mpya, hata hivyo amerejea akiwa na tabia mpya ya kutukana watu matusi ya nguoni na Yale ya lejaleja.. Pengine amekulia katika makuzi ya kutukana tukana watu na hivyo kwake ni kitu cha kawaida.. Amekuwa anabadili style ya matusi na ukubwa wa matusi.. Wote tumeshuhudia matusi yaliyomiminika hapa muda mfupi uliopita... Kimsingi hili jukwaa linanajisiwa kwa matusi ya nguoni yasiyo na staha.. Yaani mtu hawezi kumaliza siku nzima bila kuwambia wenzake kuwa Hawana akili au wana IQ ndogo, utasikia maneno kama msenge, unachokonolewa, nitakupigia machine n.k.. Binafsi ninakerwa sana na huyu mtu maana anawatukana wana Arsenal na yeye eti anajiita mwana arsenal. Hivi huyu mtu ni shabiki wa Arsenal kweli? Kama ni shabiki wa Arsenal kwa nini asiwatukane watani wetu au wapinzani wetu? Hivi kweli wanna arsenal wanamkera kuliko mashabiki wa Chelsea, liver, spurs nk. Niwasihi Sana wadau tuonyeshe ukomavu wetu kwa kuvumiliana, kupendana na kujadili Moira kwa amani...
We fala acha chokochoko fuatilia kwa nini nimemtukana huyo mtu mbona una haraka kama mkojo wa asubuhi?nifuatilie kama nimeshawahi kumtukana member yoyote humu acha kujiona unajua kuliko wengine stupid As*** halafu niwatukane wapinzani je wamewahi kunitusi?akili yako inataka nimtukane mpinzani?heheheheh
Huyo member kaniita mimi msenge au hukuona ?kama hujaona review basi watu kama nyie mnakera sana kujifanya mnajua kuliko wengine mimi mtu akintukana au kunidharau naapa ntampa matusi mpaka akome kama unataka kuargue na mimi argue na mimi mbona kuna Castr Mysterio hata Will Jr licha huwa mara kwa mara anasema tunatumia ID moja sijawahi kumtusi?hata Lokonga sijawahi kumtukana mtu ananiita msenge nimuangalie?mamamamae ntakufa nae mpaka ajute
All in all Arsenal kapoteza sababu ya refa,lack of concentration and discipline but kwa mpira kaucheza sio mchezo direction ya Arsenal ipo let's wait for our next Spurs game West Ham kashinda Spurs kashinda Manchester United naye akishinda Top 4 inakuwa ya moto
 
Dawa ya magay kama hawa wanaowashwa ni kutatuliwa marinda tu bado yule refa naye angekuwa Tanzania leo tungemuoa kwa ndoa 3 kabisa ukiachana na makosa yetu frequently kwenye big games za lack of concentration and discipline but refarii anatakiwa atotolewe kama huyu young gay anayetaka mbususu
Uzungu mwingi akili kizibo aliekuzaa amezingua
 
We fala acha chokochoko fuatilia kwa nini nimemtukana huyo mtu mbona una haraka kama mkojo wa asubuhi?nifuatilie kama nimeshawahi kumtukana member yoyote humu acha kujiona unajua kuliko wengine stupid As*** halafu niwatukane wapinzani je wamewahi kunitusi?akili yako inataka nimtukane mpinzani?heheheheh
Huyo member kaniita mimi msenge au hukuona ?kama hujaona review basi watu kama nyie mnakera sana kujifanya mnajua kuliko wengine mimi mtu akintukana au kunidharau naapa ntampa matusi mpaka akome kama unataka kuargue na mimi argue na mimi mbona kuna Castr Mysterio hata Will Jr licha huwa mara kwa mara anasema tunatumia ID moja sijawahi kumtusi?hata Lokonga sijawahi kumtukana mtu ananiita msenge nimuangalie?mamamamae ntakufa nae mpaka ajute
All in all Arsenal kapoteza sababu ya refa,lack of concentration and discipline but kwa mpira kaucheza sio mchezo direction ya Arsenal ipo let's wait for our next Spurs game West Ham kashinda Spurs kashinda Manchester United naye akishinda Top 4 inakuwa ya moto
Daah kweli wewe huwezi kuacha matusi... Kwa hiyo umeona na mimi unitukane kabisa kuwa mimi ni fala.. Kiukweli kama ungeweza kuacha hiyo lugha ya kuita watu fala, mjinga, huna akili tungekuona unahoja. Changamoto ni matusi yako tu.. Mimi kiukweli siwezi kukutukana kwa sababu hainiongezei au kupunguza chochote.. Ndio maana watu wanahisi wewe sio mwana Arsenal kwa kuwa arsenal fans wengi wana maturity kubwa.... Kingine unapomtukana mtu kuwa ni fala uaonyesha uwezo wako wa kufikiri ndio unaishia hapo kweye matusi.. Mimi nakushauri anza kufanya mazoezi ya kuacha kutukana watu kuanzia sasa ili upandishe hadhi yako.. Kwa mfano, unaweza kuanza kwa kujikaza na kuacha kutukana ovyo kesho (ingawa najua utashinda huna raha kwa kutotukana mtu maana hujazoea).. Ukiweza kupitisha siku nzima ya kesho na hatimae wiki na mwezi unaweza hatimae kuacha hiyo tabia.. Nina mashaka hata huu ushauri niliokupa naweza nikatukanwa ila mimi sina noma maana nataka uache kutukana ili ujadili soka kwa kutumia nguvu ya hoja na siyo hoja ya nguvu..
 
Daah kweli wewe huwezi kuacha matusi... Kwa hiyo umeona na mimi unitukane kabisa kuwa mimi ni fala.. Kiukweli kama ungeweza kuacha hiyo lugha ya kuita watu fala, mjinga, huna akili tungekuona unahoja. Changamoto ni matusi yako tu.. Mimi kiukweli siwezi kukutukana kwa sababu hainiongezei au kupunguza chochote.. Ndio maana watu wanahisi wewe sio mwana Arsenal kwa kuwa arsenal fans wengi wana maturity kubwa.... Kingine unapomtukana mtu kuwa ni fala uaonyesha uwezo wako wa kufikiri ndio unaishia hapo kweye matusi.. Mimi nakushauri anza kufanya mazoezi ya kuacha kutukana watu kuanzia sasa ili upandishe hadhi yako.. Kwa mfano, unaweza kuanza kwa kujikaza na kuacha kutukana ovyo kesho (ingawa najua utashinda huna raha kwa kutotukana mtu maana hujazoea).. Ukiweza kupitisha siku nzima ya kesho na hatimae wiki na mwezi unaweza hatimae kuacha hiyo tabia.. Nina mashaka hata huu ushauri niliokupa naweza nikatukanwa ila mimi sina noma maana nataka uache kutukana ili ujadili soka kwa kutumia nguvu ya hoja na siyo hoja ya nguvu..
Narudia mimi ni mstaarabu ukintukana nakuzingua hata kama sisi wote ni Arsenal fans nakuzingua kuwa timu moja sio sababu ya kupishana kimawazo usilazimishe mawazo yako yafanane na wengine hilo ndio kosa lako kubwa
Kuna watu wanapendaga sana mawazo yangu mpaka wanakuja inbox na tunapeana mawazo kabisa thank you Arsenal fans mnaokujaga inbox tunabadilishana mawazo Arsenal is the one of the biggest team in the world hatutaacha kuisifia na wala kuikosoa pale panapostahili COYG!
 
Narudia mimi ni mstaarabu ukintukana nakuzingua hata kama sisi wote ni Arsenal fans nakuzingua kuwa timu moja sio sababu ya kupishana kimawazo usilazimishe mawazo yako yafanane na wengine hilo ndio kosa lako kubwa
Kuna watu wanapendaga sana mawazo yangu mpaka wanakuja inbox na tunapeana mawazo kabisa thank you Arsenal fans mnaokujaga inbox tunabadilishana mawazo Arsenal is the one of the biggest team in the world hatutaacha kuisifia na wala kuikosoa pale panapostahili COYG!
Sasa mimi nimekutukana lini Ndugu? Lakini hapo juu umenitukana matusi mazito Sana.. Umeniambia Mimi ni fala, ukaona haitoshi ukatupia na tusi toka kwa malkia kuwa mimi ni stupid.. Yaani kosa la mimi kutukanwa na wewe ni kwa vile nimeomba watu tusitukanane humu.. Hili kweli ni kosa la wewe kumtusi mtu matusi makubwa hivi?.. Juzi ulisema nina IQ ndogo nikaona isiwe tabu hayo ni maneno tu yataisha na wala sikurudisha na kukutukana kwa wewe kunitukana.. Leo baada ya xhaka kurikoroga ukasema Wale wanaomshabikia xhaka hawana akili..Yani unataka watu wote humu wasimpende xhaka kwa vile wewe humpendi. Ukisema wote wasiompenda xhaka hawana akili nao wakaamua kukutukana kwa vile umewatukana kuwa hawana akili utaanza kusema wao ndio wameanza kukutukana Mimi nimejaribu kutoa ushauri wangu baada ya kuona jukwaa linanajisiwa kwa Matusi nami nikala matusi mazito kwa kutoa ushairi tu!.. Mimi naendelea kukuomba tena na tena.. Acha hiyo tabia ndugu, si tabia nzuri kijana kujizoesha tabia ya namna hiyo isiyo na staha kwa wenzako. Hivi kweli wewe jamaa unaona ni rahisi rahisi kuwaambia wanaume wenzako, tena watu wazima kuwa hawana akili.. Jifunze Kuwa na utu ndugu, haya Maisha ni mafupi sana.. Yaani kisa upo nyuma ya keyboard na Hakuna anayekuona ndio utukane hivyo.. Lakini pia jifunze kuwapenda wana Arsenal wenzako, toa hoja bila kutukana mtu, na ukikerwa jitahidi kuvumilia.. Watu wazima tunavumiliana, ni watoto tu ndio huwa hawawezi kuvumiliana.. Kama wewe ni mvulana au msichana basi endelea kutukana maana umri huo huwa hauelewi, lakini Kama wewe ni mwanaume sidhani kama utaendelea kutukana humu jukwaani . Kimsingi unajitahidi kutoa hoja na kutetea hoja zako, ila kinachoharibu ni matusi yako kwa unaobishana nao, yaani hilo tu.
 
Back
Top Bottom