honestly huwa sijafatilia mechi nyingi za arsenal za hivi karibuni ila kwa nilivyowaona leo kweli INABIDI MUITRUST ILE PROCESS YA ARTETA...kama ile first half man city hatukuzion njia za kupitisha mipira na ile mbinu ya kutukabia upande wetu ulifanya full back zetu zishindwe kupanda na kufanya makosa, na yule mtoto wenu sijui tomiyasu yule dogo ni usajili mzuri mliofanya msimu huu kutokana na pace iliyonayo inamfanya aweze kurudi kwa wakati na kudhibiti winga zenye kasi kama sterling, LAKINI SHIDA YENU NYIE JAMAA SAHIVI MNA MORALE SITOSHANGAA MKIJA KUPOTEANA MBELENI MAANA KIPINDI HICHI MECHI NI NGUMU SANA PALE EPL.