Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Kwa hiyo Auba alivyopewa 3.5 year contract alikuwa ana miaka 25?Unagawa long term contract kwa ST wa 30 years kichwani una makaratasi au?
Wote tunaangalia mechi wote tunaona Auba na Laca nani ana hard work, nani anazurura uwanjani kuwinda mpira, nani akipoteza mpira hasimami anaurudia. Pia kuna takwimu na heat maps za wachezaji wote kama kuna mechi utakua haujaangalia.
Rudi kagoogle maana ya press mkuu
Kwa maana nyepesi press ni pressure, unaposema Auba anazidiwa na laca kupress that's a counterintuitive argument. Wachezaji wote ambao ni pressing machine sifa yao kubwa ni pace.