Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Katika hili wengi tumeside na coach. January ikija ofa naona hawezi kubaki.
Auba ni top class player ila kwa sasa form yake ni mbaya sana. Nadhani akijiona kuwa alikosea na kuomba msamaha kisha akajituma ni imani yangu kuwa atarudi kwenye form ila km atakuwa na kiburi na kujiona yuko sawa basi hana budi kupambana na matokeo
 
Auba ni top class player ila kwa sasa form yake ni mbaya sana. Nadhani akijiona kuwa alikosea na kuomba msamaha kisha akajituma ni imani yangu kuwa atarudi kwenye form ila km atakuwa na kiburi na kujiona yuko sawa basi hana budi kupambana na matokeo
Hata hivyo umri wake ni kikwazo kingine. Sidhani kama Arsenal itataka kua na wachezaji wawili katika nafasi moja ambao wote wapo kwenye 30s haswa kipindi hichi ambacho Arsenal inataka iwe na youngsters watakaokua pamoja.

Na kwakua Barca ina project hiyo hiyo sehemu sahihi kwa Auba ni Juve
 
Hata hivyo umri wake ni kikwazo kingine. Sidhani kama Arsenal itataka kua na wachezaji wawili katika nafasi moja ambao wote wapo kwenye 30s haswa kipindi hichi ambacho Arsenal inataka iwe na youngsters watakaokua pamoja.

Na kwakua Barca ina project hiyo hiyo sehemu sahihi kwa Auba ni Juve
Auba ana mkataba na yupo kwenye 30's

Lacca mkataba wake unafika ukomo kiangazi hiki. Kama hatutamshawishi Lacca kubaki basi ni hekima kumbakiza Auba kama snr Citizen kuwalea vijana ingawa amekuwa wa mfano mbaya kinidhamu.
 
Auba ana mkataba na yupo kwenye 30's

Lacca mkataba wake unafika ukomo kiangazi hiki. Kama hatutamshawishi Lacca kubaki basi ni hekima kumbakiza Auba kama snr Citizen kuwalea vijana ingawa amekuwa wa mfano mbaya kinidhamu.
Kama kila kitu kingekua sawa Auba ndiye alikua wa kubaki lakini Arteta na nidhamu ni mapacha Guendouz ilibidi awe case study kwa Auba ila kapuuza.

Too bad ni kwamba he gets dropped and goals start flooding in ingekua tunafungwa mashabiki tungesema Auba achezeshwe ila tunashinda hakuna anayejali.

Laca anapress Auba hafanyi hivyo
 
Kama kila kitu kingekua sawa Auba ndiye alikua wa kubaki lakini Arteta na nidhamu ni mapacha Guendouz ilibidi awe case study kwa Auba ila kapuuza.

Too bad ni kwamba he gets dropped and goals start flooding in ingekua tunafungwa mashabiki tungesema Auba achezeshwe ila tunashinda hakuna anayejali.

Laca anapress Auba hafanyi hivyo
Lacca ni holding striker na ni wachache sana wa aina yake. Kina aina ya Game anahitajika sana kwa ajili ya lucreate space kwa wanaotokea nyuma yake. Ila unahitaji vlinical number 10. ESR anahitaji kuongezeka nguvu kidogi tu kufit kwenye hiyo position.

Lacca anatakiwa kushawushiwa abaki na Auba aso he mbele.
 
Lacca ni holding striker na ni wachache sana wa aina yake. Kina aina ya Game anahitajika sana kwa ajili ya lucreate space kwa wanaotokea nyuma yake. Ila unahitaji vlinical number 10. ESR anahitaji kuongezeka nguvu kidogi tu kufit kwenye hiyo position.

Lacca anatakiwa kushawushiwa abaki na Auba aso he mbele.
Hawa wawili wakibaki wote watanyima vijana nafasi. Also Auba form yake siyo nzuri sana na tunahitaji kila ushindi itakua maajabu kucheza kamari
 
Naona tumefukia Kutukanana!?

Nitapynzika kwenye huu uzi kwa Muda Kuwapisha walioamua luunajisi waendelee kunajisiana kwa matusi.

Asanteni watu wa mpira msiojua staha na guraha ya Mpira bila Matusi.

Kila la kheri
Wale uliowaambia wana IQ ndogo ulidhani sio matusi?.. Kwa kweli mnatuchosha na matusi yenu!.. Hamna staha kabisa, halafu mnajifanya mna IQ kubwa.. Kiukweli mm nikiona mtu anatukana watu hapa huwa namdharau sana... Toka lini mtu anayetukana tukana watu hovyo akawa na IQ kubwa?
 
Wale uliowaambia wana IQ ndogo ulidhani sio matusi?.. Kwa kweli mnatuchosha na matusi yenu!.. Hamna staha kabisa, halafu mnajifanya mna IQ kubwa.. Kiukweli mm nikiona mtu anatukana watu hapa huwa namdharau sana... Toka lini mtu anayetukana tukana watu hovyo akawa na IQ kubwa?
Hebu rejea Juu tafuta post niliyomshambukia mtu na Kumwambia ana IQ ndogo. Usinilishe maneno nisiyopenda kuyatumia kwa watu maana nikiitwa mimi kwa namna hii sitapendezwa.

Ukishamaliza kutafuta post niliyomshambukia mtu kwa maneno uliyoyasema na kuikosa, msamaha wako nitaupokea.
 
Kama kila kitu kingekua sawa Auba ndiye alikua wa kubaki lakini Arteta na nidhamu ni mapacha Guendouz ilibidi awe case study kwa Auba ila kapuuza.

Too bad ni kwamba he gets dropped and goals start flooding in ingekua tunafungwa mashabiki tungesema Auba achezeshwe ila tunashinda hakuna anayejali.

Laca anapress Auba hafanyi hivyo
Kwamba Lacca anapress kuliko Auba! are you serious? Auba is a pressing machine, the qualitative difference ni kwamba wote ni typical Traditional strikers lakini laca anaweza kucheza km false 9,

Picha inajieleza
IMG_20220101_002653.jpg
 
Kwamba Lacca anapress kuliko Auba! are you serious? Auba is a pressing machine, the qualitative difference ni kwamba wote ni typical Traditional strikers lakini laca anaweza kucheza km false 9,

Picha inajielezaView attachment 2064506
Hili swali ungeniuliza msimu uliopita ningejibu Auba ila kwa msimu huu nakujibu nikiwa serious.

Laca anapress kuliko Auba
 
Hili swali ungeniuliza msimu uliopita ningejibu Auba ila kwa msimu huu nakujibu nikiwa serious.

Laca anapress kuliko Auba
Unafurahisha sana, moja ya kitu laca Alikuwa analaumiwa game na Liverpool ni kushindwa kumtrack Alcantara Akidrop to find a free man, Arteta akaona amdrop laca na kumrudisha Ø Kwenye best X1 ili kuleta Compact press, Laca karudi baada ya Auba kumisbehave and not otherwise

Jiulize Kama laca ni mzuri kupress, na wote tunajua anaweza kulink up play kwanini Arsenal isimpe new long term contract?
 
Unafurahisha sana, moja ya kitu laca Alikuwa analaumiwa game na Liverpool ni kushindwa kumtrack Alcantara Akidrop to find a free man, Arteta akaona amdrop laca na kumrudisha Ø Kwenye best X1 ili kuleta Compact press, Laca karudi baada ya Auba kumisbehave and not otherwise

Jiulize Kama laca ni mzuri kupress, na wote tunajua anaweza kulink up play kwanini Arsenal isimpe new long term contract?
Unagawa long term contract kwa ST wa 30 years kichwani una makaratasi au?

Wote tunaangalia mechi wote tunaona Auba na Laca nani ana hard work, nani anazurura uwanjani kuwinda mpira, nani akipoteza mpira hasimami anaurudia. Pia kuna takwimu na heat maps za wachezaji wote kama kuna mechi utakua haujaangalia.
 
Kuna vitu viwili ukikosea matumizi yake unajiouta unamix

Press and hold

Auba can press but he cant hold it and link up other players for attach build up.

Lacca can't presss but he is good at holding it and link with others for attach build up. Kama una working DM, CAM LAM na RAW unahitaji huduma ya Lacca wakati wa kushambulia. Ila kama unawategemea akina Elneny unahitaji Auba akusaidie kukaba.

I rest my case kwa sasa.
 
Back
Top Bottom