ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,386
- 118,823
Tusiwe pessimistic kiasi cha kusema "City kushinda leo ni matokeo yanayotarajiwa". Ni kweli wapo vizuri, lakini mbona Palace na Spurs waliwapiga?City kushinda ni matokeo yanayotarajiwa.
Mid yao ukimuacha Fernandinho mpaka forward wote wanaweza kuscore, wana wingers wazoefu katika kudribble, kucut in na kuscore.
Most importantly wana uwezo mkubwa kucheza in a fluid movement kwa pamoja. So hata tukijiuliza mbona Foxes au Wolves wanaweza kuscore the reason ni kwamba hawa wawili wanacheza kama unit for years sisi ndiyo kwanza tunaanza.
Naamini matokeo mazuri leo yatafanya hata top three iwe reality.


