Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi ya leo ni ngumu ukizingatia arteta hatakuwapo kwenye dugout ila hata kwa Man City itakuwa ngumu na magoli ni mengi leo. Kwa form ya arsenal hawatakubali kubugizwa magoli kinyonge pale Emirates.
 
Mashabiki tuna visa sana kutoka kumsema Arteta hafai mpaka leo kusema kumkosa Arteta kwenye benchi leo 'it is a huge blow'

I love that hatimaye mashabiki wametrust the process na kumuamini Arteta.
 
Mechi ya leo ni ngumu ukizingatia arteta hatakuwapo kwenye dugout ila hata kwa Man City itakuwa ngumu na magoli ni mengi leo. Kwa form ya arsenal hawatakubali kubugizwa magoli kinyonge pale Emirates.
Hakuna ugumu wowote ,zaidi hapa arsenal anenda kupigwa tu goli 3+
 
Inawezekana lakini haitakuwa kizembe kama mechi zilizopita
Arsenal ushindi wake itakuwa draw ,yaani hapoo ndio atashangilia week nzima ...

Sioni namna yeyote ya arsenal kutufunga aisee hata tucheza watu 9 uwanjan
 
The best way to defend is by attacking, na attack nzuri ni ile inayoweza kumiliki mpira wakati wote wakitafuta upenyo.

Kwa sasa team inamatokeo mazuri baada ya Mr Pressing kuwekwa kando. Aliyejuu mwalimu hatimae amejua namna ya kumtumia, anamiliki mali na kuisogeza team isaidie kushambulia.

Mr pressing hawezi hilo Jukumu ndo maana team ilikuwa inalazimiaka kupress na daima tulikuwa tunalazimika kulinda na sio kushambulia.

Lacca anatimiza majukumu yake ya ushambuliaji very effective and efficient na hatimae team ina balance kati ya ushambuliaji na ukabaji.
Unasema "Ndio maana timu ilikuwa inalazimika kupress"

Unawezaje kupossess mpira bila kupress?

Hakuna mpira without pressing

Pressing is one among fundamentals in football

Hii ndio inafanya City anamiliki 70% vs PSG , Man utd, Arsenal, Chelsea sababu anakuwa na Compact pressing structure, now opponents cant keep the ball against him. Yaani kucheza possession football unahitaji kuwa a pressing machine team.
 
Today Arsenal anahitaji positive results no matter what kwanza tupo home Emirates na first game tulifungwa 5 kwa 0 ,tumeshacheza na Big Six tumewin one game na kulose 4 matokeo mabaya sana hayo na GD yetu imeyumba sana sababu ya kulose kwa hao wakubwa we need even a draw kama sio win la sivyo tutakuwa hatuna progress yoyote zaidi ya kudanganyana humu ndani ,tukicheza na mid teams tunashinda but big giants tunageuka kuwa panya kwa paka Manchester City game imekuja muda muafaka tena New year 2022 let's go Arsenal Dunia itatucheka tukifungwa tena goli nyingi home Emirates COYG!
Tukifungwa tutakuwa hatuna kisingizio zaidi ya timu kuwa haisomeki we know Manchester City ni tough team in the world but Arsenal also is one of the biggest team in the world kuwa kila akikutana na giants wenzake hapati matokeo itakuwa haina maana ya Arsenal kujiita Big giant
 
Today Arsenal anahitaji positive results no matter what kwanza tupo home Emirates na first game tulifungwa 5 kwa 0 ,tumeshacheza na Big Six tumewin one game na kulose 4 matokeo mabaya sana hayo na GD yetu imeyumba sana sababu ya kulose kwa hao wakubwa we need even a draw kama sio win la sivyo tutakuwa hatuna progress yoyote zaidi ya kudanganyana humu ndani ,tukicheza na mid teams tunashinda but big giants tunageuka kuwa panya kwa paka Manchester City game imekuja muda muafaka tena New year 2022 let's go Arsenal Dunia itatucheka tukifungwa tena goli nyingi home Emirates COYG!
Tukifungwa tutakuwa hatuna kisingizio zaidi ya timu kuwa haisomeki we know Manchester City ni tough team in the world but Arsenal also is one of the biggest team in the world kuwa kila akikutana na giants wenzake hapati matokeo itakuwa haina maana ya Arsenal kujiita Big giant
Nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa, though tupo kwenye rebuilding phase, hatuwezi kukubali kupoteza mechi zote dhidi ya top teams, our real test of maturity comes against the top teams.

Binafsi naona we're moving in the right direction but now it has to translate into positive results against the giants especially now that we have a home advantage.
 
Mashabiki tuna visa sana kutoka kumsema Arteta hafai mpaka leo kusema kumkosa Arteta kwenye benchi leo 'it is a huge blow'

I love that hatimaye mashabiki wametrust the process na kumuamini Arteta.
Trusting an inexperienced tactician sio kazi rahisi, hasa kwetu mashabiki. He's been in good run but due to his inexperience lolote linaweza kubadilika, unaweza shangaa City akatupiga na kuanza kupoteza three-four games consecutively. That's the reward we get when hiring an inexperienced coach.
 
Bernardo Silva as a false 9, lakini ni typical attacking midfielder, anadrop paka kwenye build up phase kucreate overload.

With B.silva dropping deep, City wanakuwa na an extra man kwenye build up (Numerical Superiority) + Ikay Gundogan a complete player can shine in every facets of play, from the build up to the final third, Arsenal have Compact press but City with Silva & Gundogan must beat Arsenal's 442 compact press.

B. Silva a press resistant midfielder, either Gabriel / White kumtrack still City can destroy us thru transition.

Ni kwa namna gani we can keep the ball away from City?, Swali ambalo hata Mikel Arteta hawezi kukujibu.
 
Trusting an inexperienced tactician sio kazi rahisi, hasa kwetu mashabiki. He's been in good run but due to his inexperience lolote linaweza kubadilika, unaweza shangaa City akatupiga na kuanza kupoteza three-four games consecutively. That's the reward we get when hiring an inexperienced coach.
City kushinda ni matokeo yanayotarajiwa.

Mid yao ukimuacha Fernandinho mpaka forward wote wanaweza kuscore, wana wingers wazoefu katika kudribble, kucut in na kuscore.

Most importantly wana uwezo mkubwa kucheza in a fluid movement kwa pamoja. So hata tukijiuliza mbona Foxes au Wolves wanaweza kuscore the reason ni kwamba hawa wawili wanacheza kama unit for years sisi ndiyo kwanza tunaanza.
 
Bernardo Silva as a false 9, lakini ni typical attacking midfielder, anadrop paka kwenye build up phase kucreate overload.

With B.silva dropping deep, City wanakuwa na an extra man kwenye build up (Numerical Superiority) + Ikay Gundogan a complete player can shine in every facets of play, from the build up to the final third, Arsenal have Compact press but City with Silva & Gundogan must beat Arsenal's 442 compact press.

B. Silva a press resistant midfielder, either Gabriel / White kumtrack still City can destroy us thru transition.

Ni kwa namna gani we can keep the ball away from City?, Swali ambalo hata Mikel Arteta hawezi kukujibu.
Arsenal making it a game of transition is key for us.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa, though tupo kwenye rebuilding phase, hatuwezi kukubali kupoteza mechi zote dhidi ya top teams, our real test of maturity comes against the top teams.

Binafsi naona we're moving in the right direction but now it has to translate into positive results against the giants especially now that we have a home advantage.
FACT bro kupoteza game zote vs big giants tena kwa Big club kama Arsenal inakuwa haina afya kwa timu yetu kimpira
 
FACT bro kupoteza game zote vs big giants tena kwa Big club kama Arsenal inakuwa haina afya kwa timu yetu kimpira
Kuna wakati natamani MUSTACHI angekuwa na vision na matamanio yetu. Ila yeye as long as mwisho wa mwaka gawio lake liko salama yanayojili kiwanjani na hasa kama team haishuki daraja bado ana furaha na uqekezaji wake.

Siku MUSTACHI akiiacha team development ya kweli tutaiona. Vinginevyo with him our investment tuendelee kufunga mkanda
 
Back
Top Bottom