Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
unabishana na sky sport kuwa arsenaal haikupeleka ofa kwa zaha? tena ilikuwa enz za unai, arsenal waka opt kwenda kwa pepe...TBF Sijawahi ona kuhusu Arsenal kupeleka ofa kwa Zaha isipokua mara nyingi ikifika dirisha la usajili lazima Zaha atasema anaipenda Arsenal na anataka kuichezea.
Also the reason sikuwazia huu uwezekano ni story iliyopo kati ya United, Zaha na Arsenal ambayo inasababisha Zaha asifuatwe na Arsenal hata iweje.
Tena sky sport waliiripoti wakiitoa kutoka kwa fabrizio ,maana ni mfanya kazi wao
Arsenal have reportedly made a bid of £40 million to sign Crystal Palace winger Wilfried Zaha, a player the Eagles value at twice that amount. According to Sky Sports,




