Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Ni jumamosi tu. Chelsea hana jinsi isipokuwa kumuachia Liverpool points zote 3Tukichanga karata vizuri kipindi hichi Tunamtoa mtu nafasi ya tatu
Ni jumamosi tu. Chelsea hana jinsi isipokuwa kumuachia Liverpool points zote 3Tukichanga karata vizuri kipindi hichi Tunamtoa mtu nafasi ya tatu
Kweli bwana kumbe umemkumbuka 😅😅😅
Game na city ndiyo inafifisha matumaini.Ni jumamosi tu. Chelsea hana jinsi isipokuwa kumuachia Liverpool points zote 3
We bingwa haujaamka bado?sisi tunaishig vzr na nyie usijitenge' uje leo uangalie mabingwa wanakipiga saa4









The gaffer has a plan.Game na city ndiyo inafifisha matumaini.
Anyway lolote litakalokua acha liwe
Matokeo tunayajua, labda itokee tukapindue Meza. Kwa sasa team ikivyo ikaze kupiga hawa walio chini yetu walau tutoboe Top 4. Hawa Miamba bado sana hadi tufike mahala tuweze kupapatuana na ofGame na city ndiyo inafifisha matumaini.
Anyway lolote litakalokua acha liwe
We kinabo nina uhakika haujaangalia mechi umeamka na kugoogle matokeo.Kikosi cha Jana man city kilichokuwa bench ...huku wakisubili arsenal
Rodrigo
Mahrez
Sterling
Gundogun
Zincheko
Walker
Stone
.......achana na wale watoto kina palmer na keeper steffan ...
Kumbuka bernado Silva ,KDB ,dias ,cancelo hao ni regular starter ....
Mfumo ni ule ule 4-3-3 ,hapo ni kwenye karatasi lakin tukiwa dimban tunacheza mfumo ambao hata shetani mwenyewe hajawahi kujua
Jumamos
Arsenal 0-3 man city ....
Over ....!
Mechi tulizopoteza nyingi tulianza na mentality ya kujilinda, first round na City tukiwa na mentality hiyo hiyo Xhaka akala red. Mpaka leo tumeshajua kwamba kumbe hatutakiwi kupaki basi, tutoke nje ya box tukapambane.Matokeo tunayajua, labda itokee tukapindue Meza. Kwa sasa team ikivyo ikaze kupiga hawa walio chini yetu walau tutoboe Top 4. Hawa Miamba bado sana hadi tufike mahala tuweze kupapatuana na of
Toka mwaka 2017 hakuna game ya man city ambayo sikuwahi kuaangalia ,hata kama wakicheza saa sita usiku ..... Kwanza unastress ,uko na hasira za kijinga ,siwezi bishana na kilaza empty headed kama weweWe kinabo nina uhakika haujaangalia mechi umeamka na kugoogle matokeo.
Walker na Rodri wanakuaje benchi wakati wana covid? Kinega

Kama unaweza kututoa pale juu njoo 





Jibu swali watu wana covid wanakuaje benchi?Toka mwaka 2017 hakuna game ya man city ambayo sikuwahi kuaangalia ,hata kama wakicheza saa sita usiku ..... Kwanza unastress ,uko na hasira za kijinga ,siwezi bishana na kilaza empty headed kama weweKama unaweza kututoa pale juu njoo
![]()
mbona hujibu swaliToka mwaka 2017 hakuna game ya man city ambayo sikuwahi kuaangalia ,hata kama wakicheza saa sita usiku ..... Kwanza unastress ,uko na hasira za kijinga ,siwezi bishana na kilaza empty headed kama weweKama unaweza kututoa pale juu njoo
![]()
I can't argue with low IQ ,ni matumizi mabaya ya akili ,...Jibu swali watu wana covid wanakuaje benchi?
Hapa wewe ndio unaonekana kiazi chuplichupli....maana unabwekabweka kama changudoa uliyetorokwa na mteja,au umetumiwa pesa MPESA alafu wahuni wakairudisha juukwajuI can't argue with low IQ ,ni matumizi mabaya ya akili ,...
Unauhakika sikuangalia game ya Jana kiazi wewe ?



Hao ni wachezaji ambao hawakucheza Jana probably watacheza jumamos ...that was my point ...kubishana na broken & stressed people wa arsenal muda wote wako na hasira kama watu wa dar ....mbona hujibu swali
maneno meeeeeeengii
Pole Sana ,.....Hapa wewe ndio unaonekana kiazi chuplichupli....maana unabwekabweka kama changudoa uliyetorokwa na mteja,au umetumiwa pesa MPESA alafu wahuni wakairudisha juukwaju
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app



Acha kujizungusha.I can't argue with low IQ ,ni matumizi mabaya ya akili ,...
Unauhakika sikuangalia game ya Jana kiazi wewe ?