Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Xhaka ni mzuri sana anapokuwepo kwenye timu ila tatizo ni kwamba hizo kadi anazozipata ni kwasababu wachezaji wengi wa miguu ya kushoto huwa sio wazuri kwenye ukabaji wa kunyang'anya mipira hapo ndo utaona shida kubwa ya xhaka vinginevyo ni hali ya gem kuna siku inakubali kuna siku inagoma.

Xhaka ndiye anaemfanya partey afanye vzr kwa kuwa anampunguzia kazi hivyo kazi kubwa inabaki yeye kusambaza mipira kwa viungo wa mbele na washambuliaji. Kwa hilo ebu anza kufuatilia gem kubwa na ngumu ambazo xhaka anakuwa ndani na zile anazokuwa nje uone. Kwangu mimi Xhaka ana ubora mkubwa mno ila basi tu haijawaka kwenye kiwango cha kuwa na mwendelezo
Unaposema wachezaji wanaotumia mguu wa kushoto sio wakabaji wazuri mie nakukatalia, vipi wanaocheza beki 3, tuna beki 5 gabriel anakaba vizuri..

Sijasema xhaka mbovu ina mazuri yake ni machache kuliko mabaya yake kaigharimu mno timu kuliko mazuri yake.
 
City ni kipimo ndio ila ni kipimo kikubwa mno kwa kocha kama Arteta bro, kwaiyo matokeo yoyote yale sio kipimo sahihi kwake

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
FACT but we need even a draw because we will play at home ,yes tumeshinda 4 games in a row ila kipimo dhidi ya City kuwin or draw tutajua Arsenal imefika kwenye class ipi mfano tukifungwa tutasemaje ?kuwa tuna improve or what?kujua kama timu ina improve ni kushinda or draw vs City and that's it otherwise tutakuwa tunadanganyana kuwa tuna improve kumbe bila bila kipimo sahihi ni kupata points vs top 3 teams
 
Umeset bar too high.

Hauangalii hali halisi ukiwa excited.
Hali halisi ni kupata points vs top 3 teams otherwise tutakuwa tunadanganyana humu kumfunga Norwich Leeds Southampton ni kuwa tuna improve hell no Arsenal haijawahi kushindwa kuwin against those teams never bro itakuwa haina uhalisia eti unaplay vs Chelsea Liverpool Manchester City hata draw unashindwa kupata tena ukiwa home that's fuckin truth bro
 
Kuwa happy ni kupata points vs 3 big teams (Chelsea Liverpool Manchester City) I hope on Saturday tutapata furaha even a draw will be a very good results for Arsenal otherwise yatakuwa ni yale yale ya miaka nenda rudi miaka takribani 10 Arsenal amechukua not more than 20 points against big teams
 
Big six head to head tunatia huruma that's why nikasema kumfunga Norwich Leeds Southampton I not an issue kwa Arsenal tukitaka kuona tumeimprove ni kupata points vs top 6 teams and that's it
Screenshot_20211227-191032_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-191036_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-191043_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-191049_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-191057_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-191102_Chrome.jpg
 
Hali halisi ni kupata points vs top 3 teams otherwise tutakuwa tunadanganyana humu kumfunga Norwich Leeds Southampton ni kuwa tuna improve hell no Arsenal haijawahi kushindwa kuwin against those teams never bro itakuwa haina uhalisia eti unaplay vs Chelsea Liverpool Manchester City hata draw unashindwa kupata tena ukiwa home that's fuckin truth bro
Hahaha we jamaa Arsenal tunamaliza msimu tunapigwa 3 na Leicester we ulikua wapi? At one point Arsenal inacheza na Wolves hauna uhakika kama utashinda.

Sasa hivi tuna huo uhakika wewe unasema eti hatujaimprove? Burnley tuliyoifunga msimu huu msimu uliopita ilikuaje?

Unajisahau sana.

Tukiwa shitty hivyo hivyo tukamfunga Chelsea na Arteta, tukachukua FA, tukachukua CS mbele ya Liva, mbona haukusema Arteta ni bonge la kocha kachukua trophies mbele ya traditional top 6 wawili?

Hii timu bado wewe deal na PSG kwa sasa.
 
Hahaha we jamaa Arsenal tunamaliza msimu tunapigwa 3 na Leicester we ulikua wapi? At one point Arsenal inacheza na Wolves hauna uhakika kama utashinda.

Sasa hivo tuna huo uhakika wewe unasema eti hatujaimprove? Burnley tuliyoifunga msimu huu msimu uliopita ilikuaje?

Unajisahau sana.

Tukiwa shitty hivyo hivyo tukamfunga Chelsea na Arteta, tukachukua FA, tukachukua CS mbele ya Liva, mbona haukusema Arteta ni bonge la kocha kachukua trophies mbele ya traditional top 6 wawili?

Hii timu bado wewe deal na PSG kwa sasa.
You are talking about the past bro ,Arsenal vs City will be 2022 nachukia sana mambo ya past licha huwa yanabaki kwenye kumbukumbu for example timu ikishachukua ubingwa lets say mwaka 2021 kama City alivyobeba kisha 2022 akawa wa 17 out of 20 huoni kama ni upumbavu?Arsenal season hii hajapata hata point 1 vs top 3 teams kisha unaongea mambo ya past?yanasaidia nini?kuna timu inaitwa Preston ilienda unbeaten season nzima sawa na Arsenal nao wanaweza wakasimama mbele za watu wakajitamba now days?bro are u OK?
Bro Leicester na Wolves sio big teams kwa Arsenal and that's why Arsenal alibeba 6 points vs Leicester wakati huo huo Leicester akabeba EPL au umesahau?
 
Unaposema wachezaji wanaotumia mguu wa kushoto sio wakabaji wazuri mie nakukatalia, vipi wanaocheza beki 3, tuna beki 5 gabriel anakaba vizuri..

Sijasema xhaka mbovu ina mazuri yake ni machache kuliko mabaya yake kaigharimu mno timu kuliko mazuri yake.
Nimesema wengi mkuu ila sijasema wote so kwa hao wachache ndo hao akina Tierney lkn pia unaposema ana mabaya mengi kuliko mazuri maana yake ni mbaya(mbovu) na hafai
 
You are talking about the past bro ,Arsenal vs City will be 2022 nachukia sana mambo ya past licha huwa yanabaki kwenye kumbukumbu for example timu ikishachukua ubingwa lets say mwaka 2021 kama City alivyobeba kisha 2022 akawa wa 17 out of 20 huoni kama ni upumbavu?Arsenal season hii hajapata hata point 1 vs top 3 teams kisha unaongea mambo ya past?yanasaidia nini?kuna timu inaitwa Preston ilienda unbeaten season nzima sawa na Arsenal nao wanaweza wakasimama mbele za watu wakajitamba now days?bro are u OK?
Bro Leicester na Wolves sio big teams kwa Arsenal and that's why Arsenal alibeba 6 points vs Leicester wakati huo huo Leicester akabeba EPL au umesahau?
Hivi wapi hauelewi.

Nimeandika hivi:

ARSENAL TULIKUA TUKIDROP POINTS KWA HAO HAO AMBAO SIYO BIG TEAMS.

SASA HIVI TUNA UHAKIKA WA KUSHINDA AGAINST HAO MID TABLE.

TIMU YAKO PSG IMEDROP POINTS KWA CITY.

Hata kama hautaki tuongelee past ukaniambia tuongelee wakati huu sasa hivi bado takwimu zinambeba Arteta.

  • Arsenal ni ya 3 kwa clean sheets.
  • Iko ndani ya top 10 kwa most chances created.
  • Iko ndani ya top 10 kwa timu iliyoshinda magoli mengi.
  • Ni ya tatu kwa kushinda nyumbani.
  • Arsenal ni ya 4 kwenye msimamo, ipo Carabao na ipo FA.
  • Anahitaji kushinda games mbili ili kujaribu kupambania nafasi ya 3.
  • Ipo top 10 kwa timu zilizoconcede magoli machache.
  • Ipo top 10 katika timu zilizofanya clearance nyingi.
  • Ipo top 10 kwa timu zilizowin pasi za mpinzani in our own half.

Hivi vitu ndiyo vitasababisha uendelee kumuona sana Arteta akiwa kocha wa Arsenal, wanaomlipa mshahara hawaangalii hizo stori za city au big teams.

Go figure.
 
Nimesema wengi mkuu ila sijasema wote so kwa hao wachache ndo hao akina Tierney lkn pia unaposema ana mabaya mengi kuliko mazuri maana yake ni mbaya(mbovu) na hafai
Yes, hatufai katuzingua mara nyingi kuliko kutufurahisha, ndio maana nikamkumbuka LT angekuwepo kukichafua na TP.

Binafsi xhaka nashangaa why hakuuzwa kwenda roma na dili lilifika mezani.
 
Yes, hatufai katuzingua mara nyingi kuliko kutufurahisha, ndio maana nikamkumbuka LT angekuwepo kukichafua na TP.

Binafsi xhaka nashangaa why hakuuzwa kwenda roma na dili lilifika mezani.
Ilitarajiwa ije around 35M. Roma walileta 17M au 11M its like they knew Arsenal wanted to get rid of him so they expected a cheap bargain.
 
Acheni Masikhara wakubwa. Xhaka ni chuma ni Mtu. Mnaojaribu kumpuuza nafikiri mwana hamumsomi tu. Ameumia tu kidogo wote tukahaha humu kwa kukosekana kwake ni nani hakuliona pengo lake? Arteta ajua alipoamua kumshawishi kubaki asee au mbona baada ya kupona xhaka lokonga akawa hapati namba Mbele ya xhaka. Wakuu xhaka ni mchezaji akiamua kukichafua na pia ni mpambanaji
 
Hivi pale kati kama tutampata kiungo Frankie de Jong hii January unaiona arsenal ikimaliza nafasi ya ngapi?
 
Back
Top Bottom