Nyie mashabiki wa man u roho inawauma kweli arsenal kufika hapo mlitarajia msimu huu muda kama huu tuwe nafasi 15 ila mambo yapo tofauti mmebaki kubweka bwekaHawa Ass hawana akili hata kidogo, yaani hivyo vifijo na nderemo wanazopiga ni kukaa tu nafasi ya 4 tena kwa muda mfupi tu, sasa sipati picha siku wakifanikiwa kuongoza ligi au kuchukua kombe la premier league.
Wanaume wapo bize kipindi hiki wakipambana kuzuia maambukizi mapya ya Corona, wao wanachekelea kumfunga mgonjwa wa Corona.
Ila tusiwalaumu sana maana akili zao walishajijengea taswira ya kushuka daraja msimu huu.
Ligii imeisha kwani?Nyie mashabiki wa man u roho inawauma kweli arsenal kufika hapo mlitarajia msimu huu muda kama huu tuwe nafasi 15 ila mambo yapo tofauti mmebaki kubweka bweka
Unajipa shida bure kumjibu huyo milangomitatuHawa ndio watu tunaArgue nao mambo ya mpira kila siku, No wonder watu wanaoelewa mpira huwa wanakaa kimya kwa Fanbase ya aina hii, inatia aibu ukiwa shabiki wa aina hii.
Lacazette bench & Martinelli centre forwardkama kocha unafanyaje kuwafix Ø, ESR, Saka, Martinelli pamoja kwenye starting x1?
Lacazette kwa sasa yupo vizuri na ni muhimu sana kuweka bench laca tutarud kule kule .Lacazette bench & Martinelli centre forward
Kumbe unajua kuwa huu ni mpira na hii ni ligi ya EPL, hesabu ulicho nacho cha kesho kinaweza kisiwe chako,kwani yote yana wezekana.Huo ni Mpira ,Sio tongee.
Kumbe mnajua kuwa ligi haijaisha ! Kilichokuwa kinawafanya mseme arsenal haiwezi kuingia top four ni nini?Ligii imeisha kwani?
FACT kwa position alionao Arsenal sasa katika 3 coming matches akipata point 7 basi licha simkubali kocha wetu but anaweza akatupeleka champions league na akawa amenifunga mdomo mileleLacazette kwa sasa yupo vizuri na ni muhimu sana kuweka bench laca tutarud kule kule .
Mm naona tuendelee na formation hii hii
Odegaard na Smith wapokezane
Tangu second half imeanza wamezidiwa naona. 1st half walicheza poa sanaWolves ndio main contender wetu kwenye top 4 kutokana na mechi ambazo hajacheza
Kwenye mechi yao muda huu nawaombea sare tu na Chelsea
Hata wakipigwa watajua wenyeweTangu second half imeanza wamezidiwa naona. 1st half walicheza poa sana
Arsenal for now Lacca ndiye important person siku akiumia tutarudia kauli zile zile awali
Umeona nini na nini? Nimeishi Sae na Mwakibete
Sijui problem ni nini yaaniAuba na Ozil walipokuwa wanatafuta mkataba waliupiga mwingi, baada ya kupata mkataba kilichofuata kila mtu anajibu
YametimiaWolves ndio main contender wetu kwenye top 4 kutokana na mechi ambazo hajacheza
Kwenye mechi yao muda huu nawaombea sare tu na Chelsea
Huyo ndo ana viporo vingi pamoja na Man U, ni mwendo wa kuwaombea njaa tu ila tu timu ikiwa inaendelea kuhakikisha ushindi kwenye kila mechi tunayopaswa kushindaYametimia