Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi tuna angalia mechi zetu, hao wengine watajua wenyewe. Kumbuka hao wengine hawaja cheza so hii ni EPL lolote linaweza kutokea.Aliye kuwa nacho na anaye tarajia kukipata ni watu wawili tofauti, sababu anaye tarajia anaweza hasipate.
Kweli kabisa bora sisi tumevuna mapemaaaa
 
Newcastle anachofanyiwa ni roho mbaya, kila game anapondwa tu ili usajili ukifunguliwa kashashuka daraja.
 
Ødegaard = a chance creation machine, kuna mtu bado anamtaka Maddison anayejitafuta kwenye Leicester inayojitafuta?
 
Ampumzishe Lacca, ili Martinell awe ST, japo namuona dogo akiwa vizuri kutokea wing, Lacca is good at holding up play and creating chances.
Hawa watoto wanacheza vizuri kwa uepo wa Lacca,jinsi anavyowataabisha mabeki kwa matumizi ya nguvu hawa vijana ndio wanapata upenyo wakufanya yao.moja ya wachezaji muhimu zaidi kwenye timu ni Lacca

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watoto wanacheza vizuri kwa uepo wa Lacca,jinsi anavyowataabisha mabeki kwa matumizi ya nguvu hawa vijana ndio wanapata upenyo wakufanya yao.moja ya wachezaji muhimu zaidi kwenye timu ni Lacca

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Yes for now.

I like Laca's dirty game style.

I think Arsenal ipambane impe mkataba japo wa 2 years
 
Sisi tuna angalia mechi zetu, hao wengine watajua wenyewe. Kumbuka hao wengine hawaja cheza so hii ni EPL lolote linaweza kutokea.Aliye kuwa nacho na anaye tarajia kukipata ni watu wawili tofauti, sababu anaye tarajia anaweza hasipate.
Huo ni Mpira ,Sio tongee.
 
Back
Top Bottom