Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aubameyang loses captaincy due to late arrival back from France and similar related incidents. Nothing further has happened since win over Southampton, decision to strip him of armband entirely related to these factors.
 
Kuna sifa kadhaa za kuwa captain! Nitaeleza chache,,, nyie washika bunduki naona mnajitajia tu ,,,,

1,, good perfomer,
2,, kujituma
3,, language, hii kwa wenzetu Ni swala la msingi Sana , at least ajue lugha 3 kwa ufasaha,,,
4,, muda uliokaa klabuni, wanaamini wakimpa uongozi mtu aliokaa klabuni mda mrefu , atamudu kwa sbb anaijua vizuri klabu na utamaduni wake,,,
5,, communication skills,,, hapa wanaangalia unavyowasiliana na wenzio on and off the pitch, ushawishi kwenye dressing room n.k

6,,tabia zako kwa ujumla,, ukute ni mtu wa viwanja Sana, kuvuta una skendo skendo huwez kupewa ukapteni, unatakiwa uwe role model kwa vijana wanaochipukia,,,,,,

Hizo Ni baadhi ya sifa!
Nb!
Ole alizingua kumpa magwaya ukapteni, nadhan utaifa ulimmbeba au ni nguvu kutoka kwenye board
 
Arsenal haina mtu anayeweza kuwa captain but ni lazima achaguliwe player yeyote yule awe captain may be kwa mbali may be ni Ramsdale(but he is a new player in our squad but ikibidi apewe tu)na Tierney wengine wote waliobakia ni boys and not men,Lacca na Auba ni wale wale tu nothing new kwa Lacca ila Ramsdale unaona ana uchungu hata akifungwa face yake unaona he is regretting ila hao wengine wafungwe wasifungwe hata vicheko wanaviachia that's why naona Arsenal bado kwa nafasi ya Captain hakuna kwa players wowote wale but sababu ni lazima Ramsdale au Tierney naye kwa mbali hawa ndio wanaweza
 
Tierney alitaka kumpiga mtu kisa kujidondosha halafu Xhaka akaenda kumzuia. Tony Adams akasema Xhaka ilitakiwa amsaidie Tierney katika kumpiga yule jamaa na siyo kumzuia.

Shida Tierney ni majeruhi huwezi kua na kapteni ambaye anaweza pitisha mechi 3 hayupo uwanjani. Agewe ukapteni Lacazette so Arteta atakua hana excuse ya kumdrop.

Hata hivyo ilisemwa atauzwa so itakuaje hapa? Na hii itamaanisha Auba ajiandae kwa safari, we had a wonderful journey with Auba, his drop in form recently and now this I think it's time before more dramas start to unfold.
 
Nilikuwa namkubali sana Auba lkn kwa hili la utovu wa nidhamu ni bora aondoke kabisa maana watu wa aina yake ndo wanaotugharimu kila mara. Na kuhusu nani apewe kitambaa nadhani ni muda sahihi wa Rob Holding
 
Nilikuwa namkubali sana Auba lkn kwa hili la utovu wa nidhamu ni bora aondoke kabisa maana watu wa aina yake ndo wanaotugharimu kila mara. Na kuhusu nani apewe kitambaa nadhani ni muda sahihi wa Rob Holding
Ni sahihi kwa maana ya nationality na personality ila experience inamtupa mkono.anahitaji pitch exposure ili aweze kustahili ucaptain
 
Ni sahihi kwa maana ya nationality na personality ila experience inamtupa mkono.anahitaji pitch exposure ili aweze kustahili ucaptain
Nafikir mkuu castr aliwahi sema na mimi naongezea,tukisahau matatizo yote tuliyonayo ambayo ni CLASS NA FORM kwa players wetu; tatizo kubwa tulilonalo ni spirit, motivation na natural desire ya kushinda mechi.Ila trust me hatuna wachezaji wabaya na low class kama tunavyodhani
 
Nilikuwa namkubali sana Auba lkn kwa hili la utovu wa nidhamu ni bora aondoke kabisa maana watu wa aina yake ndo wanaotugharimu kila mara. Na kuhusu nani apewe kitambaa nadhani ni muda sahihi wa Rob Holding
Acha utani au we mamluki nini kundini unamtaja Holding are you joking to us or what?
 
Me sio mshika manati, lakini nikiambiwa nipendekeze nani avae kitambaa, nitapendekeza yule zeru zeru wenu (Rowe) yule ndio anafaa kuwa kakamkubwa pale.
 
Me sio mshika manati, lakini nikiambiwa nipendekeze nani avae kitambaa, nitapendekeza yule zeru zeru wenu (Rowe) yule ndio anafaa kuwa kakamkubwa pale.
kwako umempa mangwea af kwa wa2 uwapangie.

Sent using motorola 78
 
Aubameyang was granted permission to go to France to be with his unwell mother last week, but returned later than expected, and was left out of Saturday's 3-0 win over Southampton as a result.
 
Arsenal haina mtu anayeweza kuwa captain but ni lazima achaguliwe player yeyote yule awe captain may be kwa mbali may be ni Ramsdale(but he is a new player in our squad but ikibidi apewe tu)na Tierney wengine wote waliobakia ni boys and not men,Lacca na Auba ni wale wale tu nothing new kwa Lacca ila Ramsdale unaona ana uchungu hata akifungwa face yake unaona he is regretting ila hao wengine wafungwe wasifungwe hata vicheko wanaviachia that's why naona Arsenal bado kwa nafasi ya Captain hakuna kwa players wowote wale but sababu ni lazima Ramsdale au Tierney naye kwa mbali hawa ndio wanaweza

Hawezi kuchaguliwa player yoyote yule kuwa captain, hata kama unaona wote hawana vigezo bado lazima achaguliwe captain mwenye attributes za kuwa captain. Ramsdale ni mgeni bado, Tierney ni spana na siku zote captain ni lazima acheze, huwezi kuwa na captain kila siku yupo kwenye meza ya daktari.

Mimi nadhani tuwe na interim captain up until end of the season, then hapo tutajua nani anaweza kuvaa ile armband kwa viwango na mda mrefu, in this case Lacca anaweza kutuvusha hadi June. Hatujawa na captain anayejielewa kwa miaka mingi, let's not rush this time.
 
Hawezi kuchaguliwa player yoyote yule kuwa captain, hata kama unaona wote hawana vigezo bado lazima achaguliwe captain mwenye attributes za kuwa captain. Ramsdale ni mgeni bado, Tierney ni spana na siku zote captain ni lazima acheze, huwezi kuwa na captain kila siku yupo kwenye meza ya daktari.

Mimi nadhani tuwe na interim captain up until end of the season, then hapo tutajua nani anaweza kuvaa ile armband kwa viwango na mda mrefu, in this case Lacca anaweza kutuvusha hadi June. Hatujawa na captain anayejielewa kwa miaka mingi, let's not rush this time.
Twende na lacazette
 
Hawezi kuchaguliwa player yoyote yule kuwa captain, hata kama unaona wote hawana vigezo bado lazima achaguliwe captain mwenye attributes za kuwa captain. Ramsdale ni mgeni bado, Tierney ni spana na siku zote captain ni lazima acheze, huwezi kuwa na captain kila siku yupo kwenye meza ya daktari.

Mimi nadhani tuwe na interim captain up until end of the season, then hapo tutajua nani anaweza kuvaa ile armband kwa viwango na mda mrefu, in this case Lacca anaweza kutuvusha hadi June. Hatujawa na captain anayejielewa kwa miaka mingi, let's not rush this time.
Up to know atapewa Laca but mind you Laca na Auba hawana utofauti wowote ule sema kwa sasa atapewa hadi msimu uishe but next season kama Arsenal inataka Captain apewe Ramsdale mbona Maguire alipewa na alikuwa bado mgeni bro?Tierney huyo ni Ambulance inayotembea utampaje mtu ambaye kila baada ya mechi 3 anaenda hospital?umeongea point lakini but in my opinion Arsenal inahitaji Captain kama Ramsdale hakuna namna
 
Ni sahihi kwa maana ya nationality na personality ila experience inamtupa mkono.anahitaji pitch exposure ili aweze kustahili ucaptain
Sijaelewa unazungumzia experience ipi mkuu maana yupo pale kwa miaka 5-6 sasa. Na ukiondoka partner ya Gabriel na white kwa sasa. kabla ya hapo holding ndo alikuwa anaanza huku gabriel, luiz na Pablo mari wakipishana. Kwahiyo km ni issue ya uzoefu sidhani km anahitaji tena uzoefu
 
Lakini jamaa ni mgeni tatizo
Watafanya Leadership Group na wanafuata mfumo wa Arsene Wenger.

Kwenye hili kulikuwa na Boss, Xhaka, Ozila, Rambo na Auba.

Baada ya kuondoka hao wane ndo Emery akamteua Auba kuwa nahodha kamili.

Hivyo leadership group yarudi na watakuwemo Lacazette, Xhaka, Tierney, Holding na Ben White au Gabby.
 
Back
Top Bottom