Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We should be fighting relegation with this awful performance. Even with VAR on our side,we couldn't defeat Everton .Shameful. Everybody needs to go. The coach, the staff, the players. Everybody! Even the Fans need to go.
 
Read your article again
 
Read your article again
 
Arsenal got what he deserve, Hv kiuhalisia kocha Kama arteta ana mbinu zaidi za kumzidi mkongwe benitez??!! Apart from that, Then nilishangaa pale arsenal walipokuwa Wana waste time kwa team Kama Everton
it's a shame! Deeply ukifuatilia arsenal even kutawala mpira mbele ya team Kama Everton Kama ilivyo kwa team kubwa nyingine pia inashindwa!

Everton imeshindwa kupata ushindi dhidi ya team nane ilizocheza nazo hivi karibu but still wamepat ushindi leo dhidi ya arsenal
,

Hawa jamaa Wana matatizo makubwa Sana! Ila Ni vichwa ngumu tu! Vile wakiona arteta amesare vimechi viwili Basi nao wanajiona Wana team! Kumbe team inazidi kuingia ubovu!!
 
Mysterio I talked few weeks ago na leo umeongea kama mimi
 
Mkuu ili leo nisikuone mpumbavu nieleze kwanini Arsenal haitafanikiwa under Arteta, nieleze technically( kiufundi) kwa uelewa wako wa mpira...usiniambie 'believe me bro', leta Arguments ambazo zinakuwa, supported by facts(data).
Bro your question la last week linaendeelea kujibiwa na negative results zinazopatikana under Arteta upo bro?
 
Inakatisha tamaa sana. Let me go to bed, siku yangu imeharibika. Last minute Aubameyang had a clear chance to score, angalia aliyoyafanya. 350k a week player!!!!
Mmeharibu kiwango cha Auba, mchezaji classic mnamuwekea vitoto leo mnamlaumu, huyu Auba ana akili sawa sawa kweli huyu? Yani timu saizi yake zilikuwepo kibao eti akaenda Arsenal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa Arsenal mpo frustrated sana

Nimesoma hii post yako nikaishia pale uliposema United haina pulling power Kwa wachezaji wakubwa/bora

Kama kusema hivyo inaweza kuwasadia kupunguza machungu yenu its okay

Kwamba United imemsajili Pellestri sababu imeshindwa kusajili nyota ulimwenguni
. Mbona United wamefanya sajili za namna hii tangu kipindi cha SAF, CR7 alisajiliwa akiwa potential lakini sio bora, Nani, Rafaeli na pacha wake, Bebe pia alisajiliwa kwa sera hiyo hiyo na wengine wengi. Pelestri alisajiliwa baada ya Folan kuwastua United kwamba kuna mchezaji potential Uruguay, na United ikamsajili ... Pia imemsajili Diallo kama potential. Kiufupi top teams duniani zote zinafanya hivyo, angalia akina Madrid kwa Valverde, Bayern kwa left back wao n.k.

Kuhusu Thiago, Man Utd hawakumtaka ... Kwa mwaka Man Utd huwa inahusishwa na wachezaji wapya zaidi ya 500 kwa sababu za kibiashara,je wote hao huwa inawataka? Unajaribu kujipa matumaini feki kwamba kwakuwa Man United inakataliwa na wachezaji basi its okay na Arsenal kukataliwa
, United na Arsenal hawapo kwenye same boat mkuu.

Kuhusu Regulion, Man Utd walikataa kumsajili sababu ya kipengele cha kipuuzi ambacho Real Madrid walikiweka. Kwamba wapo tayari kuiuzia United kwa around £35 milion lakini, wakimtaka baada ya miaka 2 (supposedly Marcelo akichoka) United italazimika kuwauzia kwa gharama isiyozidi £40 milioni. Huo ni kama mkopo, tena mkopo ghali ... Hakuna timu kubwa duniani itakubali hilo sharti, kwamba wam develope mchezaji halafu Madrid waje kumchukua akiwa ameiva. Na ndipo United ikamsajili Alex Telez.

Kwa upande wa Haaland kulikuwa na masharti ya kipuuzi hivyo hivyo. Kwanza Raiola alitaka signing on fee kubwa, halafu wanalazimisha United ikubali kumuuza ndani ya 2 years endapo kuna timu itamuhitaji kwa £60 milion. Huo ujinga ni timu ndogo kama Dortimund ndio zinaweza kuukubali.

Unasema Man Utd haina pulling power Kwa wachezaji nyota, CR7 amekuja msimu huu yeye sio bora? Sancho, Varane vipi? Cavani, Bruno wote hao ni wachezaji wa kidunia. Hapo nyuma United imesajili akina Lukaku, Sanchez na wengine wengi.

Tafuta namna nzuri ya kujenga hoja na si kudanganya watu mkuu
 
Umeua mende kwa shoka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Man Utd inakataliwa na wachezaji alafu hapo hapo ina mchezaji ana ballon dor 5, msifosi tufanane jombaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…