Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuhusu usajili wa mtu Ighalo, umeona kwa United inaonekana kama big deal lakini kwa timu kama Arsenal ni kitu cha kawaida

Ndio maana wapo akina Tomiyasu, Okonwo, Kolasnic, yule beki Mbrazil na wala hamnung'uniki

Nikukumbushe tu, kuwa hizi timu kuna wakati zinafanya sajili kama hizo (ila ni mara chache cha sana). Mfano Barca wamewahi kumsajili Boateng, Braithwaite n.k. Bayern wamesajili mtu kama Choupo Moteng mchezaji wa zamani wa Stoke City. Mifano ipo mingi.

Kuhusu akina Pelestri nilishakufafanulia. Usipotaka kuelewa that's not my problem

Ragnick juzi amekwambia when a club like Manchester United come calling, no one can reject such opportunity
Okonkwo kasajiliwa na Arsenal akitokea klabu gani vile?😅😅

Sasa Ralf ni nani? Kwa kocha kama Ralf akitakiwa na timu yoyote hawezi kukataa ni sawa na Ighalo na wenzake klabu yoyote ingeenda wasingegoma.

Kwahiyo unadai mchezaji mwenye potential hua hafuatwi na timu nyingi. Unamjua Feran Torres?
 
So it's okay kwa wewe kufuata sources za udaku ... Eti aliyetamka

By the way, mimi nanunua screenshort za Arsenal akiwa juu ya Man Utd kwenye table ya ligi

Nina ka 50K hapa
Umeamua kuhamisha mada? 😅😅😅 Hii tabia tuiiteje?
 
So it's okay kwa wewe kufuata sources za udaku ... Eti aliyetamka

By the way, mimi nanunua screenshort za Arsenal akiwa juu ya Man Utd kwenye table ya ligi

Nina ka 50K hapa
Kumuita Fabrizio Romano ni sehemu ya udaku inafanta nijifikirie kidogo.

Romano ni udaku? Bro uko sawa?

Mnapigwa 4 na Watford mnajiapiza kukesha kwa Romano kusubiria habari za Ole wewe unasema ni udaku?
 
Fighting ourselves is one things facing this football club instead of figuring out where the problem is, it was said pepe has heavy touch, can't defend, can't beat players on one on one situations, does not have quality crosses and he was benched so that someone with qualities can play but still no changes nor improvements

. We cried out for creative midfielders Ode and SRW were put in but still no goals from strikers. We had 'uncoachable' back line and we went out for new defenders but it's still old history.

Thomas partey was all our dream in the midfield and he came but still midfield is a walking path for opponents. People were easy to forget what Bernard Leno and abandoned him for Ramsdale and still goals are flying in. The only remaining solution is ARTETA OUT.
 
6 losses and 2draws in 15games..
Wenger and Emery were 5th in there last seasons and playing in Europe everyone said they weren’t good enough,,this clown after spending over 280m in 2 years ,,Arsenal football club has been 8th in 2years and yet again without European football this year look at the performance,,fraudulent clueless clown 🤡
We deserve better.
 
As a coach, Mikel Arteta may have brilliant ideas, but he lacks the courage and bravery to execute them. His team retreats when it is expected to press or go forward; falls back to defend, when it is expected to attack. As head coach, he is, practically, still naive and timid.

Most of the time, what I see in his eyes, when he stands up to instruct his players in the course of the game, is fear, as against confidence".

Ooooh! God, this team gonna kill me
 
Hivi nyie magobole,,,mnauelewa mpira anaoucheza partey recently ????? Jamaa kaflop vibaya mno,,, !! Achana na makando kando ya kina auba (380k per week ), alafu tuje kwa whole team plus kinabo arteta!

Mnategemea maajabu kwa Hawa average players ???

Sambi lokonga
Tomiyasu
Martinel
Laca
Pepe
Traveres
Emile
Na wengineo ? Haya Ni maajabu ya dunia, mpaka Ferb msipokuwa makini hata top ten mtaisoma tu
 
Kama sijakosea in the last two years mmespend sio chini ya 250m(pounds) kusuka kikosi chenu! Mnalitambua Hilo ? Msije sema hampewi bajet ya kusajili
 
As a coach, Mikel Arteta may have brilliant ideas, but he lacks the courage and bravery to execute them. His team retreats when it is expected to press or go forward; falls back to defend, when it is expected to attack. As head coach, he is, practically, still naive and timid.

Most of the time, what I see in his eyes, when he stands up to instruct his players in the course of the game, is fear, as against confidence".

Ooooh! God, this team gonna kill me
Siku tunafungwa 8 na United ilikua tunafungwa ila tunaonyesha tunatafuta magoli. Nafikiri ndiyo sababu Arsenal chini ya Wenger ilikua na Djourou and the like ila kugusa UCL ilikua kawaida as Arsenal ilijiandaa kutafuta magoli.

Hii ilisababisha defense isiwe strong. Arteta kawekeza mno kudefend kuliko kutafuta magoli na hili ni tatizo. Timu nyingi zikiwa pressured eventually zinacrack. Arsenal hatufanyi hivyo na inakera.
 
Arsenal's last seven seasons after 15 games:

2015-16: 2nd place (30 points)
2016-17: 2nd place (34 points)
2017-18: 5th place (28 points)
2018-19: 5th place (31 points)
2019-20: 10th place (19 points)
2020-21: 15th place (17 points)
2021-22: 7th place (23 points)

😬
 
Humu watu wengi uelewa wa mpira ni mdogo mno, very reactionary fanbase.
 
Chelsea ndo timu inayoiwakilisha London vizuri nyinyi kenge wengine mnaongeza wingi wa watu tuuh
 
Ronaldo hakua na sababu ya kuondoka Juve kilichomtoa ni kutaka kurudi kwenye headlines baada ya Messi kwenda PSG.

Nimesahau nani alisema hiyo ishu.

Ballon d'or? Yea anazo so what? Same fans mnasema ujio wa Ronaldo umemgharimu Ole kazi as hakua kwenye mipango yake na blah blah kibao. Hata aliyesababisha aje hapo ni Alex na siyo Ole wala bodi simply kwakua Ole na bodi kwa ujumla wake haina hiyo pulling power.

Juzi nilipost maneno ya Zlatan juu ya kusema united ni small team ukadai ni anaropok lakini kwa usajili wa ST Ighalo, Pellistr na Facundo unampingaje Zlatan?
Mchezaji ambaye hana hata ballon dor wala kombe lolote la maana akiongea pumba kama zile huwa anapuuzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Are you guys just informed? Didn't you know all these while he's the reason we are on minus goal difference at the end of the 1st half of the season? How can goals against be more than goals scored for a team like arsenal? He's very useless in this team for now

The sooner we get rid of him the better. Aubameyang has fluffed 7 or more clear goals that could have put arsenal on a good goal difference but many of you think it's normal, particularly those who just started watching arsenal recently. Many of you did not know this club was on a high pedestal.

Before I go further, how many of you can comfortably say they watched the 2005/2006 champions league live and saw arsenal beat big teams with world class players? Teams that hitherto would have crushed arsenal. Many of you don't know how this club has fallen to grass. So when we complain we complain because we know where we came from.
 
Unaongelea klabu haina pulling power, wakati huo huo unamtaja mjumbe wa bodi Ferguson ndio alifanikisha kumleta Ronaldo , unakifahamu unachokiongea ndugu yangu?

Unadhani kwanini Arsenal haina wajumbe influencial wa kumshawishi CR7 aende Arsenal

Halafu eti unasema Ronaldo alitaka headlines, are serious brother? Mtu ana followers zaidi ya milioni 300 instagram atake headline kupitia transfer?

Hata ingekuwa hiyo ndio sababu (HEADLINE) unadhani Arsenal au klabu zenye hadhi ya Araenal zilikuwa zina chance hata asilimia 0000.1 ya kumsajili?
Kwa majibu haya akirudi nitag

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom