Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal na Tottenham zote ziko kwenye ushindani wa kumsajili kiungo wa kati wa Sweden Dejan Kulusevski mwenye umri wa miaka 21 kutoka Juventus.(Calcio Mercato-in Italian)

Kwani pale Arsenal tunauhitaji wa kiungo mshambuliaji?
huyu jamaa tyr ameshasema yeye ni arsenal fan, na juz kiongoz wa juve baada mech na chelsea alibak london kujadili hilo dili, binafs simjui , ila arsenal tunahitaji sana viungo wa kati , wingers wakuchangia mabao, ni dhahiri pepe atauzwa soon...
 
Fiorentina wameweka bei ya pauni milioni 55 ya kumnunua mshambuliaji wa Serbia Dusan Vlahovic kwa nia ya kusimamisha nia ya Manchester United - lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 hatarajiwi kuhama mwezi Januari. (Mail)

Hawa Fiorentina washaanza kuwa na tamaa mwisho wa siku atakuwa kama Aour kwa Lyon walivyoweka tamaa mbele
Huyu jamaa hadi nishamsahau..alituringia sana kipindo yupo moto
 
Fiorentina wameweka bei ya pauni milioni 55 ya kumnunua mshambuliaji wa Serbia Dusan Vlahovic kwa nia ya kusimamisha nia ya Manchester United - lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 hatarajiwi kuhama mwezi Januari. (Mail)

Hawa Fiorentina washaanza kuwa na tamaa mwisho wa siku atakuwa kama Aour kwa Lyon walivyoweka tamaa mbele
wakala wake ameweka tamaa mbele anataka wavute muda aende free juve au aende kwa mkopo wa kununuliwa kama locatelli, juve wapo vibay kifedha, mchezaji amebakiza muda mchache kwenye mkataba wake, hivo watu wanafos january wambebe, totenham, arsenal, nyumbu , juve hana ubavu, na bei yake imeshuka sababu mkataba unaelekea mwisho, mwenye 40-55 january anambeba, shida wakala wake nasikia ameshikwa masikio na juve, simu za arsenal hapokei
 
wakala wake ameweka tamaa mbele anataka wavute muda aende free juve au aende kwa mkopo wa kununuliwa kama locatelli, juve wapo vibay kifedha, mchezaji amebakiza muda mchache kwenye mkataba wake, hivo watu wanafos january wambebe, totenham, arsenal, nyumbu , juve hana ubavu, na bei yake imeshuka sababu mkataba unaelekea mwisho, mwenye 40-55 january anambeba, shida wakala wake nasikia ameshikwa masikio na juve, simu za arsenal hapokei
Basi atakuwa hana akili huyo Wakala wake ila binafsi mimi huwa nawapenda sana wachezaji walio chini ya Mino Raiola, huyu wakala hana mambo ya ubabaishaji kabisa
 
Aaron Ramsdale kuhusu mchezo ujao wa Manchester United:

"Sikuwahi kufikiria ningecheza dhidi ya Ronaldo, lakini ninatumai sana atapambana nasi kwa sababu inanipa nafasi ya kujijaribu.

As much as you want to go somewhere like that (Old Trafford) there’s no better feeling than getting on top of someone and saying I’ve had a full-on battle with Ronaldo.”
262044426_609398210482963_1165249906570828742_n.jpg
 
Basi atakuwa hana akili huyo Wakala wake ila binafsi mimi huwa nawapenda sana wachezaji walio chini ya Mino Raiola, huyu wakala hana mambo ya ubabaishaji kabisa
Wakala hana nguvu kwa mchezaji, ni wazi mchezaji anapenda Juventus kama Locatelli.
 
Arsenal na Tottenham zote ziko kwenye ushindani wa kumsajili kiungo wa kati wa Sweden Dejan Kulusevski mwenye umri wa miaka 21 kutoka Juventus.(Calcio Mercato-in Italian)

Kwani pale Arsenal tunauhitaji wa kiungo mshambuliaji?
Ndiyo.
 
Wakala hana nguvu kwa mchezaji, ni wazi mchezaji anapenda Juventus kama Locatelli.
Inasikitisha sana Arsenal haina mvuto tena kwa Big players kwa sasa kwa players they know their value hawawezi kuja kucheza chini ya Arteta otherwise Arsenal iingie champions league or EPL every day itakuwa ni tetesi kisha usajili unafungwa unabakia na majina yale yale unahisi mchezaji anayetaka makombe atakuja kuwa chini ya Arteta?this will never happen may be coach awe na jina kubwa na CV ya kutosheleza
 
Daaah mkuu, Sambi at his young age na katoka timu na league ambayo ni ya kawaida sana and then BAM! anatua Uingereza na mechi against city or Liverpool kucheza dhidi ya viungo ambao wamezidi kila kitu yaani umri, uwezo na experience
City
Rodri
De bruyne
Fernandinho
Gundogan

Liverpool
Henderson
Thiago
Fabinho
Chamberlain

Unategemea hapo katikati huyo SAMBI atafanya nn zaidi ya flop, zaidi ya hapo dg anahitaji kukua na kuendelea kugain experience zaidi ya premier league
 
Its true timu ina quality lakini wanaanza kukutana na big six kipindi hichi na hawana squad depth ya kucover kila nafasi so hiyo race haiwezi kua won within the next few weeks.

This is a team that self proclaimed themselves as title contender but today we discuss their possibility in chasing top four.

Unaamini quality yao itasaidia soon?
Umeongea kama sheykh Yahya Hussein.
 
Duh! Lakini mkuu Sisi tunajikuta wajuaji sana. Yaani automatically tu inakuwa hivyo sijui imekaaje.

Huyu Rangnick just one week ago hakuwa kabisa katika hiyo mipango ya kuongeza "aggression within blocks"

Hebu tutulieni na kudeal tunachokiona kwa sasa. Na tunachokiona kwa sasa ni kwamba United hawawezi maliza ndani ya top four.

After 6 games from today yaani after game number 19 nadhani wapenda mpira worldwide watakubali kwamba arsenal ni serious top 4 contenders wa EPL 2021/2022.
Hii comment naitunza mpaka mwisho wa msimu wa ligi.
 
Inasikitisha sana Arsenal haina mvuto tena kwa Big players kwa sasa kwa players they know their value hawawezi kuja kucheza chini ya Arteta otherwise Arsenal iingie champions league or EPL every day itakuwa ni tetesi kisha usajili unafungwa unabakia na majina yale yale unahisi mchezaji anayetaka makombe atakuja kuwa chini ya Arteta?this will never happen may be coach awe na jina kubwa na CV ya kutosheleza
Sasa unamlilia nani, nenda wewe kawe kocha wachezaji wenye majina watakuja.
 
Back
Top Bottom