computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Sasa umeandika nini unakimbia kimbia kama binti mimi nakuuliza maswali matatu pekee nijibuHuyu jamaa ana mambo makuu mawili au matatu yanayomsumbua.
1. Sio kwamba hataki kuchambua mpira km wengine wanavyojitahidi kufanya anataka na anatamani sana shida ni kwamba hajui aanzie wapi na aongee kitu gani(hajui) ndo maana leo atasema hili kesho atakuja na lile.
2. Yawezekana ni mtoto mdogo na hajawa na uwezo wa kujenga hoja kwenye mijadala hivyo anatumia jukwaa hili kukuza uwezo wake japokuwa anaweza kuwa anashindwa kugundua vitu vingine vinavyomuongezea uwezo wa kufikiri ili atengeneze hoja ya kueleweka
3. Yawezeka siyo shabiki wa arsenal na pia hajui mpira japo anaweza kuwa mpenzi wa mpira kwahiyo anachofanya ni kuiponda arsenal huku akijifanya shabiki bila kuwa na sababu za kimpira.
Nahitimisha kwa kusema kuwa huyu bwana nimekuwa nikifuatilia argument zake lkn hakuna cha maana alichowahi kuki-argue hivyo binafsi nikampuuza. Sasa hapa pia nashauri watu kumpuuza kwa kuwa huwa hana fact za kimpira zaidi ya kuwa na lugha za matusi au kejeli.
1- Since 1995 Arsenal haijawahi kukosa qualify for any European competition na Arteta ameikosesha Arsenal kushiriki European competition ni True or False?
2-For 2 seasons in a row Arteta kamaliza nafasi ya 8 is it True or False?
3-Arsenal haina any European competition this season ila amescore 0 goals na Conceded 11 goals against Chelsea Liverpool Manchester City is True or False?
Answer me then Arguments will continue don't run like a beautiful baby girl
Hizi ndio hoja za kuanza nazo kwanza in my opinionArteta is not a coach ambaye eti atabeba EPL au kuingia TOP 4 Never ever naapa
I am Arsenal fan licha kwa sasa ninaangalia football matches za PSG Chelsea waliona Lampard hataipa results team na akafukuzwa look today Chelsea na Arsenal ni two different teams yaani mbingu na Ardhi licha ya Kuwa December 2020 Mmoja alikuwa wa 9 na mwingine wa 10
Nachukia sana mijitu inayokuja na arguments kuwa Arteta ataifikisha Arsenal kwenye mafanikio wakati points zangu hapo juu zinaonyesha Arteta is doing nothing at all since he arrived
nimekuuliza True or False unakimbia kama kuku aliyekosa kamba mguun ukinijibu ntakuja kwenye technical issues first nijibu

then unasema Arteta ameleta improvement kwenye team and hayupo kwenye any European clubs competition and waliopo ndio wana hyo difference what are fu***?
every day itakuwa ni tetesi kisha usajili unafungwa unabakia na majina yale yale unahisi mchezaji anayetaka makombe atakuja kuwa chini ya Arteta?this will never happen may be coach awe na jina kubwa na CV ya kutosheleza