Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kipaumbele cha Arsenal January ni kusajiri striker
@FabrizioRomano
Nadhani hata holding midfielder kwasababu ya Elneny na Partey kwenda Afcon na pale katikati tutabaki na AM Niles na Lokonga ambao bado hawapo matured na wakati huo Xhaka atakuwa hajarudi kutoka kwenye majeruhi
 
Kesho West Ham anacheza na City. Asiposhinda itabidi Arsenal ashinde dhidi ya united ili kuisogelea top four.
Unaota huku ukiwa unatembea.
Kesho tunachana mikeka ya wengi Duniani.
Goli moja tu kutoka kwa Ronaldo linatosha kumpa pesa kanjibahi.
 
Sambi Lokonga today
🔥


Most passes: 88
Most successful passes: 82
Most passes in opp half: 60
Most key passes: 6
Pass percentage: 91.7%
Tackles: 2
Clearances: 1
Gained possession: 8

Excellent response from him after his struggles at Anfield.
Future talent
 
Sambi Lokonga today
🔥


Most passes: 88
Most successful passes: 82
Most passes in opp half: 60
Most key passes: 6
Pass percentage: 91.7%
Tackles: 2
Clearances: 1
Gained possession: 8

Excellent response from him after his struggles at Anfield.
Anfield experience should not be used to make any comparison going forward. That's why you never heard arsenal fans complaining world wide about it because we all know our season is 2023/2024. Tunalibeba msimu huo.

2021/2022- we are fighting for top 4
2022/2023- cementing ourselves as a serious title contender
2023/2024- we will win EPL again. That will be after 20 years.
 
Anfield experience should not be used to make any comparison going forward. That's why you never heard arsenal fans complaining world wide about it because we all know our season is 2023/2024. Tunalibeba msimu huo.

2021/2022- we are fighting for top 4
2022/2023- cementing ourselves as a serious title contender
2023/2024- we will win EPL again. That will be after 20 years.
Inshaallah
 
Nadhani hata holding midfielder kwasababu ya Elneny na Partey kwenda Afcon na pale katikati tutabaki na AM Niles na Lokonga ambao bado hawapo matured na wakati huo Xhaka atakuwa hajarudi kutoka kwenye majeruhi
xhaka bado 4weeks anarudi, ni kweli holding md anatajwa kununuliwa,renato sanchez anatajwa sana
 
Anfield experience should not be used to make any comparison going forward. That's why you never heard arsenal fans complaining world wide about it because we all know our season is 2023/2024. Tunalibeba msimu huo.

2021/2022- we are fighting for top 4
2022/2023- cementing ourselves as a serious title contender
2023/2024- we will win EPL again. That will be after 20 years.
nadhan ndio malengo ya klabu,ndio maana wanasajiri vijana wakue nakuzoeana pamoja
 
Unaota huku ukiwa unatembea.
Kesho tunachana mikeka ya wengi Duniani.
Goli moja tu kutoka kwa Ronaldo linatosha kumpa pesa kanjibahi.
Chochote unachovuta hakikisha moshi hauwafikii wanao
 
United amefanya nini cha kumrudisha kwenye top 4 race?

Yeye ni wa 8 nana anakutana na kibonde mwenzake chelsea
Hii umeandika kishabiki. United wana timu yenye quality compared to us, wanapata mtu wa kuwaorganize on the pitch, maana yake wanarudi kwenye Top four race.
 
Hii umeandika kishabiki. United wana timu yenye quality compared to us, wanapata mtu wa kuwaorganize on the pitch, maana yake wanarudi kwenye Top four race.
Its true timu ina quality lakini wanaanza kukutana na big six kipindi hichi na hawana squad depth ya kucover kila nafasi so hiyo race haiwezi kua won within the next few weeks.

This is a team that self proclaimed themselves as title contender but today we discuss their possibility in chasing top four.

Unaamini quality yao itasaidia soon?
 
Its true timu ina quality lakini wanaanza kukutana na big six kipindi hichi na hawana squad depth ya kucover kila nafasi so hiyo race haiwezi kua won within the next few weeks.

This is a team that self proclaimed themselves as title contender but today we discuss their possibility in chasing top four.

Unaamini quality yao itasaidia soon?
Ukimuangalia Solskjaer unaona alikosa Central compactness, unapokosa central balance na Frontline yako haina aggression ya kutosha you're doomed, you can't control games( on & off the ball).
Atachokifanya Rangnick ni kuincrease Aggression within blocks kwa methods anazozijua yeye sababu that is an elite football mind, profile & quality are there ndio maana nasema United wapo kwenye Top four race.
 
Ukimuangalia Solskjaer unaona alikosa Central compactness, unapokosa central balance na Frontline yako haina aggression ya kutosha you're doomed, you can't control games( on & off the ball).
Atachokifanya Rangnick ni kuincrease Aggression within blocks kwa methods anazozijua yeye sababu that is an elite football mind, profile & quality are there ndio maana nasema United wapo kwenye Top four race.
Duh! Lakini mkuu Sisi tunajikuta wajuaji sana. Yaani automatically tu inakuwa hivyo sijui imekaaje.

Huyu Rangnick just one week ago hakuwa kabisa katika hiyo mipango ya kuongeza "aggression within blocks"

Hebu tutulieni na kudeal tunachokiona kwa sasa. Na tunachokiona kwa sasa ni kwamba United hawawezi maliza ndani ya top four.

After 6 games from today yaani after game number 19 nadhani wapenda mpira worldwide watakubali kwamba arsenal ni serious top 4 contenders wa EPL 2021/2022.
 
Duh! Lakini mkuu Sisi tunajikuta wajuaji sana. Yaani automatically tu inakuwa hivyo sijui imekaaje.

Huyu Rangnick just one week ago hakuwa kabisa katika hiyo mipango ya kuongeza "aggression within blocks"

Hebu tutulieni na kudeal tunachokiona kwa sasa. Na tunachokiona kwa sasa ni kwamba United hawawezi maliza ndani ya top four.

After 6 games from today yaani after game number 19 nadhani wapenda mpira worldwide watakubali kwamba arsenal ni serious top 4 contenders wa EPL 2021/2022.
Mkuu mpira sio mazingaombwe, ukiangalia Idea & Track record ya Rangnick utaelewa nachokisema, United wana quality, wana profile wanaweza shida mechi yoyote km watakuwa Organize on the pitch, tusiangalie mpira kishabiki.

Kwangu mimi Top four race ni United, West ham, Arsenal.

Kuna mtu nilimwambia jukwaa la Chelsea kuhusu Spurs kuingia Top four ni ngumu kwamba inakosa watu muhimu kwenye build up phases, akajibu kimahaba kwamba itaingia.

Juzi Conte kafungwa akaongea hiki kitu

Antonio Conte: “After three weeks I am starting to understand the situation. It is not simple. At this moment the level at Tottenham is not so high.” #THFC
 
Ukimuangalia Solskjaer unaona alikosa Central compactness, unapokosa central balance na Frontline yako haina aggression ya kutosha you're doomed, you can't control games( on & off the ball).
Atachokifanya Rangnick ni kuincrease Aggression within blocks kwa methods anazozijua yeye sababu that is an elite football mind, profile & quality are there ndio maana nasema United wapo kwenye Top four race.
Central compactness sijaelewa umemaanisha nini. Ila kama unaungana na wanaodai united ina shida kwenye mid basi hapo nitakua sina cha kusema.

Conte kaenda spurs. Juzi spurs kafa kwa Mura kwa kawaida timu ikipokea kocha au mchezaji mpya hua inaboost morali so kwa united ingekua hivyo kama angekua anakutana na timu dhaifu ila shida ni anaanzana na big six.

Wakislip game na chelsea watataka kuamka kwa Arsenal, wakislip na hapo the whole bus will be heading downhill.
 
Mkuu mpira sio mazingaombwe, ukiangalia Idea & Track record ya Rangnick utaelewa nachokisema, United wana quality, wana profile wanaweza shida mechi yoyote km watakuwa Organize on the pitch, tusiangalie mpira kishabiki.

Kwangu mimi Top four race ni United, West ham, Arsenal.

Kuna mtu nilimwambia jukwaa la Chelsea kuhusu Spurs kuingia Top four ni ngumu kwamba inakosa watu muhimu kwenye build up phases, akajibu kimahaba kwamba itaingia.

Juzi Conte kafungwa akaongea hiki kitu

Antonio Conte: “After three weeks I am starting to understand the situation. It is not simple. At this moment the level at Tottenham is not so high.” #THFC
Pochettino alifanya nini na hiyo Spurs? Tumsikilize conte kwa 100% bila kujiuliza?

Ben Foster kabla ya game na United alisema 'Kuna timu zinatutisha kukutana nazo ila hizo nyingine 17 au 18 tunaweza kupata point. Na miongoni mwa hizo timu ni United'

Na timu ya Foster imepanda daraja. Go figure.
 
Central compactness sijaelewa umemaanisha nini. Ila kama unaungana na wanaodai united ina shida kwenye mid basi hapo nitakua sina cha kusema.

Conte kaenda spurs. Juzi spurs kafa kwa Mura kwa kawaida timu ikipokea kocha au mchezaji mpya hua inaboost morali so kwa united ingekua hivyo kama angekua anakutana na timu dhaifu ila shida ni anaanzana na big six.

Wakislip game na chelsea watataka kuamka kwa Arsenal, wakislip na hapo the whole bus will be heading downhill.
Central Compactness = Maintain short distance between teammates in Central zonals, inaleta urahisi wa kucounterpress timu inapolose Possession, kwenye transition ni nguzo ya kucontrol games kama Liverpool wanavyofanya.

Sasa unfortunately Solskjaer hakuwa high tactical mind kuadapt technique tofauti kuitransform timu, huyu anayekuja kama elite coaches wengi wanavyomuhype ni high tactical mind, ndio maana nasema kwa his methods anaweza kuisort out United very soon ikaingia kwenye Race.
 
Saka vs deep block opposition huyu mwamba mnyama, kijana miaka 20 anakuwa double marked in every game.

Tomiyasu akiwa Inverted mnamuonaje wakuu? Nadhani Arteta kaicopy kwa Klopp anavyomchezesha TAA.
 
Back
Top Bottom