Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,500
- 6,458
Tofauti ya TAA na Tomiyasu inakuja pale wakati wa kumwaga maji, inabidi akiwa mazoezini afanye mazoezi ya kupiga mipira mingi ya crosses inayotua ndani sitaSaka vs deep block opposition huyu mwamba mnyama, kijana miaka 20 anakuwa double marked in every game.
Tomiyasu akiwa Inverted mnamuonaje wakuu? Nadhani Arteta kaicopy kwa Klopp anavyomchezesha TAA.