Ni bisssaka aliyelalaCredits nilizompa Tavares nime withdraw
Sheria ya mpira wa penati unaijua vizuri?Refa kawabeba newcastle walistahili kupewa penati
.Ushindi lazima, united wamerudi kwenye Top 4 race.lazima tushinde kujiweka pazuri
Mkuu hawa wakishinda mechi mbili mtawalia, wanapamba timu zao balaa, yaani duhHahahahaaisee mnanichekeshaga sana majirani mnavyosifiaga wachezaji wenu.
Nyie nyie mlikuwa mnatuponda kwamba Kai harvetz tumepigwa ila kwenu pepe mlipata bonge la mchezaji
Juzi kuna shabiki hapa amesema Pepe apigwe risasi.
Hahahahaaisee mnanichekeshaga sana majirani mnavyosifiaga wachezaji wenu.
Nyie nyie mlikuwa mnatuponda kwamba Kai harvetz tumepigwa ila kwenu pepe mlipata bonge la mchezaji
Juzi kuna shabiki hapa amesema Pepe apigwe risasi.
United amefanya nini cha kumrudisha kwenye top 4 race?Ushindi lazima, united wamerudi kwenye Top 4 race.lazima tushinde kujiweka pazuri
Tena hawa united hapo ya nane pia washkuru MunguUnited amefanya nini cha kumrudisha kwenye top 4 race?
Yeye ni wa 8 nana anakutana na kibonde mwenzake chelsea
Ila sasa anaanza kukutana na big six mfululizo kama ujio wa kocha mpya hautawaboost basi kazi wanayoTena hawa united hapo ya nane pia washkuru Mungu
Naona mkeka unaendelea kutickNimekubetia ww arsenal leta ujinga sasa huta tokea kamwe kwenye mikeka yangu .. forever
FantasticSweet goal by Martinell