Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaha aisee mnanichekeshaga sana majirani mnavyosifiaga wachezaji wenu.

Nyie nyie mlikuwa mnatuponda kwamba Kai harvetz tumepigwa ila kwenu pepe mlipata bonge la mchezaji

Juzi kuna shabiki hapa amesema Pepe apigwe risasi.
Mkuu hawa wakishinda mechi mbili mtawalia, wanapamba timu zao balaa, yaani duh
 
Huyu Tavares bado ni mdg sana kiumri hata league ya Uingereza ni ngumu sana hasa kama hujakulia kwenye timu za Uingereza

Future yake ni nzuri sana, angalia mikimbio yake ilivyo na hatari uwanjani

Ila kosa lake lipo kwenye Finishing ya jambo analotaka kulifanya na hii ni kutokana na Lack of confidence
 
255752376297_status_95f9a67e2b2647c88141ba32e19f6a4c.jpg
 
Back
Top Bottom