Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Arteta should get his tactics right kule Anfield. La sivyo tutajikuta wa 7 huko
Ni sawa tu. Tutakua tunafuata nyayo za Liva wanaopoteana kabla ya breakBaada ya break mtapoteana sana
Baada ya break mtapoteana sana
West ham hawana wachezaji wazuri, Moyes kaunda compactness in each phase ni kama Arsenal vile, very difficult to break, usishangae wakafuzu Uefa.Hii West ham ya sasa hivi niaje, mbona inakuwa tishio hivi?
Hatuwezi, hii Arsenal ni new Liverpool.Baada ya break mtapoteana sana
West ham hawana wachezaji wazuri, Moyes kaunda compactness in each phase ni kama Arsenal vile, very difficult to break, usishangae wakafuzu Uefa.
That's the problem, do you think Arsenal atashinda Anfield?I don't think so na problem ya Arsenal away in big games ni kukosa confidence that's itArteta should get his tactics right kule Anfield. La sivyo tutajikuta wa 7 huko
ila sio kama manyureMukifungwa game mbili tu munakimbia jukwaa.
Arsenal kijipu uchungu tu, hakina muda mrefu kitapasuka.
Ha haaaaaaaaaaila sio kama manyure
Ha haaaa....kumbe we jamaa ni the gunners
Euro 80 ni sawa na Paund 68MKusema kweli sidhani kama Arsenal wanaweza kutoa mpunga wote huo... Vyanzo vinasema club zimeshakubaliana ila mchezaji mwenyewe na Arsenal hawajakubaliana terme and conditions... Mimi naamini kama hilo deal lipo kweli hicho kiwango cha fedha kitapungua
UCL???Hii inaweza kuwa kweli maana naona kama kroenke kaanza kuwa serious. Anasema kwa sasa Arsenal inahitaji kuchukua UCL.


mnajipa moyo washika mitutuBado timu haijanipa imani kwamba tutashinda. I know this is football and anything can happen lakini nadhani tusipofungwa itakuwa matokeo mema sana kwetuThat's the problem, do you think Arsenal atashinda Anfield?I don't think so na problem ya Arsenal away in big games ni kukosa confidence that's it
Kuna jota na Salah na origiFirmino out 3 wiki
Mane out
Koleza ubani