Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,500
- 6,458
Pepe amepewa muda wa kutosha sana ili aonyeshe kipaji chake na uwezo alionao ila ameshindwa, zaidi amekuwa akijipiga chenga mwenyewe na movement ambazo hazina maanaSikubaliani na wewe, mchezaji kushindwa ku-shine kwenye timu moja haina maana kwamba he is written off, Muone Salah wa Chelsea, and many others. Renato namkubali. Pepe mnakosea adabu, he flopped on his first season at the club but came to life on subsequent seasons. How many times has he rescued the club? I believe lack of playing time is to blame on his current form.
Our coach Mikel Arteta sio mjinga kuendelea kumkalisha kwenye Mkeka Coz hata mazoezini anaonekana hajitumi vzr
