Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
Kama uyo salah kila game lazma atupge aseeeeeKuna jota na Salah na origi
Ila tuzidi kukoleza ubani😁😁😁😁😁
Kama uyo salah kila game lazma atupge aseeeeeKuna jota na Salah na origi
Ila tuzidi kukoleza ubani😁😁😁😁😁
Wewe kilaza hii arsenal ni sawa na Newcastle tu .....Hatuwezi, hii Arsenal ni new Liverpool.
Huyo mpuuzi auzwe tuArsenal wasije wakafanya kosa la kumuuza pepe this January. Wasubiri tu msimu uishe
Hamna washabiki wavumilivu kama Arsenal ndio maana pamoja na timu yetu kutofanya vizuri kwa mda mrefu still bado tupo.Mukifungwa game mbili tu munakimbia jukwaa.
Arsenal kijipu uchungu tu, hakina muda mrefu kitapasuka.
Tuliipenda wenyewe.Hamna washabiki wavumilivu kama Arsenal ndio maana pamoja na timu yetu kutofanya vizuri kwa mda mrefu still bado tupo.
Msimu uliopita tulichukua trophy mbele ya liva. Villa akampiga Liva 7 sisi tukapasuka tatu.Nawasalimu Gunners wenzagu. Tetesi zilizopo, dirisha dogo kuna reinforcement ya kikosi nadhani wachezaji kadhaa wataondoka. Mungu akipenda tukamfunga Liverpool, confidence ya timu itapanda. Lakini kama Westham aliweza, kwa nini tusiweze? Aubameyang alipata injury mechi dhidi ya Libya. not sure if he will be available on Saturday.
Kessie ni mchezaji wa Ivorycoast kama sijakosea, target ya Arsenal ni kwamba kupata mildified mbadala wa Partey na Elneny kwenye kiungo cha ukabaji ambao mwezi January watakuwa kwenye mashindano ya AfconKuna options 3 za Zakaria, Kamara na Kessie.
Aje Kessie
Nilikua sijui kama De Beek ni mkabaji.Kessie ni mchezaji wa Ivorycoast kama sijakosea, target ya Arsenal ni kwamba kupata mildified mbadala wa Partey na Elneny kwenye kiungo cha ukabaji ambao mwezi January watakuwa kwenye mashindano ya Afcon
Na ndio maana kumekuwa na tetesi za kuuzwa kwa Pepe na Elneny moja kwa moja na kupata replacement zao mapema coz hao wote pia watakuwepo kwenye Afcon
Pale mbele pia tunahitaji clinical finisher ambaye atakuwa ni damu changa kama target ilivyo kwa striker wa Fiorentina Dusan Vlahovic, na mildified mkabaji kuna interest kwa Van de Beek kutoka Man U
Yaah ni kweli ila now Arsenal kuna kikosi fulani hivi cha vijana wanajaribu kukijenga ili kikae pamoja muda mrefu na kianze kuleta matokeoNilikua sijui kama De Beek ni mkabaji.
Ila kama siyo Kessie basi Renato Sanches atafaa
Tuache kuchukua rejects wa timu zingine.
Barca wamemrudisha Alves siyo kwamba wamekosa kijana ila kua na mzoefu siyo jambo bayaYaah ni kweli ila now Arsenal kuna kikosi fulani hivi cha vijana wanajaribu kukijenga ili kikae pamoja muda mrefu na kianze kuleta matokeo
Player yeyote atayesajiliwa pale hawezi kuzidi miaka 23
Yeah.Barca wamemrudisha Alves siyo kwamba wamekosa kijana ila kua na mzoefu siyo jambo baya
Ha haaaaaaaa kabsa kakaRenato Sanchez Renato Sanchez Renato Sanchez Renato Sanchez Renato Sanchez aaaah!
Castr Renato Sanchez anafanya nini? Wachezaji wameisha hadi kumrudia huyo mtu aliyeshindwa Bayern hadi Swansea!
Jifunze tena na tena Àngel Di María was the best Real Madrid na alifeli Manchester United, na the best tena PSG – Same scenarios to Depay, Martial, Van der Beek, Roberto Soldado, Radamel Falcao, Eliaquim Mangala, Gonzalo Higuain, Alvaro Morata, Juan Cuadrado etc.
Renato Sanchez ni mmoja wao born to shine in farmers leagues! huyo Renato alifeli PL alifeli alifeli alifeli Swansea, msituletee ya Pepe!
Sikubaliani na wewe, mchezaji kushindwa ku-shine kwenye timu moja haina maana kwamba he is written off, Muone Salah wa Chelsea, and many others. Renato namkubali. Pepe mnakosea adabu, he flopped on his first season at the club but came to life on subsequent seasons. How many times has he rescued the club? I believe lack of playing time is to blame on his current form.Renato Sanchez Renato Sanchez Renato Sanchez Renato Sanchez Renato Sanchez aaaah!
Castr Renato Sanchez anafanya nini? Wachezaji wameisha hadi kumrudia huyo mtu aliyeshindwa Bayern hadi Swansea!
Jifunze tena na tena Àngel Di María was the best Real Madrid na alifeli Manchester United, na the best tena PSG – Same scenarios to Depay, Martial, Van der Beek, Roberto Soldado, Radamel Falcao, Eliaquim Mangala, Gonzalo Higuain, Alvaro Morata, Juan Cuadrado etc.
Renato Sanchez ni mmoja wao born to shine in farmers leagues! huyo Renato alifeli PL alifeli alifeli alifeli Swansea, msituletee ya Pepe!
Wataje hao many others! Salah ni mmoja tu na sio kwamba alifeli Chelsea bali hakupata nafasi kama Serge Gnabry! Nafasi akapata Roma.Sikubaliani na wewe, mchezaji kushindwa ku-shine kwenye timu moja haina maana kwamba he is written off, Muone Salah wa Chelsea, and many others. Renato namkubali. Pepe mnakosea adabu, he flopped on his first season at the club but came to life on subsequent seasons. How many times has he rescued the club? I believe lack of playing time is to blame on his current form.