Nilitaka CB awe Holding na Gabriel au Mari na Gabriel.
Arteta na Will Jr wanasema partnership ni White na Gabriel.
White alikuja kwa ajili ya kusaidia attack.
Hilo kalithibitisha.
Anapiga pasi (6 yards) na anaweza kusprint kusogea kati.
Ila ni mapema kusema amenishawishi.
Bado nasema Tomiyasu ile nafasi anafosiwa. Yule ni CB mambo ya Chambers yanajirudia.
holding na mari hao ilikuwa swala la muda tu kuondolewa fairst team, na akirud saliba , mmoja wapo atafute pa kwenda, beki gani zinakaba kwa kurudi nyuma , mipira ya juu ha wawezi kuokoa, kama unamfatilia arteta utaona ilikuwa swala la muda tu kuwaondoa hao mizigo... holding, bellerin niliona hadi kichekesho glearish akiwa na mpira wanakaba kwa kurud nyuma, sterling anafunga goli la kichwa mbele ya holding kweli? utafunga hivo kwa tomiyasu au kwa Gab na BEN?
na kuhusu tomiyasu wala hafosiwi , huyo ni RB,RWB,CB, Arteta alihitaji RB mwenye tabia za Cb , ni mrefu, ni anacheza sana aerial duel, mtata 1vs 1, Angalia alichomfanya SON vs totenham, kamfatilie Seria A, bolgna vs juve, alivyokuwa anamalizana na CR7, 1VS1
Angalia bellerin vs son, kina grealish au aerial duel elivyokuwe ovyo....
Arsenal kwenye kuanzisha mashambulizi hutumia shape ya " 𝗮𝘀𝘆𝗺𝗺𝗲𝘁𝗿𝗶𝗰𝗮𝗹 " na hii inamuhitaji mtu mwenye sifa za TOMIYASU,
kwamba ....Tomiyasu ambaye beki wa kulia hapandi juu anabaki nyuma na kutengeneza mabeki watatu ( Tomiyasu, White na Gabriel ) huku upande wa kushoto Tierney/NUNO anapanda juu na kuwa kama winga ...akifanya hivyo Smith Rowe anaingia ndani kutengeneza namba 10 wawili yeye na Odegaard au lacazetti kwenye 4-4-2 hii anyoitumia sasa arteta , wakati Saka anabaki pembeni kabisa kudumisha mapana ya timu . Tierney akisogea juu , Xhaka anaibia pembeni kidogo kuwa kama beki wa kushoto wa dharula ...lakini wakipoteza mpira wanarudi kama kawaida ( 4-2-3-1 ) au 4-4-2..