Huwez kucheza back 4 ya mari na holding uka achieve chochote, kuwafichia uzaifu wao unahitaji back 3 /5
na malengo ya arteta ni 4-3-3 hivo ilikuwa swala la muda kutowaona na kubaki Wachezaji wa carabao tu, mbona simple tu
hivi zile semi fainal na fainal ucheze na mari holding utabaki salama kweli
HUWEZ KUCHUKUA KOMBE LOLOTE BACK 4 YA HUYO HOLDING NA MARI, bora mwanangu holding ana moment zake kadhaa,
hizo fainal ulizochukua mari na holding akiwa ndani ni zipi... hao ni average player jombaa... au unadhani wanaonewa kusugua benchi