Unamaanisha united haina top mid?🤔Project over results, mashabiki huwa hatujui hili sababu mpira upo emotional zaidi, tunapenda kuona matokeo bila kuona underground project inayofanyika.
United kwa kocha huyuhuyu km wanapata Stability kwenye midfield wanaweza kucompete kwenye top flight, ngoja tuone January window, sure watasajili a top mid.
Pogba starting XI France.
Fred starter Brazil. Anamuweka benchi mpaka Casemiro.
De Beek 2019 kabla ya kwenda united alikua ni nominee wa Ballon D'Or.
Unamaanisha nini unaposema top mid?
Assuming hauna top mid na wewe ni kocha mwenye mbinu nzuri what do you do? Utaendelea kutumia formation inayoexpose hiyo weakness au utatafuta formation mbadala?
Talk about tactical inept.
