Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira wa Villa umeenda wapi? Kaondoka nao Grealish? They have been struggling, commiting fouls risking redcard
Grealish alivyokuepo zaidi ya saba za liva sidhani kama kuna kingine wamefanya.

Hype was all over the air.

Binafsi nilifikiri Villa anaenda Europa.
 
Tunatisha sanaa, sasa kuanzia leo ni mwendo wa vitasa tuu, kila anayekatiza mbele ni vipigo tuu, jiandaeni kisaikolojia timu isharudi kwenye kasi yake
Tunakusubiria Jpili na hivyo vitasa, mimi ninachojua MWANETU OLE hato tuangusha majirani ,halafu baada ya hii mechi mtupostie msimamo wa EPL kama mnavyo fanyaga.
 
January Auba na Partey watakuwa AFCON, CAF wapuuzi sana yaani wameshindwa kusongeza mpaka mwezi wa sita.
 
Hongera gunners, vijana wanajitahidi. Now pattern ya uchezaji inaonekana.

COYG, trust the process.
Process ulishakwama, kama tuna nia ya kuendelea ufuke muda mwenye team aamue kuwa serious na atupie pesa ya kutosha na tupeane mkono wa kwaheri na Arteta, sio mwalimu wa kiwango tunachokihitaji kuweza kuchallanhe pe juu kqenye makombe
 
Process ulishakwama, kama tuna nia ya kuendelea ufuke muda mwenye team aamue kuwa serious na atupie pesa ya kutosha na tupeane mkono wa kwaheri na Arteta, sio mwalimu wa kiwango tunachokihitaji kuweza kuchallanhe pe juu kqenye makombe
Pesa ikitupwa kama mashabiki tunavyotaka hata Arteta ataonekana anatosha.

Refer Zidane Madrid
 
Saka hana tena zile runs.

Sikumbuki game gani ila niliitumia kurefer jinsi wachezaji wetu walivyo na tatizo la kutoa pasi na kuganda hapo hapo bila kutafuta space. Timu nzima ilikua na shida hiyo.

Odegaard alivyofika alikua anatoa pasi anakimbia kutafuta space anashangaa mwenzake anarudisha mpira kwa CB.

Emile na Odegaard wana hii trait ya kusprint kutafuta space. And they are good kwamba wanatafuta space kulifuata goli. Saka akitafuta space ni anakimbilia kwenye wing, ni bad idea considering hana stamina wala skills za kumvusha kutokea kwenye hiyo wing.

Goli la Emile dhidi ya Spurs lilitokana na hii run na flick ya Auba. Na game ya jana goli la Emile ni same, Emile kaachia mpira kakimbia mbele. Tavares kampa Auba, Auba akaflick mpira kwa Emile. We need these runs.

Unapokua na strikers wawili world class ni sahihi zaidi ukawachezesha wote. Ole pia anatakiwa atafute namna ya kuwaweka Cavani na Ronaldo kwa pamoja. Itamlipa. Kwa muda mkubwa Laca na Auba wakiwepo uwanjani unaiona impact ya Laca, hawa ndiyo wanatakiwa wawe pale mbele.
 
Back
Top Bottom