Mi ni mtetezi wa makocha wote.I wish castr angekuwepo hapa, ndie mtetezi wa Arteta
Mi ni mtetezi wa makocha wote.I wish castr angekuwepo hapa, ndie mtetezi wa Arteta
Mimi sitakiwi kua kipimo cha kuhalalisha wengine kuipenda au kutoipenda Arsenal.No way bro kuna muda nlisemaga hili jukwaa litabakia na watu 2 pekee wa kuitetea Arsenal and now Castr keshaleft zake and not yet utaona tu bro unaweza bakia peke yako
Tukutane usiku wa leo Villa Park napo ni pagumu
Arsenal msikate tamaa anaeongoza ligi kawapita points 8 tu





Duuh,ila Hawa wazungu.Arsenal wakaiwekea ratiba yake ya kipekee! Ijumaa na jumanneTukutane usiku wa leo Villa Park napo ni pagumu
Duuh,ila Hawa wazungu.Arsenal wakaiwekea ratiba yake ya kipekee! Ijumaa na jumatatu
mbona dogo yuko vizuri sana sanaLokonga bado sana
Sioni km n tuta la hakiThis will be given
mbona dogo yuko vizuri sana sana
anatoa pasi nzuri anapandisha timu
ananyang'anya mipira