Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nawakumbusha tuu timu yenu hipo nafasi ya 12
20211019_103539.jpg
 
Since making his Arsenal debut in 2018, Aubameyang 🇬🇦 has scored 91 goals in 156 games - the only PL players to score more during this period are Salah (109 in 180 games) & Kane (99 in 151 games).
 
Hii timu yetu ya man u ina mafundi wengi mno tatizo mbinu tu za kocha ila kwa dunia ya sasa hakuna club ina mafundi wa mpira kama Utd.
 
Ila wakuu hebu tuwe wakweli, hivi kwa dunia ya sasa unaweza kufananisha na club gn hii timu, angalia front line inavyotisha, alafu bado wakawepo kina Pogba, Sancho, Cavani, Matic c hatari hii, sema mbinu tu za kocha ila kikosi tunacho wakuu au nyie mnasemaje, hebu tazama hapa, hii c kufuru hii wakuu
JamiiForums-1023403155.jpg
 
Tunatisha sanaa, sasa kuanzia leo ni mwendo wa vitasa tuu, kila anayekatiza mbele ni vipigo tuu, jiandaeni kisaikolojia timu isharudi kwenye kasi yake
 
Ila wakuu hebu tuwe wakweli, hivi kwa dunia ya sasa unaweza kufananisha na club gn hii timu, angalia front line inavyotisha, alafu bado wakawepo kina Pogba, Sancho, Cavani, Matic c hatari hii, sema mbinu tu za kocha ila kikosi tunacho wakuu au nyie mnasemaje, hebu tazama hapa, hii c kufuru hii wakuuView attachment 1981348
Ngoja kikutane na liver ya mwamedi
 
Back
Top Bottom