Katika uzi wenu hakuna hata anayepost kikosi siku mkiwa mnacheza
Unajua timu ikiwa na mastar wengi ultimate formation hua ni 4 3 3 sielewi kwanini Poch anacheza 4 2 3 1. Tuchel kwa kujua ana mastar wengi ikabidi awe anacheza 4 2 4, ili Icardi, Mbappe, Di Maria na Neymar wote wapate namba.
Ila hii formation ilimdhalilisha Tuchel kwa united kwakua forwards ni mastar wakawa wagumu kukaba pia unakua prone kwa counter na forwards zenye speed. Akadhalilika uefa ila ligi ya ndani ilikua unajua psg anashinda.
Tuje kwa Poch



kabla ya mechi unaona PSG ina odds 1.03 kushinda dhidi ya timu yoyote ya ligue 1 hiyo timu nyingine inagewa odds 15 kushinda.
Siku ya mechi psg ataanza kupigwa chuma. Atahaha kuchomoa mpaka dakika ya 88. Dk ya 91 hivi timu pinzani inapata red dk ya 93 psg inapata goli la 2. Magoli yanafungwa na beki Hakimi.




Haka katimu katapigwa na city live. Am sure hata mechi hauangalii.